Kwanini Yanga SC kila ikikaribia tu Kucheza Mechi Kubwa na Muhimu hupatwa na Misiba?

Kwanini Yanga SC kila ikikaribia tu Kucheza Mechi Kubwa na Muhimu hupatwa na Misiba?

Unahangaika na I'd nyingi utafikiri unalipwa na JF!! Ww jamaa ni [emoji706][emoji706]
Sijui ni kwanini Mimi, Wewe na Wengine tunamchukia kweli hapa JamiiForums ila Kutwa hatuachi Kumfuatilia, Kumjadili na Kumpaisha Kiumaarufu bila ya Sisi kujua.
 
Ngoja nimtafutie ban na hii huyu popoma
Nasikia ana IDs zaidi ya 25 ( zingine akijifanya ni Mwanamke ) huku Mbili zikiwa ni maarufu hata kuliko hiyo ( hii ) tunayoijua Wengi hapa je, Mwenzetu utaweza Kupambana nae huyo Akili Kubwa huku Wewe ukionekana ni Akili Kiduchu / Ndogo?

Nasubiria jibu lako tafadhali ila hata Mimi ninamchukia ile mbaya GENTAMYCINE ila nashangaa Yeye Umaarufu Kwake hapa JamiiForums ndiyo Unaongezeka huku Mimi na Wewe ( na Wengine ) tukiwa tupo tupo tu kama Mizuzu fulani.
 
Back
Top Bottom