Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Nakataaaaaa
Hakuna TISS ninaye mjua Mimi halafu familia yake haimjui kuwa yeye ni TISS.

Hizo za kutokujulikana kafa nazo Nyerere.

Siku hizi ile tu kapata chance kwenye Bagamoyo basi masela woteee tunajua.

#YNWA
watu lazima wafahamu kwamba kuna usalama ambao ni wakawaida na wale ambao ni undercover.

Hiko kitengo cha undercover kipo majeshi mengi.

Ukienda jeshini unawakutwa intelligence officers hao ni usalama wa jeshi,yaani undercover hauwezi kuwajua hawavai uniform hao ni wakusanyaji taarifa tu.

hata ukija kwa watu wa usalama wenyewe wanacho kitengo cha undercover ambacho usalama hao huwezi kuwajua kamwe wanakuwa watu wa kusaka taarifa,ndio utakuta wauza mkaa,mama ntilie,n.k

Hawa usalama tunaowaona wakiwa kwenye misafara nyuma ya raisi hawa sio wale undercover ni wale wa kawaida tu.

hata ukienda polisi hizo vitengo vipo vya intelinsia,hao ni undercover huwezi wajua,kuna mwaka alikufa mwandishi wa habari wa kike polisi wakadai maiti yao,watu wakapiga kelele sana ikauwaje polisi anakuwa mwandishi je analipwa mishahara miwili ? Habari ndo hiyo.

unaweza kushangaa hawa viongozi wa kisiasa wengine ni undercover wa jeshi fulani au idara fulani.
 
Unadanganya umma mkuuπŸ˜€πŸ˜€.

Watu wanakuchora tu unavyoyakuza mambo kimchongomchongo.

Hakuna kazi ambayo lengo lake ni kutisha watu.

Hakuna kazi ambayo lengo lake ionekane ipo juu zaidi ya nyingine.

Kazi zote unazoziona lengo kuu ni ulinzi na maendeleo ya nchi.

Unapoanza kusema kazi fulani sijui iko hivi na vile basi ujue unaenda nje ya malengo ya kazi hiyo.

Hakuna kazi ambayo iko juu yawenzake,jsio polis,sio jeshi,sio usalama wala uhamiaji wala madaktari.

Mnachokifanya hapa ni kujipotosha wenyewe tu na stori za vijiwe ambazo hazina uhalisia wowote.
 
Tiss hata hawana maisha ya ajabu mno. Pia hawaishi kwa kujiachia ,wanachunga midomo yao wanachoongea Mana anaweza akaropoka yasiyotakiwa kuongelewa public. They're just as if they're Living but in reality they're aren't
hujawahi kukutana nao wakilewa wewe....🀣🀣🀣🀣🀣
 
Tuwagwaye kwa kazi yao waliyochagua wenyewe
Sisi haituhusu

Ova
 
Mtu asipo elewa ulivyoelezea hakuna maneno atakaye pewa tena ili aelewe.
Simple logic umetumia lakini kuna watakaokaza fuvu.
 
Sabaya hakua TISS wadau mbona mnafeli kuelewa mambo madogo tu​
baada ya kuwa MKUU wa wilaya TISS ya wilayani kwake ilikuwa chini yake hivyo kama kipindi hiko hakuwa....hivi sasa yumo....mind you kuna baadhi ya nyazifa hapa nchini huwezi kupewa kama wewe sio EAGLES...

Siajabu hata huo uwaziri ndio maana MAWAZIRI waliotoka upinzani wameishia kuwa manaibu waziri...!​
 
Labda ni kwa Tz, lakini kwenye baadhi ya nchi zingine Idara za usalama wa umma/nchi ni Majeshi kamili kabisa ktk nchi yenye mafunzo kamili sawa na majeshi mengine ya ulinzi. Wengine idara hizo wanaziita "Jeshi la Upelelezi na Hujuma."
 
once the one always the one....utakacho kuwa huru ni kufanya shughuri zako huru ila bado utashiriki kazi za hapa na pale kama informa....

nadanganya bwana​
 
harAfu siku nitakayo wala mtungo lazima niande kwenye uzi wa fantastic...na ule wa kula kimasikhara...!​
Hahahahaahahaha πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ khaaaaa 🀣🀣🀣
 
Hakuna lolote na wala si chochote! Once a devil always a devil, kwa nini basi mtu ajivunie au kuona ufahari juu ya hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…