Kwanini Yanga isipige marufuku kuongelewa EFM?

Kwanini Yanga isipige marufuku kuongelewa EFM?

Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Hao wamelishwa supuu ya🦁.Kwanza moja wanakosa la uhujumu,uchumi,mbili kosa la natumizi mabaya ya nyara za sirikali na Tatu wanakosa la kula haramu/kisicho halal hivyo potezea hao na li TV lao🤪
 
Nadhani huyu jamaa anaeitwa kazumari atakuwa na matatizo binafsi na Yanga maana always lazima atafute udhaifu hata kidogo aukuze inapokuja issue ya Yanga. Iwe ni kwenye dudumizi au sports hq akipata udhaifu wa Yanga lazima aiponde vya kutosha. Huenda ni upinzani wa jadi lakini professionally mtangazaji/mchambuzi unakuwaje na upinzani wa jadi kwenye vipindi vya redio? EFM haina shida na Yanga. Sema Yanga ni kubwa sana compared na huyu mstaafu so apuuzwe hana impact yoyote kwa mipango ya timu yetu.
Huyo ni🦁
 
Kwan kazumar ni nani mwenye hii football ya bongo hata mafanikio yake ya kimpira n yapi?labda nfahamishwe
Anafikia hatua kusema Rais wa Yanga ni muhuni bado viongozi wanaikalia kimya hii redio
 
Wachambuzi wa soka wengi ni wajinga wajinga Fulani hivi sip Tz au nje ya nchi.

Hawana logic huwa wanaharisha wakiongea.

Unaweza shangaa ukajiuliza huyu anakielewa anachokiongea au maamuma tu wa mpira.
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Utopolo unateseka ukiwa wapi...Ukweli unauma.
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Tatizo siyo EFM,tatizo ni kushindwa kumfunga Al Ahly aliyetoa sare na Simba.
Tatizo linakuwa zaidi pale mliposhindwa kudhihirisha kauli zenu eti mtamfunga Al Ahly 5-0.
Kwa vile akili hamna mnadhani mpira ni aljebra
 
Kazumari alikuwa meneja wa Metacha, alipoharibu na akaachwa Yanga alipotaka kurudi wakati ule wakamwambia kwanza achana na Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga ndo hapo akafura zaidi plus na kunyimwa usemaji.
Nimekusoma
 
hicho kituo si ndiyo walisema hawatazungumzia Habari za yanga ?

Tatizo la wanahabari wengi hawana maadili wanaendekeza njaa matokeo yake wakipewa 50k au 100k waseme chochote kibaya wanatii
 
hicho kituo si ndiyo walisema hawatazungumzia Habari za yanga ?

Tatizo la wanahabari wengi hawana maadili wanaendekeza njaa matokeo yake wakipewa 50k au 100k waseme chochote kibaya wanatii
Viongozi wachukue hatua
Hadi kumwita Rais wa club eti ni mhuni bado viongozi wa Yanga wamekaa kimya
Hilo halinifurahishi
 
Mimi nimeacha kuangalia kipindi Chao Cha # 10 sababu ya jeflea kazi tu kukosoa yanga na kujifanya much know sana.pumbavu zake
Na Kiingereza chake kibovu halafu anabana pua mbele za watoto wa kiumeni.
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Na mratibu wa haya yote ni Jemedari Said,Hii yote inatokana na chuki kwa Rais Eng.Hersi kwasababu yeye huwa hatoi 'tips' kwa hawa wachambuzi.
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Waache waseme sisi tunasonga mbele. They are paid for that strategy.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom