Kwanini wengine Wakifa Rais Samia hawapi Mamilioni ya Shilingi kama alivyofanya kwa huyu Sheikh Muhammad Idi?

Kwanini wengine Wakifa Rais Samia hawapi Mamilioni ya Shilingi kama alivyofanya kwa huyu Sheikh Muhammad Idi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amekabidhi kiasi cha Tsh Milioni 20 za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwenda katika familia ya marehemu Sheikh Muhammad Idd.

Mufti Abubakar Zuber amekabidhi Milioni 20 kwa Mwakilishi wa familia Ustadh Abuu Ally huku Milioni 30 zilizobaki kutolewa kwa awamu na utaratibu uliopangwa ili kutimiza kiasi cha Tsh Milioni 50 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe Dkt. Samia kwa familia hiyo.

Sheikh Muhammad Iddi alizaliwa mwaka 1969 na kufariki dunia Januari 30,2025 katika hospitali ya Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu huku enzi za uhai wake akihudumu kama Mshauri wa Mufti mambo ya jamii na Imamu mkuu wa msikiti wa Mwinyiamani Buguruni jijini Dar es salaam.

Chanzo: manaratv

Kumbe Tanzania hii hii kuna Watu wa kupewa Mamilioni ya Shilingi kama hivi na Mheshimiwa Rais na wengine hapana?
 
Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amekabidhi kiasi cha Tsh Milioni 20 za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwenda katika familia ya marehemu Sheikh Muhammad Idd.

Mufti Abubakar Zuber amekabidhi Milioni 20 kwa Mwakilishi wa familia Ustadh Abuu Ally huku Milioni 30 zilizobaki kutolewa kwa awamu na utaratibu uliopangwa ili kutimiza kiasi cha Tsh Milioni 50 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe Dkt. Samia kwa familia hiyo.

Sheikh Muhammad Iddi alizaliwa mwaka 1969 na kufariki dunia Januari 30,2025 katika hospitali ya Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu huku enzi za uhai wake akihudumu kama Mshauri wa Mufti mambo ya jamii na Imamu mkuu wa msikiti wa Mwinyiamani Buguruni jijini Dar es salaam.

Chanzo: manaratv

Kumbe Tanzania hii hii kuna Watu wa kupewa Mamilioni ya Shilingi kama hivi na Mheshimiwa Rais na wengine hapana?
Ukiona hivyo ujuwe kuna jambo amefanya kwenye Taifa hili
 
Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amekabidhi kiasi cha Tsh Milioni 20 za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwenda katika familia ya marehemu Sheikh Muhammad Idd.

Mufti Abubakar Zuber amekabidhi Milioni 20 kwa Mwakilishi wa familia Ustadh Abuu Ally huku Milioni 30 zilizobaki kutolewa kwa awamu na utaratibu uliopangwa ili kutimiza kiasi cha Tsh Milioni 50 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe Dkt. Samia kwa familia hiyo.

Sheikh Muhammad Iddi alizaliwa mwaka 1969 na kufariki dunia Januari 30,2025 katika hospitali ya Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu huku enzi za uhai wake akihudumu kama Mshauri wa Mufti mambo ya jamii na Imamu mkuu wa msikiti wa Mwinyiamani Buguruni jijini Dar es salaam.

Chanzo: manaratv

Kumbe Tanzania hii hii kuna Watu wa kupewa Mamilioni ya Shilingi kama hivi na Mheshimiwa Rais na wengine hapana?
2025 preparedness :3Dance:
 
Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amekabidhi kiasi cha Tsh Milioni 20 za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwenda katika familia ya marehemu Sheikh Muhammad Idd.

Mufti Abubakar Zuber amekabidhi Milioni 20 kwa Mwakilishi wa familia Ustadh Abuu Ally huku Milioni 30 zilizobaki kutolewa kwa awamu na utaratibu uliopangwa ili kutimiza kiasi cha Tsh Milioni 50 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe Dkt. Samia kwa familia hiyo.

Sheikh Muhammad Iddi alizaliwa mwaka 1969 na kufariki dunia Januari 30,2025 katika hospitali ya Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu huku enzi za uhai wake akihudumu kama Mshauri wa Mufti mambo ya jamii na Imamu mkuu wa msikiti wa Mwinyiamani Buguruni jijini Dar es salaam.

Chanzo: manaratv

Kumbe Tanzania hii hii kuna Watu wa kupewa Mamilioni ya Shilingi kama hivi na Mheshimiwa Rais na wengine hapana?
Ndege wenye mbawa zinazofanana huruka pamoja.

Wewe unataka ufanane na sisi wa swala 5 kwa siku?
 
Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amekabidhi kiasi cha Tsh Milioni 20 za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwenda katika familia ya marehemu Sheikh Muhammad Idd.

Mufti Abubakar Zuber amekabidhi Milioni 20 kwa Mwakilishi wa familia Ustadh Abuu Ally huku Milioni 30 zilizobaki kutolewa kwa awamu na utaratibu uliopangwa ili kutimiza kiasi cha Tsh Milioni 50 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe Dkt. Samia kwa familia hiyo.

Sheikh Muhammad Iddi alizaliwa mwaka 1969 na kufariki dunia Januari 30,2025 katika hospitali ya Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu huku enzi za uhai wake akihudumu kama Mshauri wa Mufti mambo ya jamii na Imamu mkuu wa msikiti wa Mwinyiamani Buguruni jijini Dar es salaam.

Chanzo: manaratv

Kumbe Tanzania hii hii kuna Watu wa kupewa Mamilioni ya Shilingi kama hivi na Mheshimiwa Rais na wengine hapana?
Focus na mawazo ya mama yapo oktoba anatafuta tu wapiga kura hapo
 
Nikifikiri kwa ufinyu wangu wa akili labda ni kwa sababu ni dini moja,lakini pia kwa ufinyu huo huo wa akili nawaza kama 50mill inatoka mfuko gani?

Wa mtoaji (raisi) au zinatoka kwenye chanzo gani?nikifikiri kwa upana labda zinatoka kwa sababu alikuwa bakwata chombo kinachoshiriki moja kwa moja kuwasiliana na serikali mambo mbalimbali,yote yanawezekana.
 
Usihadaike na neno sheikh....aliyefariki ni ntu ya sirikali
Naam! Nakuelewa mkuu.

Maana alikuwa na kipindi pale channel ten, na mmiliki anajulika wa hiko kituo ni ccm.
Teeth na serikali ya ccm ni baba na mama yao mmoja.
 
Tanzania ukiwa Rais hela zaote za umma ni zako maana kwa mshahara mtu huwezi kutoa haya mahela yote ni ngumu
 
mijitu ya bara muache kutamka buguruni mnyamani badala ya mwinyi amani 😀
 
Labda tu ndugu mjumbe nikwambie hakuna kitu kinatoka bure
 
Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amekabidhi kiasi cha Tsh Milioni 20 za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwenda katika familia ya marehemu Sheikh Muhammad Idd.

Mufti Abubakar Zuber amekabidhi Milioni 20 kwa Mwakilishi wa familia Ustadh Abuu Ally huku Milioni 30 zilizobaki kutolewa kwa awamu na utaratibu uliopangwa ili kutimiza kiasi cha Tsh Milioni 50 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe Dkt. Samia kwa familia hiyo.

Sheikh Muhammad Iddi alizaliwa mwaka 1969 na kufariki dunia Januari 30,2025 katika hospitali ya Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu huku enzi za uhai wake akihudumu kama Mshauri wa Mufti mambo ya jamii na Imamu mkuu wa msikiti wa Mwinyiamani Buguruni jijini Dar es salaam.

Chanzo: manaratv

Kumbe Tanzania hii hii kuna Watu wa kupewa Mamilioni ya Shilingi kama hivi na Mheshimiwa Rais na wengine hapana?
Aisee..., huyu mama mbn anachezea pesa zetu kiasi hiki? Analeta mambo ta udini? Zinamtosha kweli? Huyo mtu ana uspesho gani. Huyu mswahili haoni ht aibu.
 
Back
Top Bottom