Aisee..., huyu mama mbn anachezea pesa zetu kiasi hiki? Analeta mambo ta udini? Zinamtosha kweli? Huyo mtu ana uspesho gani. Huyu mswahili haoni ht aibu.
Top layer ya BAKWATA wote wapo kwenye payrollKama alivyo shehe mkuu zuberi!
Alivyochangia M150 ujenzi wa kanisa Hai mlikaa kimyaaa manina 😂
Hawa wavimba macho hawana akili.Kazi yao udini tu.Wakipewa wao ni sawa wakipewa wengine kuna udini.Wanasumbuliwa na chuki na ujingaAlivyochangia M150 ujenzi wa kanisa Hai mlikaa kimyaaa manina 😂
Taka taka kabisa.Hawa wavimba macho hawana akili.Kazi yao udini tu.Wakipewa wao ni sawa wakipewa wengine kuna udini.Wanasumbuliwa na chuki na ujinga
Chuki zinakusumbua.Wakipewa hao unaowataka hu comment kwa sababu unadhani ni haki yao ila wakipewa wengine ni ubaguzi.Kuna mambo mtu unashindwa kuelewa mantiki yake kwa sababu leo hii ukienda mahospitalini utakuta wagonjwa kadhaa wanashindwa kufanya matibabu kwa kukosa fedha lakini huku kuna marehemu familia yake wanapewa mamilioni wagawane! Kwa sababu hizo fedha zilizotolewa hazimsaidii chochote marehemu.
Lakini ingekuwa vyema wananchi tuelezwe hizo fedha ni fedha binafsi za Samia au fedha za serikali? Kama fedha binafsi za Samia sawa lakini kama ni fedha za serikali huo utakuwa ni ubaguzi kwanini wengine wapewe wengine wasipewe?
Ila yote kwa yote nionavyo kwa sasa tunapitia kipindi kigumu kiongozi.
Kionngozi wa mojawapo ya Jumuiya za CCM yaani UWT, UVCCM, BAKWATA n.k amefariki. Hivyo mchango wa BAKWATA kwa serikali ya CCM ni mkubwa na ndiyo ukubwa wa rambirambi kwa wafiwa ...
TOKA MAKTABA :
Mitano kwanza ya Alhad Musa shehe wa mkoa ilivyopingwa sana na sheikh Muhammad Iddi
View: https://m.youtube.com/watch?v=ElJCi_-R9E8
Huyo alikua kiongozi wa bakwata kwa hiyo ni mtu wa system kama na anafahamiana naeMufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amekabidhi kiasi cha Tsh Milioni 20 za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwenda katika familia ya marehemu Sheikh Muhammad Idd.
Mufti Abubakar Zuber amekabidhi Milioni 20 kwa Mwakilishi wa familia Ustadh Abuu Ally huku Milioni 30 zilizobaki kutolewa kwa awamu na utaratibu uliopangwa ili kutimiza kiasi cha Tsh Milioni 50 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe Dkt. Samia kwa familia hiyo.
Sheikh Muhammad Iddi alizaliwa mwaka 1969 na kufariki dunia Januari 30,2025 katika hospitali ya Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu huku enzi za uhai wake akihudumu kama Mshauri wa Mufti mambo ya jamii na Imamu mkuu wa msikiti wa Mwinyiamani Buguruni jijini Dar es salaam.
Chanzo: manaratv
Kumbe Tanzania hii hii kuna Watu wa kupewa Mamilioni ya Shilingi kama hivi na Mheshimiwa Rais na wengine hapana?
Milioni 50, ni rambirambi au kuna la ziada? Zingetolewa akiwa hai, kuna uwezekano angenusuri maisha yake kwa kujipatia matibabu kwenye nchi zenye matabibu! Muhimbili, Mloganzila, unakwenda unajiona!Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amekabidhi kiasi cha Tsh Milioni 20 za rambirambi kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwenda katika familia ya marehemu Sheikh Muhammad Idd.
Mufti Abubakar Zuber amekabidhi Milioni 20 kwa Mwakilishi wa familia Ustadh Abuu Ally huku Milioni 30 zilizobaki kutolewa kwa awamu na utaratibu uliopangwa ili kutimiza kiasi cha Tsh Milioni 50 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe Dkt. Samia kwa familia hiyo.
Sheikh Muhammad Iddi alizaliwa mwaka 1969 na kufariki dunia Januari 30,2025 katika hospitali ya Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu huku enzi za uhai wake akihudumu kama Mshauri wa Mufti mambo ya jamii na Imamu mkuu wa msikiti wa Mwinyiamani Buguruni jijini Dar es salaam.
Chanzo: manaratv
Kumbe Tanzania hii hii kuna Watu wa kupewa Mamilioni ya Shilingi kama hivi na Mheshimiwa Rais na wengine hapana?