Kwanini Yanga ataondolewa kimataifa

Nlikua nasubiri nione thamani ya vikosi kumbe umeandika porojo tu
 
Upo sahihi boss, hao Al Hilal wanafungika kawaida tu kama Yanga ikijiandaa vizuri.

Hata OKW BOBAN SUNZU Scars njaakalihatari GENTAMYCINE Kalpana wanakubaliana na hili.

Kila laheri Simba na Yanga kwenye hatua zinazofuata.
Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2 redio Nyenyere Shadeeya Championship
 
Yanga bado ana advantage kubwa kupita kwasababu ya team bora waliyonayo

Al Hilal nilicheza naye pale Sudan japo alinifunga ila hana mpira wa kutisha kwasababu timu yake sio bora ila wachezaji tu ndio bora.

Kama katika hiki kipindi Al Hilal akafanikiwa kuoata muunganiko mzuri na kucheza kitimu basi atakuwa na nafasi kubwa ya kuweza kumtoa Yanga.

Naamini Yanga wakiweka mikakati mizuri kwa kutumia advantage ya hapa nyumbani wakishinda goli 2-0, kuke away wanaweza wakashikilia bomba na kutoka sare

Yanga kwenye kulinda ushindi hiyo ni kama motto yao siku zote, angalia hata zile mechi ambazo tumefungwa na Yanga dakika za mwanzoni wamekuwa wakilinda ushindi wao kwa muda mrefu bila kuruhusu bao la kusawazisha.

Wakiwa na spirit hii sioni kikwazo kwa Al Hilal, ususani katika michezo yao miwili waliyokutana na St George hawakucheza katika ubora wenye kushawishi.

Karata yangu naitupa kwa Yanga
 
Apite aende wapi??!! Toka lini!!?? Kwa ubora gani??!!
 
Kuna wakati unaongea facts za kimpira bila kuweka ushabiki mbele.. bwavo[emoji119][emoji119]
 
Binafsi nazitakia ushindi timu zetu zote tatu zilizobaki, baada ya Geita Gold kutolewa kwa goli la ugenini.

Linapokuja suala la Utaifa, siku zote moyo wangu uko pamoja na timu za Taifa langu. Hata kama kutakuwepo na utani wa hapa na pale, ila ukweli uko hivyo.

All the best kwa Wananchi Yanga, Simba SC, na Azam FC. Timu zote zisonge mbele kuelekea hatua inayofuata.
 
Apite aende wapi??!! Toka lini!!?? Kwa ubora gani??!!
Atapita akiweka mikakati ikiwa pamoja na kujituma na sio fitna za nje za uwanja

Al Hilal bado hawana muunganiko kitu pekee ambacho Yanga watakwenda kunufaika nacho
 
Na wewe chukua like yangu
 
Ni kweli lakin me siwezi kuwa upande wa yanga, dua zangu aondolewe ili Tubaki wanaume wawili kuwakilisha [emoji1241], walikuwa wanajaa uwanja wa ndege kupokea wapinzani wa simba, na pia kuvujisha siri zetu kwa wapinzani,
 
Ni kweli lakin me siwezi kuwa upande wa yanga, dua zangu aondolewe ili Tsunami wanaume wawali kuwakilisha [emoji1241], walikuwa wanajaa uwanja wa ndege kupokea wapinzani wa simba, na pia kuvujisha siri zetu kwa wapinzani,
Huu ni msimamo/mtazamo wako. Hivyo siwajibiki kuuingilia. Yanga ina mamilioni ya mashabiki duniani kote.

Sasa wanapotokea watu 50 kwenda kuwapokea hao wageni unao waongelea! Halafu uka generalize kama ndiyo mashabiki wote wa Yanga! Huoni utakuwa una tatizo mahali fulani ndugu mkurugenzi!

Hivi akitokea Mwenyekiti wako wa zamani ndugu Ismail Aden Rage akakuita mbumbumbu utakasirika kweli!!
 
Mpira unabadilika kulingana na wakati. Kuna wakati giants wa soka la Africa walikuwa Asante kotoko, Heart's of Oak, Canon YouandΓ«, Enyimba Aba, Ismaily.
Hao wote wamechukua caf champions league mara kadhaa..
Ulikuwa ukikutana na hizi timu lazima utolewe Kwa vipigo vitakatifu, Simba wanaelewa kuhusu hao Enyimba ..
Ila Kwa sasa meza imepinduka, vilabu vyote hapo juu vinaweza fungwa na Simba vizuri tu na kutolewa mashindanoni tofauti na ilivyokuwa hapo zamani.
Kwa case ya Yanga na hao waarabu wa Al hilal nadhani kwa sasa ule ule ukubwa tunaowapa Al hilal sidhani kama bado wanao.
Mzani umeshabance na Yanga wanaweza kuwatoa hao wasudani bila tatizo kabisa
 
Ni kweli lakin me siwezi kuwa upande wa yanga, dua zangu aondolewe ili Tsunami wanaume wawali kuwakilisha [emoji1241], walikuwa wanajaa uwanja wa ndege kupokea wapinzani wa simba, na pia kuvujisha siri zetu kwa wapinzani,
Huu ni msimamo/mtazamo wako. Hivyo siwajibiki kuuingilia. Yanga ina mamilioni ya mashabiki duniani kote.

Sasa wanapotokea watu 50 kwenda kuwapokea hao wageni unao waongelea! Halafu uka generalize kama ndiyo mashabiki wote wa Yanga! Huoni utakuwa una tatizo mahali fulani ndugu mkurugenzi!

Hivi akitokea Mwenyekiti wako wa zamani ndugu Ismail Aden Rage akakuita mbumbumbu utakasirika kweli!!
 
Unajua shida ya nyie makolo mnaona mabwana zenu tunavyo wanyanyasa kila msimu,nyie mnasema ya kuwa Zalan kapigwa 9 ila mnasahau ya kuwa sisi mabwana zenu tumesha wagonga bao 9 pia,sasa kinacho waumiza ni kwamba tumesha waacha nyie tunataka mademu wengine hiko ndo kinacho waumiza,yap ni kweli lazima muumie tena koz ndo kawaida ya mapenzi lazima mumuonee wivu mke mwenzio,so kaeni kwa kutulia huyo Al hilal hapa atakuja na atachezea kit...o vizuri tu,sawa eeeeenh.

Tupo hapa.

Club above all

Haya sasa wana jangwani ingia Ig follow kwa_yanga_hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…