Kwanini wengi wa wanaoenda Marekani kutafuta maisha huwa wanarudi hawana kitu na kama vile kisaikolojia hawako sawa?

Kwanini wengi wa wanaoenda Marekani kutafuta maisha huwa wanarudi hawana kitu na kama vile kisaikolojia hawako sawa?

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba tujadili hili.

Binafsi nimekulia kwenye mkoa wa kitalii ambapo nimeshuhudia vijana wengi wakienda ughaibuni kutafuta maisha.. Arusha na Ulaya zina uhusiano mzuri. Vijana kwenye utalii hupata fursa za kwenda huko. Pia wanamichezo kupitia riadha huenda nchi za Ulaya na America. Hata mimi mwenyewe nilikuwa na ndoto za kwenda huko ila shule ikanibana.

Katika watu ninaowafahamu walioenda Marekani ni kwamba wengi wao huwa wanarudi hawana kitu na pia ni kama kisaikolojia hawako sawa. Kuna siku tulikuwa kwenye sherehe akaja jamaa mmoja kavaa tshirt na jeans anaonekana kama vile afya imetetereka nikaambiwa huyo kaja likizo from the USA. Pia hapa mtandaoni kuna mtu maarufu sana aliishi marekani miaka mingi ila mienendo yake baada ya kurudi unaona kama kuna kitu kinamtesa akilini. Nina mifano mingi ya watu maarufu na wasio maarufu walioenda Marekani na kurudi hawako sawa.

Huu ni mtazamo wangu binafsi. Pia niseme kuna ambao walienda wakafanikiwa sana.
 
Wengi wanaenda kule wakiwa na matarajio makubwa kumbe si hivyo na maisha kule ni ghali kuanzia kula,kuvaa na kulala na huduma za afya bora hapa kwa huyu Mama wa Vikoba anaenda kukopa kule analeta hela nyumbani japo anazila na wanae.
 
Mtu akisikia marekani wanalipa kazi za kawaida mjlioni 4 kwa mwezi anawehuka...

Ukienda marekani kodi tu ya nyumba ya kawaida ni milioni 3 hapo hujala, hujavaa, hujajitibu, n.k....

Ukishindwa kodi ya nyumba unajiunga kundi la "Homeless" wasio na sehemu za kuishi, wapo wengi sana hawa na wana kazi zao zinawaingizia vipato ambavyo kwa hapa bongo unakodi nyumba kali sana, Homeless wengi wanalala kwenye magari yao ama kwenye mahema barabarani.

Kabla hujaenda nje fatilia gharama za maisha, unaweza sikia kipato ni mamilioni ukawehuka ila ukifika huko gharama zikakuwehusha zaidi
 
LEMUTUZ
Le3.jpg
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba tujadili hili.

Binafsi nimekulia kwenye mkoa wa kitalii ambapo nimeshuhudia vijana wengi wakienda ughaibuni kutafuta maisha.. Arusha na Ulaya zina uhusiano mzuri. Vijana kwenye utalii hupata fursa za kwenda huko. Pia wanamichezo kupitia riadha huenda nchi za Ulaya na America. Hata mimi mwenyewe nilikuwa na ndoto za kwenda huko ila shule ikanibana.

Katika watu ninaowafahamu walioenda Marekani ni kwamba wengi wao huwa wanarudi hawana kitu na pia ni kama kisaikolojia hawako sawa. Kuna siku tulikuwa kwenye sherehe akaja jamaa mmoja kavaa tshirt na jeans anaonekana kama vile afya imetetereka nikaambiwa huyo kaja likizo from the USA. Pia hapa mtandaoni kuna mtu maarufu sana aliishi marekani miaka mingi ila mienendo yake baada ya kurudi unaona kama kuna kitu kinamtesa akilini. Nina mifano mingi ya watu maarufu na wasio maarufu walioenda Marekani na kurudi hawako sawa.

Huu ni mtazamo wangu binafsi. Pia niseme kuna ambao walienda wakafanikiwa sana.

Achana na story za vijiweni boss.
 
Vijana wengi ni washamba sio wote..Kuna Wana wameenda wametusua ila Wana mweingine wameenda wamerudi ni wabwia unga na mateja kabisa,life limewashinda kabisa sijajua huko kwenu ila washkaji wengi wametusua wachache wale wasela mavi ndo wamerudi na maviatu tu na nguo la uhuni wa kula unga..waliojitambua waliongia walishatuma hata coaster wengine hiace kwao ndani ya mda mchache walijua nn wamefuata...Bongo kwao mambo safi.

Hao vijana na maeneo hao wengine hawana future ni usela mavi ,wapo washkaji chuga wametusua kwa kwenda huku Tena wale wanajitambua sio hao wa kugongwa nguo kwa watalii.
 
Mtu akisikia marekani wanalipa kazi za kawaida mjlioni 5 kwa mwezi anawehuka...

Ukienda marekani kodi tu ya nyumba ni milioni 4 hapo hujala, hujavaa, hujajitibu, n.k....
Kule nyumba ni gharama kwa sababu haulipii tu nyumba bali unalipia na services nyingine kama umeme,gas,maji, kwa mwezi

Yani wewe tumia tu ila mwisho wa mwezi unalipa Bill kadri ulivyotumia
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba tujadili hili.

Binafsi nimekulia kwenye mkoa wa kitalii ambapo nimeshuhudia vijana wengi wakienda ughaibuni kutafuta maisha.. Arusha na Ulaya zina uhusiano mzuri. Vijana kwenye utalii hupata fursa za kwenda huko. Pia wanamichezo kupitia riadha huenda nchi za Ulaya na America. Hata mimi mwenyewe nilikuwa na ndoto za kwenda huko ila shule ikanibana.

Katika watu ninaowafahamu walioenda Marekani ni kwamba wengi wao huwa wanarudi hawana kitu na pia ni kama kisaikolojia hawako sawa. Kuna siku tulikuwa kwenye sherehe akaja jamaa mmoja kavaa tshirt na jeans anaonekana kama vile afya imetetereka nikaambiwa huyo kaja likizo from the USA. Pia hapa mtandaoni kuna mtu maarufu sana aliishi marekani miaka mingi ila mienendo yake baada ya kurudi unaona kama kuna kitu kinamtesa akilini. Nina mifano mingi ya watu maarufu na wasio maarufu walioenda Marekani na kurudi hawako sawa.

Huu ni mtazamo wangu binafsi. Pia niseme kuna ambao walienda wakafanikiwa sana.
Naamin nilichoandika huku hakikua uongo
 
Wengi wanaenda kule wakiwa na matarajio makubwa kumbe si hivyo na maisha kule ni ghali kuanzia kula,kuvaa na kulala na huduma za afya bora hapa kwa huyu Mama wa Vikoba anaenda kukopa kule analeta hela nyumbani japo anazila na wanae.
Marekani ni pagumu sana japokua wanasema ni land of opportunities Ila ni pagumu struggle is real, ule uzuri ndo unaozuzua watu
 
Back
Top Bottom