Bukoba Finest JF-Expert Member Joined Jul 13, 2023 Posts 250 Reaction score 315 Jul 21, 2023 Thread starter #81 Lord Delamere in Kenya said: Dewji anawazidi mbali sana Engineer akiwemo, lakini bado mnamtupia vijembe. So huyo Hersi yeye amekuwa nani? Click to expand... Dewj anamzidi nini kwenye mpira? aliwahi kuwa na unbeaten ngapi? ana medal ya CAF? amewahi kuwin treble?? Wewe shangilia mpira ndo upande wako huo.
Lord Delamere in Kenya said: Dewji anawazidi mbali sana Engineer akiwemo, lakini bado mnamtupia vijembe. So huyo Hersi yeye amekuwa nani? Click to expand... Dewj anamzidi nini kwenye mpira? aliwahi kuwa na unbeaten ngapi? ana medal ya CAF? amewahi kuwin treble?? Wewe shangilia mpira ndo upande wako huo.