Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Huu ndiyo ukweli!!Marekani ni pagumu sana japokua wanasema ni land of opportunities Ila ni pagumu struggle is real,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndiyo ukweli!!Marekani ni pagumu sana japokua wanasema ni land of opportunities Ila ni pagumu struggle is real,
Mkuu kule si kuna mitumba kuanzia Nguo, Simu, Na vitu vya ndani nasikia kuna sehemu watu wana vipeleka na kuviacha uko.Wengi wanaenda kule wakiwa na matarajio makubwa kumbe si hivyo na maisha kule ni ghali kuanzia kula,kuvaa na kulala na huduma za afya bora hapa kwa huyu Mama wa Vikoba anaenda kukopa kule analeta hela nyumbani japo anazila na wanae.
Wewe wasema. Nimeandika kwa kushuhudia baadhi ya watu. Sio stori ya kijiweni.
We unaona Lemutuz anaakili sawa kweli?Tutajie hao watu walioenda na hawako sawa
Ninafkiri huwaga ni ubinafsi tu maana wengi wakishafika huko hubadilika tabia na kuwa kama waliowakuta huko. Wanaamini kila mtu alikuja kimpango wake na chochote kitamkuta ni yeye mwenyewe kimpango wake lakini siamini kama wanashindwaga kuchangishana pesa kusafirisha maiti ya mbongo mwenzao.hata wakifa huko tunachangishwa huku matopeni gharama za kusafirishwa kuletwa huku,na wabongo wa huko wachache wanachanga lakini bado mpunga autoshi mwisho wanaamua wazike huko.