Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Matangazo gani mapya maana tv, na mabango barabarani yapo siku zote mbona!Sio nyungu peke yake, wizara ya afya imeanza kutoa matangazo ya watu kuchukua tahadhari dhidi ya covid na TCRA hawatoi tena lile tangazo la kuzuia watu kuongelea covid.