Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Peace upon ya'all,

Ebwana ni ajabu sana mtaani ukipita mtu anaesemekana ni TISS hutukuzwa na hata watu wengine wengi hujifanya TISS ili kuonekana maalumu na kutafuta maujiko

Hata hapa jf wengi hujifanya TISS ili kujipatia ujiko ajabu ni kwamba kama ilivyo nesi, daktari, mfamasia, dentist n.k wako katika kada ya afya (health sector) au walimu, wakufunzi wako kada ya elimu (education sector) au kama marubani, airhostess, astronuts n.k wako kada ya aviation ndivyo pia askari magereza, polisi, askari jeshi, mgambo na TISS wote ni kada ya ulinzi.

Kimsingi TISS ni kada ya ulinzi kundi moja, taaluma moja na mgambo wametofautiana juristiction chache ila wana mengi ya pamoja kuliko utofauti. Hata kimaslahi TISS ni wakawaida sana na wamepitwa na kada nyingi tu na hamna maajabu yoyote kwa hawa walinzi.

Kama reporting TISS officer analipwa 1,850,000 (1.8M) mbona ni kamshahara kadogo kuliko hata lecturer wa chuo cha umma achilia mbali daktari mwandamizi au hata tu mkandarasi wa electrical installation wa mradai wa pale Stigler anaelipwa zaidi ya 3M.

Ni ushamba tu wa Watanzania kuona ati walinzi hawa ni watu wa hadhi kubwaaaa, na ujinga huo ndio unawafanya watu kama Sabaya mwaka 2018 - 19 kujifanya TISS huku akisafiri bure, na kupata huduma katika mahotel makubwa bure akiwaonyesha kitambulisho tu.

Kitu ambacho hata angekua kweli ni TISS hakuna upendeleo wa kupata huduma bure hata sio invoice hapana anatakiwa kulipa labda vingvyo iwe argency ya serikali.
Kwa ujumla WaTz hatujajikomboa kifikra, ujinga mwingi sana na unaongezeka kila uchwao, kwa maslahi ya ccm.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
kuna mzee mmoja alifanyaga nikaipenda idara kwa muda ila.kadri siku zilivyoenda nikaonaga idara ni kitu cha kawaida sana

yule mzee wakati huo alikuwa ni RSO Iringa
baadaye akahamia moro

mzee alikuwa mstaarabu sana mtu msikivu sana nikajuaga ndo tabia ya wote

nikaja kuwaona matss wavuta bangi akili hamna maisha ya hovyo wengi wao kawaida sana


kula 5 Mzee mwalukasa
 
Kumshitaki mahakamani huenda ilikuwa tu kama vile 'plausible deniability' ili kuwazuga raia.
Sio kweli yule tapeli wa kawaida arusha angekuwa ninkwenye mission sawa.ila yy alikuwa anazurura kutishi wahindi wampe hela mm alijaribu nkampigia jamaa yuko ikulu akiwa sio maarufu kipindi hicho alikimbia
 
Basi na wewe katengeneze kitambulisho fake Cha TISS halafu ukikamatwa wakati kesi inaendelea utataeuliwa kuwa DC.
U dc aliteuliwa sababu magu alikuwa anataka majambazi kama yy magu ulikuwa ukiwa katili lazima akupe cheo au ukimsifia
 
Japo kauzi kanafatiliwa vizuri na wazee

Kunasiku tulikua tunazurula na Toyo mtaani,tukakutana na wajeda walikua na ruti zao za kikaz wapo na misafara ya iveco,gari zote zilitakiwa zipaki pembeni,ilikua raundi abauti Moja ivi kunagari ikajichanganya haikufata mashart ya masoja,masoja wakastopisha safari zao wakashuka ma MP wamechafukwa balaa wakaifata Ile gari na AK-47,kunanini sijui kilioneshwa ndani ya sekunde 5 ma MP waliludi wanalalamika" MAMBO GANI AYA"

Tuliokua tumegandishwa kwenye msafara tulicheka sana,yaani ma MP wamesanda kwa dogo janja wa miaka 25,tulitegemea dogo aibebe crown yake aluke nayo kichura wiki nzima,mbaya zaid ilikua na brigade office.

Tulijiuliza sana uyu dogo ni nani wajeda wamkatae,maana dogo hakuongea chochote alitoka kwenye gari sekunde 2 akalud kwenye gari akapotea,dogo mwenyewe ni bishoo tu,kala kiduku kikali ila wajeda walisanda

Tuliokua pale tukajua dogo ni usalama,sio rahisi wapenda sifa wakuache kirahisi

Mtoa mada unapo wa underrate ao wajomba wakati wajeda wenyewe wanawagwaya nakushangaa sana
 
Japo kauzi kanafatiliwa vizuri na wazee

Kunasiku tulikua tunazurula na Toyo mtaani,tukakutana na wajeda walikua na ruti zao za kikaz wapo na misafara ya iveco,gari zote zilitakiwa zipaki pembeni,ilikua raundi abauti Moja ivi kunagari ikajichanganya haikufata mashart ya masoja,masoja wakastopisha safari zao wakashuka ma MP wamechafukwa balaa wakaifata Ile gari na AK-47,kunanini sijui kilioneshwa ndani ya sekunde 5 ma MP waliludi wanalalamika" MAMBO GANI AYA"

Tuliokua tumegandishwa kwenye msafara tulicheka sana,yaani ma MP wamesanda kwa dogo janja wa miaka 25,tulitegemea dogo aibebe crown yake aluke nayo kichura wiki nzima,mbaya zaid ilikua na brigade office.

Tulijiuliza sana uyu dogo ni nani wajeda wamkatae,maana dogo hakuongea chochote alitoka kwenye gari sekunde 2 akalud kwenye gari akapotea,dogo mwenyewe ni bishoo tu,kala kiduku kikali ila wajeda walisanda

Tuliokua pale tukajua dogo ni usalama,sio rahisi wapenda sifa wakuache kirahisi

Mtoa mada unapo wa underrate oa wajomba wakati wajeda wenyewe wanawagwaya nakushangaa sana
 
Japo kauzi kanafatiliwa vizuri na wazee

Kunasiku tulikua tunazurula na Toyo mtaani,tukakutana na wajeda walikua na ruti zao za kikaz wapo na misafara ya iveco,gari zote zilitakiwa zipaki pembeni,ilikua raundi abauti Moja ivi kunagari ikajichanganya haikufata mashart ya masoja,masoja wakastopisha safari zao wakashuka ma MP wamechafukwa balaa wakaifata Ile gari na AK-47,kunanini sijui kilioneshwa ndani ya sekunde 5 ma MP waliludi wanalalamika" MAMBO GANI AYA"

Tuliokua tumegandishwa kwenye msafara tulicheka sana,yaani ma MP wamesanda kwa dogo janja wa miaka 25,tulitegemea dogo aibebe crown yake aluke nayo kichura wiki nzima,mbaya zaid ilikua na brigade office.

Tulijiuliza sana uyu dogo ni nani wajeda wamkatae,maana dogo hakuongea chochote alitoka kwenye gari sekunde 2 akalud kwenye gari akapotea,dogo mwenyewe ni bishoo tu,kala kiduku kikali ila wajeda walisanda

Tuliokua pale tukajua dogo ni usalama,sio rahisi wapenda sifa wakuache kirahisi

Mtoa mada unapo wa underrate oa wajomba wakati wajeda wenyewe wanawagwaya nakushangaa sana

Sasa mkuu hapo cha ajabu nini? Jeshi is all about vyeo. Kama wamemkuta mtu ana cheo zaidi yao (sio lazima awe TISS) hapo wanashurutishwa kujishusha.
 
Posho sio ndefu kihivyo labda kuna vile viposho vya safari za hapa na pale kwa wale wakusanya taarifa.

Otherwise posho ni za kawaida sana na hazikidhi maisha ya sasa ndiyo maana tunakopeshana nao mtaani na sometimes tunarushana kwa ubabaishaji kwasababu hela hana unarushwa mwezi mwingine mbele asubiri mshahara.
Nimezungumzia namba za mishahara ya walio kwenye mfumo wa serikali kuu kwa ujumla. Siyo tu huko ambako mnataja. Ndiko mjadala wangu uliko.

Ila mwisho wa siku inategemea nafasi ya mtu, coz posho za DC haziwezi kufanana na RC, au za Mkurugenzi wa Wizara hazifanani na Katibu Mkuu wa Wizara.

Ova
 
Sabaya hakua TISS wadau mbona mnafeli kuelewa mambo madogo tu
wao wanazingatia nafasi alizokuja kushika baadae,kwamba haiwezekani afanye tukio la kughushi Kama hilo halafu serikali bado imuamini na kumpa nafasi Kama ilivyotokea!
 
Back
Top Bottom