Kwanini Yanga isipige marufuku kuongelewa EFM?

Kwanini Yanga isipige marufuku kuongelewa EFM?

Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Malalamishi fc.
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Utopolo wenye akili wawili tu.E fm kwanza wakaanzia kusema viongozi wapunguze porojo,kumbuka wanaowaongoza siku hzi uelewa umekuwa mkubwa,akatoa mfano sijui try again aliambiwa kwamba Simba ni bora kuliko masandawana,hatujakaa sawa Arafat nae kaja na vimbwanga vyake kwamba kuna shabiki sijui nani akamueleza kuwa National na Yanga watakuwa fainali.

Ukweli ni kwamba wabongo hatupendi kuamb8wa ukweli,Efm wao wanasemaga ukweli sio kupambapamba na ndio maana utopolo wanachukia sana,mbona Simba inazungumzwa vibaya Wasafi na wala husikii watu walalamike.
 
Kwani Gongowazi au Utopolo vinauhusiano gani na Klabu Yanga ndugu mleta uzi? #uhuruwavyombovyahabari
 
Walipewa ng'ombe kwa kuripoti vzuri habari za Yanga au sio wenyewe
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Kuna jamaa anaitwa Geof Leah. Sijui alisomea wapi taaluma ya Utangazaji lakini huwa anaongea pumba sana linapokuja swala yla Yanga.
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Kweli huko wenye akili ni wawili, yaani uwazuie kuizungumzia team!!!??
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Wale hua wanapewa ten ten na Ngungu boy basi wanaropoka pumba
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
Aucho kufungiwa inahitaji kuongelewa na efm?punguza ushabiki Kwa vitu vilivyowazi ,Aucho akicheza VPL anafanya anvyotaka Kwa ujinga wa uoga wa waamuzi ,akiwa CL athubutu kujizima data .
 
Kituo cha redio cha EFM na watangazaji wake wameacha taaluma yao na kuleta ushabiki wao na fitina binafsi juu ya clab yetu ya yanga na viongozi wetu Yanga tunapenda kukosolewa lakini Media ya EFM imezidi kutukera, kututusu na kuidhalilisha team yetu.

Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi. Waandishi wa EFM wamezusha mengi kukatisha tamaa, kubeza timu yetu jambo ambayo sio jambo zuri.

Leo wanazusha ati mashabaki wa Yanga waliripua fataki na kung'oa viti na wanashiniza Yanga wapewe adhabu, jambo ambalo sio kweli na video zinadhihirisha hivo. Tukumbuke walivoshinikiza Mchezaji wetu Aucho afungiwe.

Na tuhuma nyingine za uongo ati Yanga tunanunua mechi ambao wote ni uongo na ni habari ambazo hawawezi kuthibisha lakini wakiacha doa kwenye team yetu. Nawasihi viongozi wa Yanga piga marufuku habari za timu yetu kuongelewa Efm. Yanga ni timu kubwa na habari zetu zinauza ndo zinawapa umaarufu huku wakiinajisi timu yetu.

Asanteni
.. .. ..
JamiiForums592774928.jpg
 
Kupotosha unaona sahihi?
No kupotosha sio sahihi, ila elewa kuna two sides ya kila story, wewe ulitakiwa utupe ya upande wa pili ambayo ungeipa facts ili wasomaji waone ukweli upo wapi,...next time kama unakerwa acha kusikiliza radio station hiyo!
 
Assume mwandishi wa habari aliyesoma chuo anaita club ya Young Africans eti Gongo wazi mara Utopolo haipendezi.
Waasisi wa hayo majina sio EFM, bali ni wanachama wenu wenyewe hawa:

1701758783617.png
 
Nyie vilaza kweli,mara mlishwe supu ya vibudu mara mvishwe vijola bila chupi sijui kinachofuata ni nini.
 
Back
Top Bottom