Kwanini Yanga ataondolewa kimataifa

Unachoongea unakijua!!??
Yanga na hilal mzani sawa!!!
Usireply ilimradi ureply
Wewe huna lolote unalo lijua kuhusu soka, Al hilal ana ni timu ya kawaida na itaondolewa na Yanga na Kwa namna nilivyo fanya utafiti kuhusu Al Hilal na El Melek timu zote mbili hazita fuzu kwenda Makundi ya Caf champion league Kwa Msimu huu zote ni mbovu na Sidhani ata uko confederation zitakapo kwenda kucheza play off kama zitatoboa.
 
"Kuruka ruka kwa maharagwe ndo kuiva kwake,"
Ukiona hvy kifo chake kimewadia

Yanga aende huko mbele akafanye nn
Usipoijadili Yanga utajadili nini tena ewe kolo mkubwa? Je, waweza kuijadili mikia ambayo haina mvuto? Asante Pitso, asante South Africa. Kuna timu inakumbukwa South kwa ulozi.
 
Nyie ndio wale waandishi malay.a!
 
Makolo kina nan!?
Mmewakamata kwa lip!?
Angalia tu walivyojawa mapovu utawajua. Kuwakamata kwa lipi? Waulize wamemaliza ligi wakiwa na tuzo ipi na wamefungua msimu mwingine kwa tuzo ipi?
 
Mashabiki wa simba wako very desperate kuhusu yanga na tumaini pekee walilobaki nalo ni Al Hilal kwasababu Simba wamekuwa wateja wakubwa wa kipigo kutoka Yanga.
 
Mungu ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania. Amen
 
Wewe kweli redio, maana unaongea sana halafu unaleta utafiti wako duni!
 
Sasa kama 40% ya wachezaji wamefundishwa na uyo Ibenge huoni kuwa ni Advantage pia kwa Yanga maana mbinu nyingi za uyo kocha zitakuwa zinajulikana?
Aah wapi!!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ety mbinu nyingi za kocha!!
Kwa hiyo nabi umuulize mayele mbinu za ibenge, basi atakuwa mpumbavu
 
Angalia tu walivyojawa mapovu utawajua. Kuwakamata kwa lipi? Waulize wamemaliza ligi wakiwa na tuzo ipi na wamefungua msimu mwingine kwa tuzo ipi?
Hahahaha!!!! Sas unaamin nikiwaambia nyie washamba!!
Kumaliza ligi ndo nn?? Nafasi ya ngapi??

Hahahah
Mmesahau 4 consecutive seasons nilikuwa nachukua kombe, leo hii chura mnatamba mbele yangu?
 
Mashabiki wa simba wako very desperate kuhusu yanga na tumaini pekee walilobaki nalo ni Al Hilal kwasababu Simba wamekuwa wateja wakubwa wa kipigo kutoka Yanga.
Yeah!! Nataka hilal ukutoe ngebe hiyo
 
Imani mbele woga tupa kule.
 
Imani mbele woga tupa kule.
Hahaha!!! Lakini yanga bhn.
Hata kama mnakiona kifo ila mnajipa moyo,
Mnasema "daima mbele nyuma mwiko"
Yaani hata kama mbele kuna mabomu nyi mnaenda tu kama nyumbu
 
Hahahaha!!!! Sas unaamin nikiwaambia nyie washamba!!
Kumaliza ligi ndo nn?? Nafasi ya ngapi??

Hahahah
Mmesahau 4 consecutive seasons nilikuwa nachukua kombe, leo hii chura mnatamba mbele yangu?
Hatusemi historia hapa, tunaongelea facts on ground. Na mwaka huu makamasi yatawatoka, subiri Angola kwanza. Mnapoteza muda kuijadili Yanga ambao wamezidi kudhihirisha ubora wao? Timu yenu haina mvuto muijadili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…