Kwanini wazungu huwa hawali sana kama sisi Waafrika?

Kwanini wazungu huwa hawali sana kama sisi Waafrika?

Ugali huwa unalemaza akili ila ndo waafrika tunadanganya Yan huo ugali wakolon walifanya chakula maalum kwaajili ya watumwa ili wapige kazi kisawasawa ila kichwan hamna kitu, mahindi ni chakula Cha mifugo huko duniani.
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Afya zetu ni mgogolo kweli?!
 
Wazalendo wata kuchapa we[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
America wanazalisha zaidi ya 34% ya mahindi duniani ndo bara inayolima sana mahindi ila ugali unaliwa sana na wa Africa wao wazungu wanalisha mifugo hayo mahindi
Na Africa ndo tumedumaa sana kiakili Yan hatubadiliki
 
Kwanza tabia ya kusema lazima ule mara tatu kwa siku sio ustaarabu hiyo ni addiction tu ya kijinga,
I was just thinking this.. Binadamu siku hizi tunakula sana. Na tunakula for taste tu na kwasababu kipo wala sio njaa wala afya.

Watoto wachanga na wanaokua ndo wanahitaji kula mara nyingi kwa siku. Mtu mzima mwili umeshakomaa hauhitaji chakula kingi kama tunavyoaminishwa. Me nikiwaga busy whether kazi za nyumbani au ofisini huwa sitamani chakula kabisa.

Moja ya tiba bora asilia ni kufunga (fasting). Na binafsi nimejigundua, huwa najisikia vizuri zaidi tumbo likiwa empty.

Kuna watu huko duniani kutokula ndo imekuwa lifestyle na sio kwamba hawana chakula. Mtu anaenda days/weeks without food. Na mimi naelekea huku.

 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Hata wewe ukipata hela nyingi utakuwa husikii njaa
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Kula sana ama kula kidogo ni suala ambalo hata mimi pia hunishamgaza sana.

Kusema kwa mzungu ama mwafrika, hapana ni hulka tu ya mtu na mazingira yake pia, siyo kwa sababu ya race.

Mbona mitandaoni huwa tunawaona akina "pawa mwanakulya"kibao tu huko ulaya na wanafukia misosi ya kujaza ndoo?

Mimi si mlaji sana wa vyakula, ila kuna mambo nime experience kuhusu jambo hilo kama ifuatavyo:

Nikiwa nina pesa hamu ya chakula hupungua sana ama kupotea.

Kuna wakati nilipata zali la kudaka mamilioni kimasihara, nilisahau kula siku mbili hadi nikajistukia na kuanza kutengeneza kumbukumbu za ni lini nilikula kwa mara ya mwisho, nikajikuta nina siku2 sijala na sijaumwa na njaa, nikashangaa sana!

Nikiwa nyumbani kwangu kuwa nnauhuru wa kutaka kula chakula fulani na kukipata kwa wakati, basi njaa huwa hainikamati sawa sawa ninakuwa nimeridhika muda wote.

Njaa hunisumbua nikiwa safarini ama kwenye mialiko ambayo huwa sina uwezo wa kujiamria kula muda niutakao mimi.

Pia nikifanya kazi ngumu, scale ya ulaji huongezeka tofauti na ninapokuwa mapumziko ambapo hula kidogo na kukinaiwa.

Kwenye hili nadhani kila mtu ana experience yake, wengine hukiona chakula kama ni mkombozi na msuluhishi wa matatizo yao binafsi.

Maana kuna wengine, akiudhiwa ama kugombezwa, hasira zake ama mtero huuondoa kwa njia ya kula kama kujifariji.

Ama mwengine akifurahishwa sana na jambo fulani basi huishia kula kama njia ya kujipongeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeandika ila ka hujatoa point, hakuna kanunu ya lazima ule milo kumi ama mitatu ama mitano,
Swala ni mtu kula pale unaposikia njaa na yafaa mtu kula kulingana na mpangilio mzuri wa viini lishe si unakariri kula maratatu yani kifungua kinywa chakula cha mchan na usiku,
Hao wazungu wanasumbuliwa na ulaji mbaya na inatokana na kuwa na milo ngingi kwa siku, mfano watu toka Marekani na Ulaya,
Weka hiyo milo mibaya kwa siku na milo mingi tujuwe kama inafanana na milo yetu ya Kiafrica.
Mtu anakula samaki na mboga ya majani tayari mlo wa mchana.
Kama mahindi ni chakula cha Ng’ombe milo mibaya ya wazungu itatoka wapi au wanakula mchele.
Ebu kaa chini utafute somo ujuwe umri gani unaanzia ngapi na kuishia ngapi wanatakiwa kula chakula cha aina gani na milo mingapi kwa siku.
 
kwa maisha tuliyonayo leo, (toauti na miaka ya 80 kurudi nyuma) watu walio maofisini na biashara, KULA SIO AFYA. ukianzia hapo tu huna haja ya kusema mzungu wala nini. maana hapa na hapa umechukua bodaboda, dakika 2 umerudi nyumbani umekaa una chat, mara unaangalia tamthilia , mara uko baa una kula bia, afu uniambie ule unavyotaka ?!! wala sio suala uzungu ni akili ya kawaida tu. we kula unavyotaka baada ya mwaka mmoja utaniambia
 
Wazungu wanaongoza kwa kula junk foods ndo maana wapo wengi wenye uzito uliopitiliza, halafu wanakuwa wanakula mara kwa mara ndo maana wanaweza kula kidogo, siyo sisi ukishapiga ugali wa mhogo saa saba mchana hiyo nitolee hadi saa 4 usiku..........
 
Wazungu wamekufundisha hadi idadi ya milo kwa siku kuanzia mzee hadi mtoto wa siku moja then useme hawali?. Nenda shule kafute ujinga.
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
ila tuache masighara wazungu ni wakubwa, wametanuka afu warefu, sijui ni kwanini, anayejua anipe sababu.

Waafrica huwezi kutofautisha mtoto, kijana na mbaba yani wanamiili ya kudumaa.
 
Umesahau ugali+kitimoto+mnafu.
Hiyo tunagonga sisi mlo mmoja tu chali.haao jamaa wanakula mara 5 km nilivyoorodhesha baada ya hapo ni maji tu au kahawa.wamelelewa hivyo.
Di unakula ugali nusu kilo kitimoto kilo au tilapia mzima umemaliza sada utahitaji mkate au matunda tena?
Food pyramid inaitwa.
Ndo mana utawaona watu wana hela na vitambi vya ajabu ajabu hawafati hiyo process ya food pyramid.
 
Back
Top Bottom