Kwanini Yanga SC kila ikikaribia tu Kucheza Mechi Kubwa na Muhimu hupatwa na Misiba?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Na hiyo Misiba ya hapa na pale ikiwatokea / ikitokea tu Mechi yoyote Ngumu inayokuja Yanga hushinda na pia hucheza Mpira mkubwa mno na wa Kuvutia.

MINOCYCLINE nimesahau naomba kama hamtojali mnikumbushe Yanga SC inacheza Mchezo wake mwingine lini na wapi ili niishuhudie ikienda Kushinda.

Shikamoo Babu Fundi wa Yanga SC.
 
Imani potofu ni mbaya sana aisee🚮🚮🚮
 
Akili za Makolokolo hazijawahi kujificha kuhusu ushirikina.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wakikupiga umeme na huku ndiyo basi tena. Jitahidi kuwa makini mdogo wangu.
 
Umepigwa Ban Kwa huu utahira bado hujakoma...
Popoma ni popoma tu
 
Mods wazingatie hili, misiba ni kitu kingine.
 
Aisee[emoji2296][emoji2296]
 
Umepigwa Ban Kwa huu utahira bado hujakoma...
Popoma ni popoma tu
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…