safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
watu lazima wafahamu kwamba kuna usalama ambao ni wakawaida na wale ambao ni undercover.Nakataaaaaa
Hakuna TISS ninaye mjua Mimi halafu familia yake haimjui kuwa yeye ni TISS.
Hizo za kutokujulikana kafa nazo Nyerere.
Siku hizi ile tu kapata chance kwenye Bagamoyo basi masela woteee tunajua.
#YNWA
Hiko kitengo cha undercover kipo majeshi mengi.
Ukienda jeshini unawakutwa intelligence officers hao ni usalama wa jeshi,yaani undercover hauwezi kuwajua hawavai uniform hao ni wakusanyaji taarifa tu.
hata ukija kwa watu wa usalama wenyewe wanacho kitengo cha undercover ambacho usalama hao huwezi kuwajua kamwe wanakuwa watu wa kusaka taarifa,ndio utakuta wauza mkaa,mama ntilie,n.k
Hawa usalama tunaowaona wakiwa kwenye misafara nyuma ya raisi hawa sio wale undercover ni wale wa kawaida tu.
hata ukienda polisi hizo vitengo vipo vya intelinsia,hao ni undercover huwezi wajua,kuna mwaka alikufa mwandishi wa habari wa kike polisi wakadai maiti yao,watu wakapiga kelele sana ikauwaje polisi anakuwa mwandishi je analipwa mishahara miwili ? Habari ndo hiyo.
unaweza kushangaa hawa viongozi wa kisiasa wengine ni undercover wa jeshi fulani au idara fulani.