MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Imani potofu ni mbaya sana aisee🚮🚮🚮Na hiyo Misiba ya hapa na pale ikiwatokea / ikitokea tu Mechi yoyote Ngumu inayokuja Yanga hushinda na pia hucheza Mpira mkubwa mno na wa Kuvutia.
MINOCYCLINE nimesahau naomba kama hamtojali mnikumbushe Yanga SC inacheza Mchezo wake mwingine lini na wapi ili niishuhudie ikienda Kushinda.
Shikamoo Babu Fundi wa Yanga SC.
Akili za Makolokolo hazijawahi kujificha kuhusu ushirikina.Na hiyo Misiba ya hapa na pale ikiwatokea / ikitokea tu Mechi yoyote Ngumu inayokuja Yanga hushinda na pia hucheza Mpira mkubwa mno na wa Kuvutia.
MINOCYCLINE nimesahau naomba kama hamtojali mnikumbushe Yanga SC inacheza Mchezo wake mwingine lini na wapi ili niishuhudie ikienda Kushinda.
Shikamoo Babu Fundi wa Yanga SC.
Wakikupiga umeme na huku ndiyo basi tena. Jitahidi kuwa makini mdogo wangu.Na hiyo Misiba ya hapa na pale ikiwatokea / ikitokea tu Mechi yoyote Ngumu inayokuja Yanga hushinda na pia hucheza Mpira mkubwa mno na wa Kuvutia.
MINOCYCLINE nimesahau naomba kama hamtojali mnikumbushe Yanga SC inacheza Mchezo wake mwingine lini na wapi ili niishuhudie ikienda Kushinda.
Shikamoo Babu Fundi wa Yanga SC.
Nimeiangalia ile iliyo zoeleka, kumbe kitambo tu ameshahukumiwa kifungo jela. Ila bado hakomi tu.Wewe popoma una I'd ngapi? Na hii tuitafutie ban?
Wew Mbona Ndiyo popoma kiwango Cha sgr na hatusemiNimeiangalia ile iliyo zoeleka, kumbe kitambo tu ameshahukumiwa kifungo jela. Ila bado hakomi tu.
Una kila dalili ya kuwashwa washwa! Bahati mbaya mimi siyo mkunaji mzuri.Wew Mbona Ndiyo popoma kiwango Cha sgr na hatusemi
Umepigwa Ban Kwa huu utahira bado hujakoma...Na hiyo Misiba ya hapa na pale ikiwatokea / ikitokea tu Mechi yoyote Ngumu inayokuja Yanga hushinda na pia hucheza Mpira mkubwa mno na wa Kuvutia.
MINOCYCLINE nimesahau naomba kama hamtojali mnikumbushe Yanga SC inacheza Mchezo wake mwingine lini na wapi ili niishuhudie ikienda Kushinda.
Shikamoo Babu Fundi wa Yanga SC.
Ngoja nimtafutie ban na hii huyu popomaNimeiangalia ile iliyo zoeleka, kumbe kitambo tu ameshahukumiwa kifungo jela. Ila bado hakomi tu.
Aisee[emoji2296][emoji2296]Na hiyo Misiba ya hapa na pale ikiwatokea / ikitokea tu Mechi yoyote Ngumu inayokuja Yanga hushinda na pia hucheza Mpira mkubwa mno na wa Kuvutia.
MINOCYCLINE nimesahau naomba kama hamtojali mnikumbushe Yanga SC inacheza Mchezo wake mwingine lini na wapi ili niishuhudie ikienda Kushinda.
Shikamoo Babu Fundi wa Yanga SC.
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.Umepigwa Ban Kwa huu utahira bado hujakoma...
Popoma ni popoma tu