Kwanini Yanga huwa wanapangiwa timu dhaifu na mbovu?

Kwanini Yanga huwa wanapangiwa timu dhaifu na mbovu?

Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Halafu watu wenye vichwa kama chako huwa wana bahati sana ya kuonekana na hata kupewa teuzi nyeti sijui kwanini .
Yaani unataja timu dhaifu zilizocheza na Yanga halafu huitaji Simba
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Saww huyo yanga mbovu wew hua anakuhonga kiasi gani cha hela mpaka amekufunga mechi 3 mfululizo?
 
Saww huyo yanga mbovu wew hua anakuhonga kiasi gani cha hela mpaka amekufunga mechi 3 mfululizo?
Hapo sasa wewe haujawahi kusikia tuhuma ya akia Inonga,Chama,Manaula,Kennedy na maleke kuwa ni maduka ya yanga?najua utabisha endelea kubisha
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Soma Pia:
Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Wewe unadhani CBE ni timu dhaifu?
 
Sasa kama Yanga wamehonga vipi kuhusu Al Ahly? aliyepangiwa Gor Mahia ya Kenya yimu dhaifu kabisa?
 
Tunakumbushana kidogo kwamba msimu uliopita mashabiki wa Simba waliomba usiku na mchana wasipangiwe Mamelodi na wakaomba Yanga ndio ipangiwe Mamelodi ili wapigwe nyingi. Wao wakamtaka Al Ahly ili safari yao iwe nyepesi. Mambo yalikuwa hiviView attachment 3100344
🤣🤣 hii siku nilishangaa kuona makolo wamefurahi kupangiwa na Al Ahly kana kwamba ni team mbovu ivi wanaimudu matokeo yake walikandwa nje ndani
 
Hapo vip!!

Za ndanii yanga kwa kumtumia Engineer na nafasi yake aliyokuwa nayo huko CAF nasikia anaenda kuhonga na kuomba wapangiwe timu mbovu na dhaifu.

1. Vital O wale ni wakimbizi hata uwanja hawana maskini,image wamecheza na Pamba wakafungwa,ni timu ambayo kwa ubora haitatofauti na Mbeya city,lipuli ya Iringa n.k nikujipigia tu.

Lakini pia hata wakicheza nao hawajiamini wanamuhonga muamuzi wawape kadi nyekundu ndio maana mechi zote Vital O wamepewa kadi nyekundu wakacheza pungufu yasni 8 au 9 uwanjani image pamoja na ubovu wote ila bado wanacheza pungufu.

2. EBC SA ya Ethiopia ni mbovu mbovu hata mashabiki maskini hawana na rank zao katika ubora barani Afrika wapo kwe mia huko chini nakuendelea,pia ndio wale wale kama Vital O

Soma Pia:
Yanga angekutana na Apr na PYRAMIDS angesha aga mashindano muda mrefu.

Ndio maana watu wanaosema yanga ni bora ni watu wasiojielewa. Yanga ni mbovu sana tena sana kiasi kwamba ingekutana na Ally ALHALY TRIPOLI wangefungwa sio chini ya goli 7.
Kapigwa na timu dhaif
 
Nilichogundua Hatuna Timu ya kuvuka robo Fainali. Dah! Nilimcheki Sakoo Far Jamaa anaubondaaa balaa.
 
Back
Top Bottom