[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had kupaliwa, umepatwa na nn wee shougaaa angu?? Sijakuzoea hivi kabisaa.Binafsi nazitakia ushindi timu zetu zote tatu zilizobaki, baada ya Geita Gold kutolewa kwa goli la ugenini.
Linapokuja suala la Utaifa, siku zote moyo wangu uko pamoja na timu za Taifa langu. Hata kama kutakuwepo na utani wa hapa na pale, ila ukweli uko hivyo.
All the best kwa Wananchi Yanga, Simba SC, na Azam FC. Timu zote zisonge mbele kuelekea hatua inayofuata.
Nyie mmeingia cha kike, sa subirini ujira wenuMkuu nmeuliza mihamala ni nini hayo mengine sitaki kujua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanalinywaaa huku wanakunja sura woiiiiihSasa baada ya zile pilikapilika za kuandika mashudu kila siku mzungu hivi mzungu vile, mara kikosi hakieleweki mara kocha amefukuzwa mara barbara hivi mara simba vile nyuzi zilikua zinaongozana mpk kero. Sasa kaeni kwa kutulia maana mpk mcheze na hyo Aly Hilali mtakua mmetoa matusi yotee na mkifungwa sasa mnayarudia hahah. Tulieni na nyie dawa iwaingie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahWewe ni Mnafiki na labda nikuchane mubashara ( live ) hapa hapa bila ya Kukuficha kuwa Sikupendi ( Nakuchukia ) na sitaki Shobo nawe na acha pia Kujipendekeza mno Kwangu sawa?
Itabidi wanywe hivo hivo maan ni lazim iingie [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanalinywaaa huku wanakunja sura woiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwahio na nyie hua mnapokea mihamala [emoji23][emoji23]Nyie mmeingia cha kike, sa subirini ujira wenu
Nd nn mkuu!!!View attachment 2363055 Ni maumivu juu ya maumivu
We unaona nini?Nd nn mkuu!!!
Timu yako ilihongwa kiasi gani na Yanga?Kwani hamjui kama utopolo mnaongoza kwa kuhonga pesa wapinzani!!??
Sa sijui round hii mtawaonga nn wale watu
Mbona huwa hamsemi kama na ninyi Mikia huwa mnahongwa na YangaKwani hamjui kama utopolo mnaongoza kwa kuhonga pesa wapinzani!!??
Sa sijui round hii mtawaonga nn wale watu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wewe ni Mnafiki na labda nikuchane mubashara ( live ) hapa hapa bila ya Kukuficha kuwa Sikupendi ( Nakuchukia ) na sitaki Shobo nawe na acha pia Kujipendekeza mno Kwangu sawa?
Watu wa Mkoani Mara ( Musoma ) huwa hatuna Unafiki na Uwoga bali huwa tunanyoosha tu Maelezo huku tukijiamini 100%.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sawa kabisa mkuu GENTAMYCINEWatu wa Mkoani Mara ( Musoma ) huwa hatuna Unafiki na Uwoga bali huwa tunanyoosha tu Maelezo huku tukijiamini 100%.
Kama record zinacheza mlitolewa vp na jwaneng tena kwa mkapa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbumbumbu bwanaAngalia rekodi
Yaani naunga mkono hoja maana simba tunageuza tutakavyo kwasababu ya hela zetu [emoji106][emoji106]Kwani hamjui kama utopolo mnaongoza kwa kuhonga pesa wapinzani!!??
Sa sijui round hii mtawaonga nn wale watu
Wananchi kila kifaa kinachohitajika kwenye kazi tunacho, hata wale tuliowapiga goli 9 ni kwaajili ya ubora wa vifaa tulivyonavyo,Al Hilal na Yanga kwenye mzani wa vikombe vya Caf wako sawasawa Kwa maana wote Hawana kikombe chochote Cha Caf na icho ndio kiashiria Cha ukubwa.
Swala la kufika Robo kufika fainali halina uhusiano wowote na kutwaa kikombe Cha Caf.
Yanga ilisha wahi kucheza robo ya Caf champion league mfululizo 1969, 1970 historia hio aina maana yoyote inabaki ni stori tu.
Kilichopo Sasa Yanga wapo vizuri kuliko Al hilal na tunakwenda kumpasua Nyumbani na Ugenini Ilo Swala Halina mjadala.
Mtake mistake mpende msipende, Hilal ana kwenda kupigwa kama Ngoma.
Umesahau zile nne nilizokuzamish nusu fainali FAYaani naunga mkono hoja maana simba tunageuza tutakavyo kwasababu ya hela zetu [emoji106][emoji106]
Matola anahusika vpKelele za Matola zimeishia wapi ?