Kwanini Yanga ataondolewa kimataifa

Kwanini Yanga ataondolewa kimataifa

Kwanini unataka waondolewe, na wakiondolewa wewe utafaidika na Nini? Yaani mpira was kibongo hautakaa uendelee kwa huu ujinga,
Elewa uzi, hajataka waondolewe, amechambua sababu za yanga kuondolewa. Na kwa hizo sababu utake usitake yanga inaondolewa
 
Elewa uzi, hajataka waondolewe, amechambua sababu za yanga kuondolewa. Na kwa hizo sababu utake usitake yanga inaondolewa
Mpira unachezwa uwanjani sio mdomoni wala sio maandishi mfano hapa nipe uchambuzi wako; Brentford kamfunga Man Utd, Man Utd kamfunga Arsenal, Arsenal kamfunga Brentford
 
Niende wapi mie Mtani. Haya za kukwepana? Hahahaaaa. lol.

Ila Mtani huu muda mnaoutumia kutuletea porojo zenu mnaonaje kama mngefikiria mechi yenu na WaAngola eti?
Sisi uhakika, hata nyie utopolo mnajua ndo maana hamuongelei mechi yetu.
Nb: Ukiona embe linafuatwa sana na inzi kuliko mengine ujue linakribia kufa
 
Tangu mwaka jana kumbukumbu zinaonyesha kila mara simba wakiomba baya dhidi ya Yanga linafeli na mara nyingi dua mbaya huwarudia wenyewe.

Hao de Agosto si wabaya kihivyo. Kila mtu apambane na hali yake na inshalla kila timu na ikashinde nyumbani na ugenini.
 
NDIO, ana kila sababu kung'olewa kimataifa na wababe kutoka sudan 𝐀𝐋 𝐇𝐈𝐋𝐀𝐋

KILA REKODI ZINAWAKATAA YANGA MBELE YA HILAL
Mashabiki wa yanga wengi wanaoujua na kuufutilia mpira wanajua kinachoendelea mpaka sasa, kwani wanachosubiri ni miuujiza tu, maana hawana sababu ya kuiondoa Al hilal kivyovyote

Al hilal mwenye kikosi chenye thamani maradufu zaidi ya yanga ameshiriki mara nyingi zaidi michuano ya kimataifa especially klabu bingwa africa na kufikia makundi ukifananisha na utopolo, ambao mara ya mwisho kufikia makundi kombe hilo ilikuwa mwaka 1998 ( ilikuwa kama kipofu kaona mwezi)
Ambapo pia wakali hilal wanampaka rekodi ya kufika fainali michuano ya klabu africa, sasa twende kazi;

ADVANTAGE YA KUANZIA UGENINI
Hii ni nafasi nzuri sana kwa wakali hilal kuwakunyuga wauza magodoro na kuwatupa nje kwenye michuano, kwani aanziae ugenini ana nafasi kubwa ya kuusoma mchezo na kuumaliza mchezo maana ndo mwenye game ya mwisho,
ambapo advantage kama hiyo wameipata wababe kutoka msimbaz SIMBA SC [emoji881]

UWEPO FROLENT IBENGE
Takribani asilimia 40 ya wachezaji wa yanga wengi ni vijana wa kocha fundi frolent ibenge mf (mayele,djuma,bangala,moloko nk) ambao anawafahamu vizuri ubora na udhaifu wao( vinyago kavichonga yeye), hii itamrahisishia kuwadhibiti kwa urahisi wanajangwani hao na taratibu kujilia tunda kimasihara

USHINDI WAO DHIDI YA ZALAN
Lile bomu walilorusha monchwari na kujitangazia wameua litawaponza nawahakikishia.
Ushindi wa aggregate 9-0 dhidi ya zalan unaweza kuwaponza dhidi ya wataalamu hilal, ambao watajiandaa vizuri na kwa jihadi na pia kisaikolojia ili kukabiliana na utopolo, pia hawatakubali kuwapa nafasi kwa kuwa nao makini wakiamini utopolo wako vizuri zaidi.

NB: hilal wana nafasi nzuri ya kuiadhibu yanga kwa mkapa, hii inatokana na wenyeji hao kutotumia vizuri advantage yao ya uwanja wa nyumbani kimataifa kama ilivyo ada

Mungu ibariki Simba, MUNGU ibariki hilalView attachment 2362643View attachment 2362644
Bila kumtaja baba yako Yanga hulali. Pole Kolo
 
Kumbe uliyetoa post ni kolo [emoji83] wizard?
Al hilal wangekuwa wazuri wasingepewa peneti ya kuunga Unga dhidi ya st.george

[emoji3504] YANGA hii imemfukuza kazi kocha Pablo+ Babu Zoran
[emoji3504] Zamu ya IBENGE kufukuzwa kazi

Kolo wizards [emoji83] sisi Yanga makundi lazima

Kolo ni kolo tu[emoji83][emoji668]
Mayele kawafunga Simba goli 2[emoji460][emoji460]
Mayele kawafunga zalani goli 3[emoji460][emoji460][emoji460]
Hapo tofauti ya zalani na kolo ni ipi?

[emoji3504] Yanga tumeiomba CAF waruhusu Simba [emoji83]+Al hilal watengeneze timu 1 ili timu hiyo ndio ingie uwanjani kupambana na Yanga tarehe 8/10/2022

[emoji375][emoji375]Suala la hat trick kujirudia hiyo tarehe 8/10/2022
Ndio endapo wings back na middle players kutimiza majukumu yao vyema ili mipira imfikie yule unaemjua wewe ambae hutaki kumuona uwanjani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji375][emoji375]Yanga makundi ni suala la muda[emoji375][emoji375]
Alisikika utopolo mmoja aliyesemwa na haji anayenuka kinyesi..
 
Uzi umeiongelea Yanga hitimisho unatoa kwa kuizungumzia Simba
 
Back
Top Bottom