Kwanini wazungu ni wachoyo wa chakula?

Wanaishi kwa bajeti maana hata ukipigiwa simu mtoke out kula mtu anajitegemea sio huku kwetu tunawaza ofa tu.

Nilipokua masomoni nilipata shida sana kula mbele yao bila kuwaambia karibu wao wanabugia tu husikii karibu wala nn labda vibiscuit tena huyo anawaandaa siku kadhaa mbele.

Borthday kila mtu anaemda na kinywaji chake pale ni kucjeza music na kukaa pamoja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are really something, ningekupa likes 100.
Natamani kila mwanamke wa kibongo wa kizazi hiki angeisoma hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…