Kwanini wenye nyumba wanalazimisha wapangaji walipe Kodi kwanzia miezi 6?

Kwanini wenye nyumba wanalazimisha wapangaji walipe Kodi kwanzia miezi 6?

Mwezi mmoja atafanyia nayo maendeleo gani? Kuna watu wanalipa ada kwa hiyo kodi sasa ukimpa mwezi mmoja lazima atakwama.

Ukijenga nyumba ya biashara utakuwa unachukua mwezi mmoja mmoja?
 
Mkuu mimi nina kwangu nimejenga,nilichokiandika hapo ni maisha ya marafiki,ndugu na jamaa zangu wanachopitia,na ukiacha hivyo hata mimi nimewahi kuwa mpangaji hivyo yote yapo kama yalivyo!
Screenshot comment yangu uwatumie hao ndugu na jamaa zako, wasikae kizembe. Namna umewawakilisha, pia na ujumbe wangu wafikishie.
 
Kumetokea wimbi la wenye nyumba kutaka Kodi ya miezi 6 kwa mkupuo wengine wanataka hadi ya mwaka mzima

Mfano Mimi nalipia Kodi 150,000 mwenye nyumba huaa hapokei Kodi ya mwezi mmoja anasema Kodi lazima nilipe miezi 6 au mwaka mmoja

Ukiangalia ulipwaji WA fedha/Kodi haumpi mpangaji guarantee ya fedha Anayolipa

Mfano mpangaji akipata dharura akitaka Kuhama mkoa hakuna kipengele Cha kurudisha Kodi.

Mpangaji akifariki kama hakua na MTU WA Karibu wakati WA kusain mikataba hizo fedha zinapotea .

Nishauri Wenye nyumba waruhusu wapangaji waamue ulipwaji wakodi ili haki itendeke.
Kwa sababu mnasumbua sana , wabongo mnasumbua sana
 
Kumetokea wimbi la wenye nyumba kutaka Kodi ya miezi 6 kwa mkupuo wengine wanataka hadi ya mwaka mzima

Mfano Mimi nalipia Kodi 150,000 mwenye nyumba huaa hapokei Kodi ya mwezi mmoja anasema Kodi lazima nilipe miezi 6 au mwaka mmoja

Ukiangalia ulipwaji WA fedha/Kodi haumpi mpangaji guarantee ya fedha Anayolipa

Mfano mpangaji akipata dharura akitaka Kuhama mkoa hakuna kipengele Cha kurudisha Kodi.

Mpangaji akifariki kama hakua na MTU WA Karibu wakati WA kusain mikataba hizo fedha zinapotea .

Nishauri Wenye nyumba waruhusu wapangaji waamue ulipwaji wakodi ili haki itendeke.
Ungekuwa mmiliki wa nyumba au unaendesha hiyo biashara ungeelewa ni kwanini wanachukua kodi ya kuanzia miezi sita na si vinginevyo
 
Kumetokea wimbi la wenye nyumba kutaka Kodi ya miezi 6 kwa mkupuo wengine wanataka hadi ya mwaka mzima

Mfano Mimi nalipia Kodi 150,000 mwenye nyumba huaa hapokei Kodi ya mwezi mmoja anasema Kodi lazima nilipe miezi 6 au mwaka mmoja

Ukiangalia ulipwaji WA fedha/Kodi haumpi mpangaji guarantee ya fedha Anayolipa

Mfano mpangaji akipata dharura akitaka Kuhama mkoa hakuna kipengele Cha kurudisha Kodi.

Mpangaji akifariki kama hakua na MTU WA Karibu wakati WA kusain mikataba hizo fedha zinapotea .

Nishauri Wenye nyumba waruhusu wapangaji waamue ulipwaji wakodi ili haki itendeke.
si wote ni baadhi ya wenye nyumba tu.
Hata na hivyo kama umeridhia sharti hilo kulingana na mkataba huna sababu kulalamika lipa huku ukikaza msuli kujenga yako 🐒
 
K
Inategemea na mwenye nyumba, Nina rafiko yangu aliachiwa nyumba ya urithi eneo potential kinoma Lina fremu zimezunguka zipo zaidi ya 30, huyu jamaa hataki stress ye ni mtu wa kula bia tu....

Kinachonichekesha jamaa anapokea Kodi ya mwezi mmoja mmoja tu, yaani hata umuue hawezi kukubali umlipe zaidi ya mwezi, alafu wapangaji tarehe zinapishana yaani karibu Kila siku anapitia maokoto tu... Niliwahi kumuuliza akadai mambo ya kupewa hela miezi sijui 6 zikiisha unaweza kupauka kweli mpaka mzigo uje tena
ila kila mwezi anachukua Kodi bei gani
 
Kumetokea wimbi la wenye nyumba kutaka Kodi ya miezi 6 kwa mkupuo wengine wanataka hadi ya mwaka mzima

Mfano Mimi nalipia Kodi 150,000 mwenye nyumba huaa hapokei Kodi ya mwezi mmoja anasema Kodi lazima nilipe miezi 6 au mwaka mmoja

Ukiangalia ulipwaji WA fedha/Kodi haumpi mpangaji guarantee ya fedha Anayolipa

Mfano mpangaji akipata dharura akitaka Kuhama mkoa hakuna kipengele Cha kurudisha Kodi.

Mpangaji akifariki kama hakua na MTU WA Karibu wakati WA kusain mikataba hizo fedha zinapotea .

Nishauri Wenye nyumba waruhusu wapangaji waamue ulipwaji wakodi ili haki itendeke.
Una uhakika una huo weledi wa kulipa kodi kila mwezi bila longolongo na usumbufu kwa kwenye nyumba za " Nivumilie nimekwama / kuna mchongo nausikilizia" ?
Wapangaji wa bongo ni kero sana , mi Niko kwenye hii sekta na ninaongea kwa uzoefu , ninasimamia real estate properties tano za mzazi lakini usumbufu na kero za wapangaji wa kibongo kama huna roho ngumu aisee
Ngoja niishie hapa
 
Kumetokea wimbi la wenye nyumba kutaka Kodi ya miezi 6 kwa mkupuo wengine wanataka hadi ya mwaka mzima

Mfano Mimi nalipia Kodi 150,000 mwenye nyumba huaa hapokei Kodi ya mwezi mmoja anasema Kodi lazima nilipe miezi 6 au mwaka mmoja

Ukiangalia ulipwaji WA fedha/Kodi haumpi mpangaji guarantee ya fedha Anayolipa

Mfano mpangaji akipata dharura akitaka Kuhama mkoa hakuna kipengele Cha kurudisha Kodi.

Mpangaji akifariki kama hakua na MTU WA Karibu wakati WA kusain mikataba hizo fedha zinapotea .

Nishauri Wenye nyumba waruhusu wapangaji waamue ulipwaji wakodi ili haki itendeke.
Kama hutaki sheria kajenge uishi kwako....
 
Nikupangishe mwezi mmoja kwa 150,000 au 300,000 ukitoka ushaharibu vitu kadhaa,mwingine akiingia lazima ufanye marrkebisho madogo.

Hio 150k yako si itaishia kwenye marekebisho? Sasa hio si biashara kichaa?

Sheria ya serikali haitakiwi kuzidi miezi mitatu, miezi 6+ inaleta utulivu kwa mpangaji na mwenye nyumba.
Hawaelewi hawa , hii biashara wapangaji ni pasua kichwa nakwambia , wao hawapigii hesabu uharibifu tena mara nyingi wa makusudi kabisa wanaofanya kwenye miundombinu ya nyumba + longolongo za kodi ,kusumbua kwenye malipo .
 
Hawaelewi hawa , hii biashara wapangaji ni pasua kichwa nakwambia , wao hawapigii hesabu uharibifu tena mara nyingi wa makusudi kabisa wanaofanya kwenye miundombinu ya nyumba + longolongo za kodi ,kusumbua kwenye malipo .
Mtu anatoka unatumia kodi yote ya miezi sita kurekebisha ili mtu aingie! Mpangaji anaekaa zaidi ya mwaka anakupumzisha hata vitu vingine anarelebisha mwenyewe.
 
Nakumbuka enzi hizo Zambia,yani Kodi unalipa kwa mwezi mmojammoja,ukitaka kulipa ya miezi mingi mwenye jengo anakataa anadai asijetumia zote akakosa Hela muda mrefu,bongo nyoso
Una weledi wa kulipa hiyo kodi ya mwezi after mwezi bila kuleta longolongo kwa mwenye nyumba ,au unajitoa ufahamu jinsi watz walivyo kero na wasumbufu kwenye malipo ?
 
Bora tz unalipia 6months unarelax, nchi zingine ambazo wanalipa kila mwezi lazima mwanzo kuna safety deposit depending na finishing ya nyumba unaweza lipia deposit kodi ya 6months halafu ndo unaanza mmoja mmoja. Hii yetu ni nzuri na ukifikiria mwenye nyumba ndo anabeba risk kubwa kwa system ya kodi miezi 6.
Ndio ambacho hawaelewi hicho
 
Una weledi wa kulipa hiyo kodi ya mwezi after mwezi bila kuleta longolongo kwa mwenye nyumba ,au unajitoa ufahamu jinsi watz walivyo kero na wasumbufu kwenye malipo ?
Mkuu swala la kutoheshim mkataba ni swala binafsi la mtu sio taifa,maana hata hiyo Kodi ya mwezi mmoja mmoja Bado watu walikuwa wanapenda kinyume,lakini Kuna watu wanalipa hiyo miezi6 bila usumbufu wowote
 
Ni ujinga kulipia miezi ambayo huna uhakika wa kuishi kwenye hiyo nyumba.

Wizara yenye dhamana inapaswa kuliangalia hili upya, hata kumlipa dalali mwezi mmoja ni wizi.

Kama inawezekana kukodi chombo cha usafiri kwa kupitia Application kama bolt imeshindikana nini wenye nyumba kulazimishwa kutangaza nyumba zao kupitia mitandao rasmi na wateja wapatikane huko na kodi ya Serikali ilipwe?

Kuna kodi inapotea, Madalali hawalipi kodi ukimpa laki 1 yake anaenda kulewa tu hiyo kazi kazi amefanya lakini Serikali haijakusanya kodi.
Hapo kwenye madalali umegusa penyewe, wanakeraa balaa
Uzuri sijawahi kukutana na utapeli wao. Mfyuuuuh
 
Back
Top Bottom