Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Tuko 5G. Kwa heri 1G.Wanabodi.
Wizara ya afya imeacha kabisa kupromoti Nyungu baada ya kifo cha shujaa wa Africa Magufuli. Hiyo inaashiria nini Wakuu hatuoni tena matamko kama zamani nini tatizo au Corona imeisha Tanzania, mawaziri wote kimya.