Mpe yote maana ni utashi wako, Jiwe ni failure of the centuryWamejitahidi Sana kuipoteza Corona
Kenya wanalia na Corona.
Sie Huku walaa.
Hata wale waliokuwa wanasema wanaumwa zilikuwa propaganda.
kwenye Corona magufuli nampa [emoji817].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe yote maana ni utashi wako, Jiwe ni failure of the centuryWamejitahidi Sana kuipoteza Corona
Kenya wanalia na Corona.
Sie Huku walaa.
Hata wale waliokuwa wanasema wanaumwa zilikuwa propaganda.
kwenye Corona magufuli nampa [emoji817].
Ni wakati wa kuandamana watupe katiba mpyaShida yetu ni katiba. Mtawalaumu Marais bila sababu. Wanapewa nguvu kubwa sana. Wanaitumia vilivyo
Huyu bibi mbona kimya?
Miwaziri minafiki kina Gwajima. Akakaburuza kamwanaume ka watu kakawa ktuko mitandaoni. Unafiki mtupu kupigania matumbo yao maana walishamsoma kuwa anataka sifa na kila anachokitaka kifanyike. Even if it were me, I would have behaved the same!Wanabodi.
Wizara ya afya imeacha kabisa kupromoti Nyungu baada ya kifo cha shujaa wa Africa Magufuli. Hiyo inaashiria nini Wakuu hatuoni tena matamko kama zamani nini tatizo au Corona imeisha Tanzania, mawaziri wote kimya.
Tatizo si katiba, ni akili mbovu ya mwendazake mbona hatukuwahi kuona ubazazi na mazonge ya kiwango hichi cha awamu ya 5 katika awamu zilizopita na katiba ni ile ile ya virakaviraka?!Shida yetu ni katiba. Mtawalaumu Marais bila sababu. Wanapewa nguvu kubwa sana. Wanaitumia vilivyo
Tatizo si katiba, ni akili mbovu ya mwendazake mbona hatukuwahi kuona ubazazi na mazonge ya kiwango hichi cha awamu ya 5 katika awamu zilizopita na katiba ni ile ile ya virakaviraka?!
Nyungu ilikuwa prescription ya Shujaa wa Afrika dhidi ya corona; haikuwa ya wizara ya afya. Sasa baada ya baadhi ya watu kudai kuwa corona imechangia kumuondoa Shujaa wa Afrika imebidi prescription pia ifanyiwe tathmini.Wanabodi.
Wizara ya afya imeacha kabisa kupromoti Nyungu baada ya kifo cha shujaa wa Africa Magufuli. Hiyo inaashiria nini Wakuu hatuoni tena matamko kama zamani nini tatizo au Corona imeisha Tanzania, mawaziri wote kimya.
Muda wa nyungu umepitaWanabodi.
Wizara ya afya imeacha kabisa kupromoti Nyungu baada ya kifo cha shujaa wa Africa Magufuli. Hiyo inaashiria nini Wakuu hatuoni tena matamko kama zamani nini tatizo au Corona imeisha Tanzania, mawaziri wote kimya.
Wizara inamsaliti shujaa!!!!Wanabodi.
Wizara ya afya imeacha kabisa kupromoti Nyungu baada ya kifo cha shujaa wa Africa Magufuli. Hiyo inaashiria nini Wakuu hatuoni tena matamko kama zamani nini tatizo au Corona imeisha Tanzania, mawaziri wote kimya.
Mpe yote maana ni utashi wako, Jiwe ni failure of the century
Endelea kumpa 100% bado yupo hai mkuu
Namshangaa alikuwa scientist wa aina gani asiyejua principles za maabara kwamba kila experiment lazima iwe measured and controlled! Yeye ni vululuvululu tu mpaka tungecrash kwenye korongo kama Zimbabwe na Venezuela! Good riddanceTumuombee apumzike kwa amani. Ameacha akili zetu zimechangamka. Ile dozing yake ilianza juu kabisa mpaka huku chini. Wote tumevurugwa.
Tukiangalia mambo yake kwa jicho la tatu, tutagundua he was meant for that.
DAAAH! Yule mwamba ni balaa. Tujenge maisha na nchi yetu
Endelea kumpa 100% bado yupo hai mkuu
Aliidharau yenyewe ikamshughulikia vizurikufa hata wewe utakufa maana NI AHADI na wakati ukifika.
Ila ukweli lazma tuuseme hata kama tunamchukia.
Alijitahidi kutujengea UJASIRI WA AJABU JUU YA CORONA.
Na amefanikiwa.
Alikuwa mtu hatari snNamshangaa alikuwa scientist wa aina gani asiyejua principles za maabara kwamba kila experiment lazima iwe measured and controlled! Yeye ni vululuvululu tu mpaka tungecrash kwenye korongo kama Zimbabwe na Venezuela! Good riddance
Aliidharau yenyewe ikamshughulikia vizuri
Namshangaa alikuwa scientist wa aina gani asiyejua principles za maabara kwamba kila experiment lazima iwe measured and controlled! Yeye ni vululuvululu tu mpaka tungecrash kwenye korongo kama Zimbabwe na Venezuela! Good riddance
Haya mfuate alipoKama amekufa na Corona basi AMEKUFA KISHUJAA.
MAANA HAKUMUOGOPA ADUI YAKE..
KWANGU MIMI MAGUFULI NI SHUJAA KWENYE CORONA.
Huyu bibi mbona kimya?