Salute bossLengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.
Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.
Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).
Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.
Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.
Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.
Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.
Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.
Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.
Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Mtoa mada swali lako hauko sahihi wazungu walianza afrika kwanza ndiyo wakaenda Amerika na Asia
Biashara za waafrika na wazungu zilianza toka kuanguka Kwa roman empire karne ya 4 hapa kila taifa lilitafuta malighafi kivyake mfano Chao jukua alikuwa ni mchina aliyefanya biashara za nje ya China kupitia bahari ya Hindi mwaka 859 karne ya 8
Waarubu walianza kuingia afrika kupitia ukanda wa bahari ya Hindi na kufanya biashara na wenyeji wa mwambao wa bahari ya Hindi ,hii ilikuwa ni karne ya 6 na baadae wakafuatiwa na wareno karne ya 8
Spain walifanya biashara na mataifa ya north afrika kama Morocco Egypt karne ya 5 kipindi cha ngome ya fitamids na hapa Egypt walipitia slavery mode of production ,system ya uzalishaji Mali ambayo ilikuwa hata ulaya kipindi cha roman empire kabla ya kuanguka karne ya 4
Portuguese hawa watu waliingia mapema sana south afrika na wakasettle cape town wakifuatiwa na Dutch 1456s
Wazungu hawakulivamia bara LA america sehemu walizokuwa wanafikia hazikuwa zikikaliwa na watu na red indies wakazi wa america walikuwa ni wachache sana wengi walikuwa ni wavivu !.katika historia hakuna sehemu inayo onyesha resistance Kwa walowezi Kwa wazawa wa america hii ni kutokana kwamba hata neno amerika ni limetajwa na navigator wa kipindi hicho
The discovery of new word by Christopher Columbus ,Christoforo Colombo ,Cristobal colon 1492
Hayo yote ni majina ya navigator cristo katika kuligundua bara LA amerika sasa tukiangalia mwaka lilipogunduliwa hilo bara utaona kwamba afrika ndo bara pekee ambalo wageni walipata kulitembelea Kwa muda mrefu kuliko amerika
Hahah,we jamaa historia yako sijui umeipatia wapi,
1.Columbus sio wa kwanza kugundua America bali Vikings ndo walikuwa wakwanza kutokea magharibi kufika bara amerika.
2.Wazungu wameanza kuja africa kitambo sana,Kushakuwa na utawala wa warumi africa especialy north.carthage etc na wazungu walishakuja muda mrefu kabla ya hapo
Wazungu hawakuishi afrika kwasababu kule amerika kulikuwa na maeneo makubwa na yenye rutuba na hakukuwa na upinzani mkali wa makabila kama ilivyokuwa Kwa afrika ambapo tayari kulikuwa na empire kamaLabda kama haujaelewa nilichomaanisha au nimeshindwa labda kuliweka swali vizuri.
Nilichouliza ni kwamba Wazungu walilijua Bara la Afrika tangia zamani sana yaani kabla ya Bara la Amerika lkn kwa nini hawakuhamia Afrika na badala yake wakahamia Bara la Amerika na kuja kuanza kuvamia na kutawala Afrika baadaye sana kwa mfano hapa kwetu Wazungu walifika kwenye miaka ya 1890 lkn walikuwa wameishavamia Amerika zamani sana, sasa kwa nini?
Thanks man!Salute boss
Dark fatherLengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.
Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.
Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).
Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.
Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.
Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.
Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.
Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.
Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.
Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Upo sahihiLengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.
Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.
Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).
Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.
Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.
Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.
Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.
Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.
Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.
Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Lengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.
Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.
Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).
Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.
Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.
Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.
Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.
Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.
Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.
Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
The dark father maelezo mazuri ahsanteLengo lilikuwa kufika india na east asia kiujumla.
Chukua atlas hapo utanielewa kwa jinsi gani ingekuwa ni mbali sana kupitia nchi kavu, ukizingatia usafiri ulikuwa ni mgumu, pia njiani kulikuwa na maadui wengi wa kiutawala kutoka falme na nchi zingine.
Proposal hiyo ya Columbus ilikuwa ni kuzunguka kupitia atlantic ili kutokea upande wa pili (hapa ni baada ya watu kuwa na uelewa wa kwamba dunia ni duara).
Tatizo hapa ilikuwa hakuna ajuaye kuwa kuna bara jingine upande huo, hivyo wali-assume wangefika asia ya mashariki moja kwa moja.
Ila ndo hivyo, baada ya muda mrefu wa safari, wakatia nanga katika bara wasiolijua (america).
Waliwakuta wenyeji, i.e. wahindi wekundu wakawaua kibao. Kiufupi ni kwamba wakatwaa ni kwao. Baada ya feedback kurudi ulaya, na mataifa mengine yakafuata. Hivyo america ikawa ni territory ya watu weupe.
Additionally, kwa nini east asia? - ni kwa sababu kulikuwa na biashara 'iliyochangamka' zaidi ukizingatia kulikuwa falme/mataifa tajiri, civilized yenye maendeleo.
Cha kukumbuka tu, ni kwamba origin ya watu weupe kiujumla ni ulaya. Huko kwingine ni kwa sababu walivamia tu.
Hivyo, kama afrika ilivyofanywa, ndivyo amerika ilifanywa hivyo hivyo.
Nchi za asia ilishindikana kwa sababu tayari wenyeji walikuwa na maendeleo yao binafsi including silaha.
Lakini, bado waliziweza nchi kadhaa kuzitawala, ingawa mwisho wa siku walipinduliwa tena.
Hii ndio maana asia wanajiamini na tamaduni zao.
Kwa hiyo, simply, Amerika ilipatikana by accident. Lakini mwisho wa siku walifanya scrambling na patition kama Afrika.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app