Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Musa aliona mti na moto akaanguka kifudifudi na huo mti wenye moto ukasema mimi ni Mungu wa baba zako Ibrahim na isaka na yakobo ....sasa kati ya wanadamu na mti nikipi bora ? ...je kati ya mwanadamu na moto kipi bora ? ...sasa kama mungu alijigeuza mti uwakao moto na mtume musa akamsujudia unasemaje ni haramu mungu kujigeuza mwanadamu.. KUMBUKA BINADAMU NI MBORA WA VIUMBE KULIKO MITI NA MOTO
Ujinga ulionao ni kutojitambua na kuishi kwa kuongozwa na kitabu kisichokuwa chako baada ya kudakia tu na kukaririshwa maandiko ambayo ni mnyororo wa utumwa wa kifikra

Hivi kwanini hamjiulizi kitabu gani cha Mungu na cha kweli kifundishwe mashuleni badala ya kila mtu kuzaliwa akikijua au kikiwa kichwani mwake kama kweli ni cha Mungu si inamaana kilitungwa na kuanzishwa na watu ambao ni wazungu kwa madhumuni yao ya kuwapotosha Waafrika ili kuwatawala kirahisi?

Yaani jitu zimabkabaisa unakuja humu na kukopi ulichoandikiwa na mtu mwenzako na kupitia majina sijui mussa,zakayo,yesu,jakobo,nk na kuacha ASILI yako kweli?

Waafrika mmelaaniwa siyo bure!!
 
Shalom Mtumishi.

Yesu siyo Mungu maana yeye mwenyewe ana Mungu. Kwenye Yohana 20:17 anasema hivyo.

Yesu akamwambia, “Usinishike; sijaenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: Naenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.”

Andiko la Yohana 1:1 limepotoshwa. Maneno Mungu yaliyoandikwa mara mbili hayamaanishi kitu kimoja. Biblia enzi hizo iliandikwa kwa Kigiriki. Ukiangalia andiko hilo kwa kigiriki utaona tofauti ya Mungu hizo. Mungu moja in V mwishoni na nyingine ina S. Hiyo ya pili inamaanisha yesu alikuwa na sifa za kimungu, na siyo kwamba alikuwa Mungu.

View attachment 3253058View attachment 3253059

Yesu hajilinganishi na Mungu. Huko juu alisema naenda kwa baba yangu na baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu. Hapa chini anakazia kuwa huyo baba ni mkuu kuliko yeye. Na kuwa hawako sawa.

Yohana 14 28

Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.
Haya huu ndiyo upambavu wenu ninaowaambia kila leo mmeshaanza kuja kila mtu na maandiko yake na maana zake,hivi inaposema biblia ilibadilishwa kwa maagano sijui ya V au agano la kale kwenda agano jipya inamaana Mungu alikuja kuandika biblia nyingine tena kwa wakati mwingine tena??


Kama kuna dhambi basi hii ya kutojitambua Waafrika ndiyo kubwa kuliko zote!!
 
Ujinga ulionao ni kutojitambua na kuishi kwa kuongozwa na kitabu kisichokuwa chako baada ya kudakia tu na kukaririshwa maandiko ambayo ni mnyororo wa utumwa wa kifikra

Hivi kwanini hamjiulizi kitabu gani cha Mungu na cha kweli kifundishwe mashuleni badala ya kila mtu kuzaliwa akikijua au kikiwa kichwani mwake kama kweli ni cha Mungu si inamaana kilitungwa na kuanzishwa na watu ambao ni wazungu kwa madhumuni yao ya kuwapotosha Waafrika ili kuwatawala kirahisi?

Yaani jitu zimabkabaisa unakuja humu na kukopi ulichoandikiwa na mtu mwenzako na kupitia majina sijui mussa,zakayo,yesu,jakobo,nk na kuacha ASILI yako kweli?

Waafrika mmelaaniwa siyo bure!!
Mbona swali lako ni kichekesho kikubwa sana ? Hayo yote wengine tulisha yapatia majibu ndiyo maana tukakubali kuwa mungu yupo na dini ya kweli ipo ....sasa wacha nikupe siri ya kuitambua dini ya kweli ...pia nitakuonyesha hicho ulicho uliza kuwa kwanini dini mtu asizaliwe nayo kichwani .. pia utajua kuwa dini ya kweli hata wewe unaweza kuiunda na ikakubalika na mungu....majibu tatizo lako wewe ujui 👉PURE RELIGION YAANI DINI HALISI. pure religion mtu uzaliwa nayo moyo afundishwi na yoyote ...kama kusinge kuwa na PURE RELIGION basi kuna swali mtu mwenye akili Angejiuliza nafsini mwake nalo ni hili 👉 Je watu walio kufa matharani africa kabla ya kufikiwa na hizi dini tunazo ambiwa na tulizo letewa na wazungu na waarabu je huyo Mungu atawahukumu kwa kigezo gani ? Hapo kuna jibu la swali lako na kukuonyesha wewe akili zako ni ndogo kutambua mambo kwa upeo wa hali ya juu ...ni sawa na wale wanao uliza hivi kama Mungu yupo kwanini akumuua shetani na kutufanya tuishi kwa raha ..jibu ni kwamba hayo ya kumwangamiza shetani na kuwafanya watu waishi kwa raha yanakuja kwa wakati wake kama ilivyo andikwa kila chozi litafutwa ...tatizo watu wanatakwa wao ndiyo 💥wanwamuru Mungu 💥 sasa nakwenda kukujibu swali lako la kwanini dini zisiwe mioyoni mwetu moja kwa moja jibu 👉 DINI YA MUNGU WA KWELI IPO MIOYONI MWETU MOJA KWA MOJA KATIKA MSINGI WA DINI YAANI PURE RELIGION...NAYO NI KUJUA MEMA NA MABAYA...kujua mema na mabaya ndiyo dini halisi iliyopo moyoni mwa mwanadamu na Mungu mwenyewe kasibitisha alipo semama ... Tazama umejua mema na mabaya katende mema ...ukitenda mema utahesabiwa thawabu na ukitenda mabaya utahesabiwa dhambi .....sasa kwa kupitia hiyo dini halisi ya kujua mema na mabaya ambayo ipo mioyoni mwa wanadamu wote wenye akili timamu pasipo hata kufundishwa unaweza kuyatambua mafundisho mapya ikiwa yanatoka kwa mungu au shetani na hapa tunaona kuwa watu walioishi kabla ya kufikiwa na hizi dini za kusikia wao wata hukumiwa na mungu kwa kuzingatia dini ya asili ya kujua mema na mabaya ...ikiwa walishuhudia mioyoni mwao ubaya na wakautenda wataukumiwa hatia na ikiwa walishuhudia mema mioyoni mwao na kuyatenda wata hesabiwa haki....basi yote yaliyo mema ndiyo DINI YA HAKI NA YOTE YALIYO MAOVU NDIYO DINI YA SHETANI ...KANUNI NI HIZI MBILI.

1)UNAJUA MEMA NA MABAYA? TENDA MEMA NA USITENDE MABAYA.

2)WATENDEE WENGINE VILE WEWE UNGEPENDA KUTENDEWANA SI KINYUME CHAKE.
 
1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."

Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."

2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10

3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)

4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."

5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.

Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Hamnaga Mungu binaadamu, tusichekeshane
 
Maana yangu ni hii, Yesu(Mungu) alikuja duniani ili atuokoe. Ilibidi damu imwagike ndio tupate ondoleo la dhambi. Hivyo Yesu aliuvaa mwili wa binadamu kwa kuzaliwa na bikira Maria. Mwili huo ndio uliokufa. Sio Mungu. Na ndio sababu alifufuka.
Kwahiyo alivyokuokoa sasa hivi huna dhambi wewee 😆😆😆😆🤣🤣
 
Halafu mungu huyo akaja kuuwawa kifala na watu aliowaumba yeye mungu.
 
Siku zote Mfalme au Malkia huwa ni mmoja tu pia rejea mrejesho wangu wa awali. Yesu ni mwana wa Mungu hivyo vyovyote vile hawezi kuwa Mungu maana baabake (Mungu) mwenyewe yupo.
Jini likimpanda mtu anaye itwa Rajab matharani na kuongea kwa kutumia mwili wake huyo Rajabu kwa nini watu wanasema huyo ni jini siyo rajabu tena awamuulizi kama rajab bali utasikia wanasema naye kama kitu kipya siyo yule rajab wanaye mjua ...hiyo ndiyo siri ya yesu wana wa mungu kwa maana kilicho zaliwa ni mwili wa yesu bali nafsi ya yesu ni mungu ilikuwako milele hivyo hiyo nafsi ya mungu ipo ndani ya mwili wa Yesu hivyo huo mwili ndiyo mwana wa mungu na hiyo nafsi ndiyo baba....ndiyo maana Yesu ana sema anionaye mimi amemwona baba...pia nana sema mimi na baba ni kitu kimoja ...pia mafarisaya walimshutumu yesu kufanya miujiza siku ya sabato Yesu akawajibu baba yangu (yaani mungu) anatenda kazi hata sasa unajua kwanini alisema vile ?ni kwasababu ule mwili ya yesu unaendeshwa na nafsi ya mungu hivyo chochote atendacho yesu ni Mungu anatenda ndani ya mwili siyo mwanadamu ndiyo maana Yesu akaendelea kusema kuwa 👉 mimi ndiyo bwana wa sabato...sasa jiulize ni nani aliye bwana wa sabato kama siyo mungu aliye iamuru sabato ...yesu kwa kusema yeye ndiyo bwana wa sabato maana yake yeye ni mkuu wa hiyo amri ya sabato hivyo hiyo amri siyo juu yake....hiyo 7kitaka kuijua injili ya kweli na kuipima injili kama imenyoka basi tumia hii dhana kuwa YESU NI MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MUNGU USIO NA NAFSI YA BINADAMU.....hapo utajua kwanini yesu ana sifa hizi na kwanini yesu alisema hivi na kwanini mafundisha ya yesu ni yakimamlaka
1)MIMI NA BABA NI KITU KIMOJA ANIONAYE MINI KAMWONA BABA
2)KWANINI ANAITWA MFALME
3)NINAKWENDA KUWAANDALIA MAKAZI NAMI NITARUDI KUWACHUKUA
4)MIMI NDIMI NJIA YA UZIMA
5)NITAWAFUFUA WAFU WOTE SIKU YA MWISHO
6)KWANINI YESU ANAYO MAFUNDISHO YA KIMAMLAKA
7)KWANINI YESU ATA HUKUME WANADAMU
8)KWA NINI ANASEMA YEYE ALIKUWAKO KABLA YA WATU WA KALE ZAIDI YA UMRI WAKE
9)KWANINI YESU ALIWAKOSOA WATU KWA KUMWITA MWANA WA DAUDI KWA KUSEMA 👉DAUDI MWENYEWE ANASEMA BWANA ALIMWAMBIA BWANA WANGU.
10)KWANINU YESU ANAITWA MWOKOZI .
11)KWA NINI YESU ANAMWAMBIA YULE ALIYE SULIBISWA PAMOJA NAYE KUWA LEO HII UTSKUWA PAMOJA NAMI PEMAPEPONI KANA KWAMBA HAKUNA MWENYE MAMLAKA YA KUOJI KAZI YAKE MBINGUNI WALA DUNIANI YAANI YEYE NDIYE WAKWANZA NA WAMWISHO je yupo mtume anayeweza kumwambia mwanadamu wenzake kuwa leo utaingia nami peponi?yapo mengi sana naweza kuwa weka hapa ....Muhammad awezi iukubali kuwa yesu ni Mungu maana akikubali hivyo atakuwa Amejifunua kuwa yeye ni shetani maana kajiinua juu ya Yesu akisema yeye ni mtume mkuu kuliko wote walio kuja duniani.
 
Hadithi ya mtume BUKHARI 3435 Unasema Yesu ni neno wa mwenyzi MUNGU. "kallima tu Allah"😀
Hapo sasa ni patamu kuna tofauti baina ya 'Neno la mungu' na 'Neno wa mungu' ....Mungu akitamka "kuwa" kitu kikawa ilo ni neno la Mungu ila yesu ni tofauti, Yesu ni NENO "WA" MUNGU SIYO NENO "LA" ....wanadamu wa kwanza kuumbwa aliumbwa kwa NENO "LA" MUNGU ila YESU NI TOFAUTI YEYE NDIYO HUYO NENO MWENYEWE ALITWAA MWILI NDIYO MAANA ANAITWA NENO "WA" tumieni akili kutambua hizi tofauti.
 
Hapo sasa ni patamu kuna tofauti ya meno la mungu na neno wa mungu ....Mungu akitamka kuwa kiyu kikawa ilo ni neno ila ila yesu ni tofauti ni NENO "WA" MUNGU SIYO NENO "LA" ....wanadamu wa kwanza kuumba aliumbwa kwa NENO "LA" MUNGU ila YESU NI TOFAUTI YEYE NDIYO HUYO NENO MWENYEWE ALITWAA MWILI NDIYO MAANA ANAITWA NENO "WA" tumieni akili kutambua hizi tofauti.
Mwambie huyo!
 
1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."

Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."

2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10

3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)

4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."

5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.

Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Kiwango cha juu kabisa cha mwamini anayemwamini Yesu Kristo, ni kuamini na kukubaliana siyo tu na roho yake, bali na akili yake pia kwamba Yesu ndiyo Mungu mwenyewe Muumba mbingu na nchi. Hii siyo akili ya kawaida ila ni Roho wa Mungu mwenyewe ameamua kujidhihirisha Kwa mtu. Hongera sana mtumishi Kwa madini adhimu na adimu kuyapata Kwa watu wa dini wasio na Imani ya uhuru wa kweli
 
Mbona kama alishawahi kufa msalabani sasa inakuwaje anakuwa wa milele
Roho haifi kifo cha kimwili mzee, nafsi huonja mauti na roho inapata kifo cha kiroho ambacho bado roho inao uwezo wa kuhuishwa na kurudia uhai
 
Vipi kwa hiyo
Aya aliyo post nayo unaikana hapa hadharani 😁😁😁 BUKHARI 3435😂
Narrated 'Ubada: The Prophet said, If anyone testifies that None has the right to be worshipped but Allah Alone Who has no partners, and that Muhammad is His Slave and His Apostle, and that Jesus is Allah's Slave and His Apostle and His Word which He bestowed on Mary and a Spirit created by Him, and that Paradise is true, and Hell is true, Allah will admit him into Paradise with the deeds which he had done even if those deeds were few. (Junada, the sub-narrator said, 'Ubada added, 'Such a person can enter Paradise through any of its eight gates he likes. )


Kuna nini hapo kwani?
 
Roho haifi kifo cha kimwili mzee, nafsi huonja mauti na roho inapata kifo cha kiroho ambacho bado roho inao uwezo wa kuhuishwa na kurudia uhai
Kwa hiyo sisi sote roho zetu hazifi na sisi ni wa milele au
 
Narrated 'Ubada: The Prophet said, If anyone testifies that None has the right to be worshipped but Allah Alone Who has no partners, and that Muhammad is His Slave and His Apostle, and that Jesus is Allah's Slave and His Apostle and His Word which He bestowed on Mary and a Spirit created by Him, and that Paradise is true, and Hell is true, Allah will admit him into Paradise with the deeds which he had done even if those deeds were few. (Junada, the sub-narrator said, 'Ubada added, 'Such a person can enter Paradise through any of its eight gates he likes. )


Kuna nini hapo kwani?
Mbona unapenda kupost kwa kingereza au utaKi wengi waelewe hapa jf ...kuhusu muhammad ni lazima uanzie kwenye kumthibitisha kwanza muhammad ni mtume wa kweli wa mungu kabla ya kufuata na kukiamini chochote anacho sema ...kwa sababu dini zote ximetaadhalisha kuhusu shetani na hila zake
 
1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."

Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."

2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10

3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)

4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."

5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.

Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa

KAMA AMBAVYO DUARA LENYE UMBO LA MRABA NA BARAFU YA MOTO NI DHANA BATILI VIVYO HIVYO MWANA WA MUNGU MWENYE UMRI SAWA NA MUNGU BABA YAKE NI UBATILI MTUPU

Screenshot_20250306_171918_Samsung Notes.jpg

Bohn(2019)

Setfree amesanifu hoja ifuatayo:

1. Kama Yesu asingekuwa na sifa muhimu na zenye kutosheleza matakwa ya lazima ya mtu kuitwa Mungu wanaosema kuwa "Yesu si Mungu" wangekuwa sahihi.

2. Lakini Yesu anazo sifa muhimu na zenye kutosheleza matakwa ya kazima ya mtu kuitwa Mungu.

3. Kwa hiyo, watu wanaosema "Yesu si Mungu" wanakosea na wanaosema "Yesu ni Mungu" wako sahihi.

Napendekeza kuwa Kuna tatizo la mkanganyiko wa kimantiki na kimetafizikia kwenye hoja ya Setfree. Tatizo liko kwenye dokezo la pili hapo juu na liko hivi:

  1. Kutaka kauli inasyosema kwamba kuna kitu kipo mahali na kwamba kitu hicho hakipo mahali hapo wakati ule ule na katika mtazamo ule ule ni kutamka kauli ambayo inaongelea ubatili na utupu. (Kanuni ya kutojipinga kwa ukweli wa kimantiki na kimetafizikia/principle of logical and metaphysical non-contradiction).
  2. Seti ya matamko yanayokinzana hubeba matamko yanayokanushana, kwa maana kwamba, kuna baadhi ya matamko ambayo yanaunga mkono ukweli fulani wakati matamko mengine yanapinga ukweli huo.
  3. Kwa hiyo seti yenye matamko ambayo baadhi yake yanakanushana inakuwa inaongelea dhana ambayo ni ubatili na utupu tangu mwanzo.
  4. Uzi huu umebeba seti ya matamko yanayokinzana kwa maana kwamba inabeba matamko ambayo baadhi yake yanakanushana.
  5. Kwa hiyo pendekezo la uzi huu ni ubatili na utupu tangu mwanzo.
Aya namba 4 hapo juu, inaongelea matamko yanayokinzana.

Matamko haya yanapaswa kutenganishwa na mkanganyiko, kama itawezekana,

Matamko hayo ni haya hapa:

  1. Biblia inasema kuwa "Hapo mwanzo kulikuwako Neno." (Yohana 1:1 )
  2. Biblia inasema kuwa "Hapo mwanzo … Neno alikuwako kwa Mungu." (Yohana 1:1 )
  3. Kitendo cha mtu mmoja aitwaye Yesu kuishi nyumbani kwa mtu wa pili aitwaye Mungu hakumfanyi Yesu kuwa Mungu hata kama Mungu mwenyeki wake akifa (nyongeza yangu)
  4. Kwa hiyo Neno aliyekuwa anaishi na Mungu sio Mungu (nyongeza yangu)
  5. Biblia inasema kuwa "Hapo mwanzo … Neno alikuwa Mungu." (Yohana 1:1 )
  6. Biblia inasema kuwa Yesu Kristo ni "Mungu mkuu." (Tito 2:13)
  7. Biblia inasema kuwa Yesu Kristo ni "Mwokozi wetu." (Tito 2:13)
  8. "Mimi (Yesu) na Baba tu umoja." (Yohana 10:30)
  9. Yesu alisema: "Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi (Yesu) niko." (Yohana 8:58)
  10. Uwepo wake (Yesu ni) wa milele kama ilivyo kwa Baba yake (Mika 5:2)
  11. Hakuna mtoto mwenye umri sawa na mzazi wake (nyongeza yangu)
  12. Kwa hiyo Yesu ambaye ni mwana wa amungu hakuwepo tangu milele yote kama ilivyo kwa Mungu ambaye ni Mungu kamili (nyongeza yangu)
  13. (Yesu ana) Uwezo wa kusamehe dhambi (Marko 2:5-7)
  14. (Yesu ana) Uwezo wa kutoa uzima wa milele (Yohana 10:28)
  15. (Yesu ana) Uwezo wa kuhukumu ulimwengu (2 Wakorintho 5:10)
  16. Yesu alitenda muujiza wa kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11)
  17. Yesu alitenda muujiza wa kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
  18. Yesu alitenda muujiza wa kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
  19. Yesu alitenda muujiza wa kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
  20. Yesu alitenda muujiza wa kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)
  21. Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu." (Isaya 9:6)
  22. Yesu anaitwa "Baba wa milele." (Isaya 9:6)
  23. Yesu anaitwa “Mungu pamoja nasi." (Mathayo 1:22-23)
  24. Wanafunzi wake walimsujudia na kukiri kuwa ni Mungu. (Mathayo 28:9,17)
  25. Tomaso alimtambua Yesu kama, “Bwana wangu” (Yohana 20:28)
  26. Tomaso alimtambua Yesu kama, “Mungu wangu” (Yohana 20:28)
  27. Mbali na vitu vinavoonekana na kugusika (concrete entities), vitu vyote baki visivyoonekana wala kugusika, kwa maana ya vitu vya kufikirika (abstract entities), kama vile utu, uduara, upembetatu, umraba, unyama, uafrika, utanzania, haviwezi kuwa sehemu ya mchakato wowote wa sababu na matokeo (they are causally inert), na hivyo hitimisho kwamba, vimekuwepo tangu milele yote, jambo linalomaanisha kuwa vinao uzima wa milele ambao haukutokana na kianzilishi chcochote kama vile mungu muumba (nyongeza hangu) (Bohn 2019)
  28. Kuna wanadamu wengi wakimwemo wachawi wa kule Misri ya Farao hutenda miujiza pia (nyongeza yangu).
  29. Na wanadamu wanao uwezo wa kusamehe dhambi na kutoa hukumu za kiulimwengu (nyongeza yangu)
  30. Neno ni jina jingine la Yesu (kwa mujibu wa mleta uzi unaojibiwa hapa)
  31. Kwa hiyo baadhi ya sifa alizo nazo Yesu ni sifa alizonazo Mungu.
  32. Kwa hiyo kama unadai kwamba "Yesu sio Mungu" msimamo wako ni batili.
Kwa ufupi, kama ambavyo duara lenye umbo la mraba ni dhana batili, kama ambavyo barafu ya moto ni dhana batili, vivyo hivyo dhana ya mwana wa mungu mwenye umri sawa na Mungu Baba yake ni dhana ubatili. Muda wa kuwaepusha waumini na ugonjwa wa akili uitwao “dogmatizimo” yaani “dogmatism” umefika.

Kitabu kifuatacho kinatoa ufafanuzi wa tamko namba 27 hapo juu kuhusu tofauti kati ya concrete entities na abstract entities.

Tuendelee kuelimishana.
 

Attachments

Mbona unapenda kupost kwa kingereza au utaKi wengi waelewe hapa jf ...kuhusu muhammad ni lazima uanzie kwenye kumthibitisha kwanza muhammad ni mtume wa kweli wa mungu kabla ya kufuata na kukiamini chochote anacho sema ...kwa sababu dini zote ximetaadhalisha kuhusu shetani na hila zake
Nafikiri hiyo ndiyo post yangu ya kwanza ya kiingereza tena imetokea tu.

Nimethibitisha kuwa Muhammad ni Mtume wa Allah.
 
Yesu hana sifa za Mungu

YESU SI MUNGU:
KWA SABABU HANA SIFA ZA MUNGU

Mwenyezi Mungu Anazo sifa zifuatazo ambazo Yesu hanazo hata sifa moja wapo. Mwenyezi Mungu ndiye muumba wetu ni mmoja. Anajulikana na anatambulikana kwa sifa zake.

Biblia inatuelezea sifa Mungu zinazotajwa katika Biblia. Vilevile nitaeleza kwamba Bwana Yesu Kristo hana hata sifa moja sawa na Biblia.

1. MUNGU HAJARIBIWI

Biblia inasema kwamba: “Mtu ajaribiwapo, asiseme, ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala mwenyewe hamjaribu mtu,” (Yakobo 1:13).

Sasa tuone hali ya Bwana Yesu Kristo kwamba yeye anayo sifa hii au ni kinyume chake. Biblia inasema kwamba: “ Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi,” (Mathayo 4:1).

Mungu hajaribiwi lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi, kwahiyo hawezi kuwa mungu, kwa sababu ya kukosa sifa hii
ya Mungu.

2 MUNGU ANAJUA KILA KITU

Ni sifa ya Mwenyezi Mungu kujua kila kitu cha dhahiri na cha siri. Kitu chochote hakiwezi kufichika kwake. Kama Biblia inavyosema kwamba: “Basi usikie huko mbinguni, makao yako, ukasamehe, ukampe kila mtu kwa kadri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu wote.” (1Wafalme 8:39).

Sasa tuone kiwango cha Bwana Yesu cha kujua mambo. Biblia inasema kwamba: “Hata asubuhi alipokuwa akienda mjini, aliona njaa. Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.”
(Mathayo 21:18-19).

Mtu ambaye hajui kwamba msimu huu mti fulani haupatikani matunda ilhali hata watoto wadogo wanajua misimu ya matunda mbalimbali, hawezi kuwa Mungu.

Tena aya hii inaonesha tabia ya Bwana Yesu kwamba mwenyewe alikosea kujua msimu wa matunda ya mtini
na kisha akaulaani mti bure.

Pia Bw. Yesu anakiri mwenyewe kwamba hajui chochote kuhusu habari za saa ile (Mathayo 24:36).


3. MUNGU HACHOKI

Mwenyezi Mungu hana kasoro ya udhaifu wowote. Sifa zote njema zinamhusu yeye. Biblia inasema kwamba: Je, wewe hukujua? hukusikia? Yeye Mungu wa milele, Bwana muumba miisho ya dunia, hasinzii wala hachoki, akili zake hazichunguziki.” (Isaya 40:28).

Sasa tuone hali ya Yesu. Je, yeye anayo sifa hii ya Mungu? Kama hana, basi hawezi kuwa Mungu. Biblia inasema: “Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, Basi Yesu kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo yapata saa sita.” (Yohana 4:6). Basi mwenye kuchoka hawezi kuwa Mungu.
Wasipokuelewa hapa .nitashangaa.tuendelee tu kuwapiga msasa naamini kuna jambo wamejifunza hawawezi zungumza.
 
Back
Top Bottom