Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Maana yake sasa wamemwona kwa jinsi ya mwili wa mwanadamu...

Biblia inasema kwamba Mungu sio mwanadamu​


‘Mungu sio mwanadamu’ (Hesabu 23:19)


‘Kwa maana mimi ni Mungu, wala sio mwanadamu’ (Hosea 11:9)


Yesu anaitwa mtu mara nyingi katika Biblia​


Mtu ambaye amewaambia iliyo kweli’ (Yohana 8:40)


‘Yesu Mnazareti, mtu aliyeshuhudiwa na Mungu kwa miujiza na maajabu na ishara ambazo Mungu alizifanya kwa yeye katikati yenu, kama ninyi wenyewe mjuavyo.’ (Matendo 2:22)


‘mwanadamu Yesu Kristo ’ (Tim. 2:5)


 
Maana yake sasa wamemwona kwa jinsi ya mwili wa mwanadamu...


Yesu anasemaje katika Injili :

Yohana 17:3 imeandikwa hivi – uzima wa milele ndiyo huu wakujue Munguwa pekee na Yesu uliyemtuma. Katika Aya hii Yesu anasema kwamba ili kupata uzima lazima tumjue kwanza Mungu wa pekee na umjue Yesu Kristo aliyetumwa na Mungu, hapa Yesu hasemi lolote kuhusu yeye kuwa nafasi ya pili ya Mungu ila anakiri wazi yeye ametumwa na Mungu mmoja wa pekee.

Luka 2:40 imeandikwa hivi:- Yule mtoto akakua akaongezeka nguvu amejaa hekima na neema ya Mungu ilikua juu yake.

Katika Aya hii tunaambiwa kwamba Yesu alijaa hekima na neema ya Mungu.Tahadhari ufikirie vizuri kwa makini sababu hapa inayonyesha kwamba bila ya Mungu kumpa neema Yesu asingelikuwa na hekima hii inaonyesha wazi Yesu ni kiumbe aliyeteuliwa na Mungu na hii ni kawaida yake Mwenyezi Mungu kwa Mitume na Manabii wake kuwapa neema na hekima.

Yohana 13:13 imeandikwa hivi:- Nanyi mwaniita Mwalimu na Bwana nanyi mwasema vema maana ndivyo nilivyo. Maneno hayo yatueleza wazi kwamba alikuwa anajua wazi kwamba yeye ni Mwalimu na Bwana ndiyo maana anawasifu wanafunzi wake, NANYI MWASEMA VEMA.

Matayo 23:9 imeandikwa:- Wala msimwite mtu Baba maana Baba yenu ni mmoja wa Mbinguni wala msiitwe Kiongozi maana Kiongozi wenu ni mmoja naye ndiye Yesu Kristo, hapa Yesu anaendelea kutuonyesha jinsi alivyo tofauti na Mungu hayuko sawa na Mungu daima Mungu ni Baba lakini Yesu ni Kiongozi tu.

Ufunuo: 1:1-2 imeandikwa hivi:- Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu awaonyeshe watu wake……Naye akatuma Malaika akamuonyeshe Mtumwa wake Yohana……..Wakati ufunuo unatolewa na Mungu na kupewa Yesu wakati huo Yesu ameshatoka Duniani yuko Mbinguni, lakini bado inaonyesha Mungu ndiye mkubwa Yesu bado ni wakutumwa ili awaonyeshe watumwa kuhusu mambo yao yatakayokuja kama tulivyosoma. Zipo Aya nyingi sana zinazoonyesha wazi alikuwa halijui kabisa fundisho la utatu.
 
Maana yake sasa wamemwona kwa jinsi ya mwili wa mwanadamu...

Wanafunzi wa kwanza walimuelewaje Yesu?

Matendo ya Mitume 3:13 imeandikwa hivi Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na Wayakobo, Mungu wa Baba zetu amemtukuza Mtumishi wake Yesu ambaye nyinyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake ili afunguliwe.

Maneno ya wanafunzi yalikuwa wazi kuwa Yesu ni Mtumishi wa Mungu tu yaani Mtume pia ni Nabii.

Matendo ya Mitume 4:27 imeandikwa hivi maana ni kweli Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na watu wa Israel walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako Mtakatifu Yesu uliyemtia mafuta.

Wanafunzi wanaendelea na msimamo wao kwamba Yesu ni Mtumishi wa Mungu aliyetumwa (Mtume) tu.

Luka 24:19 imeandikwa:- Akawauliza mambo gani? Wakamwambia mambo yaYesu Wanazareti aliyekuwa mtu nabii mwenye uwezo wa kutenda na kusema mbeleza Mungu na Wanadamu.

Marko 6:2 imeandikwa:- Na ilipokuwa Sabato aliingia katika Sinagogi,wengi waliposikia walishangaa wakasema huyu ameyapata wapi haya! Hekima gani hii? Aliyopewa huyu? Nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake? Huyu si ni yule Selemala mwana wa Mariamu na ndugu yao Yakobo na Yosefna Yuda na Simoni na Maumbu wake hawapo hapa? Maneno haya yanathibitisha kwamba watu waliomfahamu Yesu walishangaa matendo makubwa anayoyatenda hata hivyo walijua kwamba yeye ni Selemala wa Mwana wa Mariamu tu.

Marko 13:31 tunasoma hivi – Mbingu na Nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna anaye ijua hata malaika wala Mwana (Yesu) ila Baba tu Mungu, hapa Yesu alikua anazungumza habari ya siku ya mwisho alikiri wazi kwamba yeye siku haijui hata Malaika hawajui ila Mungu peke yake.
 
Maana yake sasa wamemwona kwa jinsi ya mwili wa mwanadamu...

Uungu wa Yesu ulianza hivi:-

Justin Marryr: Alimtaja Yesu kwamba alikuwako kuwa Binadamu alikua Malaika aliyeumba… Yesu alikua na cheo kidogo kuliko Mungu. Alifundisha mwaka 165A.D.

Irenayo.Alifundisha kwamba Mungu ni mmoja wa pekee hakuna tena mwinginewa kulingana naye …………..Yesu aliumbwa kama Malaika hayuko sawa na Mungu.Ilikuwa mwaka 200 A.D.

Naye Celement, wa Alexandaria. Alifundisha kwamba Mungu ni mmoja tuwa kweli asiyeumbwa na hawezi kuangamiaYesu ni wa pili lakini hayuko sawana Mungu ilikua mwaka 215 AD.

Askofu Mkuu Rertuliano: Alifundisha kwamba Mungu ni mkubwa kuliko vyote….anayetumwa ni mdogo kwa yule anayemtuma. Yesu alitumwa na Mungu alifundisha hivyo mwaka 230 AD.

Askofu Hippolytus. Alifundisha kwamba Mungu ni mmoja wa pekee Muumba vyote hakuna tena kilichomtangulia Yesu aliumbwa na Mungu alifundisha mwaka235 AD.

Naye Askofu Origen. Alifundisha kwamba Baba Mwana ni asili mbili tofauti ukilinganisha na Baba Mwana Yesu anayo nuru ndogo sana mbele za Baba alifundisha mwaka 250 AD.

Ndugu msomaji baada ya kumsikiliza Yesu katika Injili yake katika Aya nilizozitoa hatukuona Neno linalosema yeye ni Mungu hata kidokezo kidogo hakuna.

Baadaye tumewasikia wanafunzi wake wa kwanza waliotembea na Yesu pia hawakutuambia kwamba Yesu ni Mungu tumeona wakitaja kwamba. Yesu Mtume,Mwalimu, Nabii, mtiwa mafuta, Bwana mtu, Selemala, Mwana wa Mariamu tu.

Kama tulivyoona Maaskofu wa kwanza nao hawakutuambia wazi kwamba Yesu ni Mungu au Roho Mtakatifu ni Mungu, kufika hapa ndugu msomaji unaweza kuuliza sasa fundisho hili kubwa na ndiyo kanuni ya Wakristo lilianza vipi? Hadi kuwa ndiyo imani kuu namna hiyo? Je? Ni mpango wa Mungu kweli? Naomba uendelee kusoma.
 
Wanafunzi wa kwanza walimuelewaje Yesu?

Matendo ya Mitume 3:13 imeandikwa hivi Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na Wayakobo, Mungu wa Baba zetu amemtukuza Mtumishi wake Yesu ambaye nyinyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake ili afunguliwe.

Maneno ya wanafunzi yalikuwa wazi kuwa Yesu ni Mtumishi wa Mungu tu yaani Mtume pia ni Nabii.

Matendo ya Mitume 4:27 imeandikwa hivi maana ni kweli Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na watu wa Israel walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako Mtakatifu Yesu uliyemtia mafuta.

Wanafunzi wanaendelea na msimamo wao kwamba Yesu ni Mtumishi wa Mungu aliyetumwa (Mtume) tu.

Luka 24:19 imeandikwa:- Akawauliza mambo gani? Wakamwambia mambo yaYesu Wanazareti aliyekuwa mtu nabii mwenye uwezo wa kutenda na kusema mbeleza Mungu na Wanadamu.

Marko 6:2 imeandikwa:- Na ilipokuwa Sabato aliingia katika Sinagogi,wengi waliposikia walishangaa wakasema huyu ameyapata wapi haya! Hekima gani hii? Aliyopewa huyu? Nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake? Huyu si ni yule Selemala mwana wa Mariamu na ndugu yao Yakobo na Yosefna Yuda na Simoni na Maumbu wake hawapo hapa? Maneno haya yanathibitisha kwamba watu waliomfahamu Yesu walishangaa matendo makubwa anayoyatenda hata hivyo walijua kwamba yeye ni Selemala wa Mwana wa Mariamu tu.

Marko 13:31 tunasoma hivi – Mbingu na Nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna anaye ijua hata malaika wala Mwana (Yesu) ila Baba tu Mungu, hapa Yesu alikua anazungumza habari ya siku ya mwisho alikiri wazi kwamba yeye siku haijui hata Malaika hawajui ila Mungu peke yake.
Rudi nyuma neno YESU LIMEBEBA MAMBO MAWILI 1)MWILI 2)NAFSI
hivyo ndiyo ilivyo mungu amemtukuza katika mwili na siku ya tatu akamfufua ...hivyo nafsi ya yesu ndiyo mungu na msalabani kilicho kufa ni mwili siyo nafsi ....
 
Uungu wa Yesu ulianza hivi:-

Justin Marryr: Alimtaja Yesu kwamba alikuwako kuwa Binadamu alikua Malaika aliyeumba… Yesu alikua na cheo kidogo kuliko Mungu. Alifundisha mwaka 165A.D.

Irenayo.Alifundisha kwamba Mungu ni mmoja wa pekee hakuna tena mwinginewa kulingana naye …………..Yesu aliumbwa kama Malaika hayuko sawa na Mungu.Ilikuwa mwaka 200 A.D.

Naye Celement, wa Alexandaria. Alifundisha kwamba Mungu ni mmoja tuwa kweli asiyeumbwa na hawezi kuangamiaYesu ni wa pili lakini hayuko sawana Mungu ilikua mwaka 215 AD.

Askofu Mkuu Rertuliano: Alifundisha kwamba Mungu ni mkubwa kuliko vyote….anayetumwa ni mdogo kwa yule anayemtuma. Yesu alitumwa na Mungu alifundisha hivyo mwaka 230 AD.

Askofu Hippolytus. Alifundisha kwamba Mungu ni mmoja wa pekee Muumba vyote hakuna tena kilichomtangulia Yesu aliumbwa na Mungu alifundisha mwaka235 AD.

Naye Askofu Origen. Alifundisha kwamba Baba Mwana ni asili mbili tofauti ukilinganisha na Baba Mwana Yesu anayo nuru ndogo sana mbele za Baba alifundisha mwaka 250 AD.

Ndugu msomaji baada ya kumsikiliza Yesu katika Injili yake katika Aya nilizozitoa hatukuona Neno linalosema yeye ni Mungu hata kidokezo kidogo hakuna.

Baadaye tumewasikia wanafunzi wake wa kwanza waliotembea na Yesu pia hawakutuambia kwamba Yesu ni Mungu tumeona wakitaja kwamba. Yesu Mtume,Mwalimu, Nabii, mtiwa mafuta, Bwana mtu, Selemala, Mwana wa Mariamu tu.

Kama tulivyoona Maaskofu wa kwanza nao hawakutuambia wazi kwamba Yesu ni Mungu au Roho Mtakatifu ni Mungu, kufika hapa ndugu msomaji unaweza kuuliza sasa fundisho hili kubwa na ndiyo kanuni ya Wakristo lilianza vipi? Hadi kuwa ndiyo imani kuu namna hiyo? Je? Ni mpango wa Mungu kweli? Naomba uendelee kusoma.
Mimi pia ninakuambia kuwa yesu ndiye mungu na roho mtakatifu pia ni huyo huyo mungu ....subiri baadae nitakuja sasa kukujibu maswali yako yote na kukupa maana ya hayo maandiko uliyo yatumia maana umeshindwa tutambua fumbo ya kristo
 
Maana yake sasa wamemwona kwa jinsi ya mwili wa mwanadamu...

Uungu wa Yesu ulianza vipi?

Tangu mwishoni mwa Karne ya tatu ulitokea mvutano mkubwa sana katika Kanisa kuhusu mafundisho ya Maaskofu kuhusu Cheo cha Yesu na Mariamu. Mabishano hayo yaliendelea kwa kasi kila mtu alimtafsiri Yesu kivyake.

Hali ilizidi kuwa mbaya sana mnamo mwaka 325 AD ilimlazimu Mfalme wa wakati huo Konstantine awaite Maaskofu wote wakati huo Kanisa lilikuwa na Maaskofu 300 ili waje waelewane na kuwa na msimamo mmoja lakini ni sehemu tu ya Maaskofu walio hudhuria.

Wakati huo Konstantine alikuwa Mpagani mwabudu jua kwa wazazi wake,soma The Early Church. Kwa hiyo aliwakusanya Maaskofu ili kuletautulivu katika utawala wake. Mfalme huyu ndiye aliyekuwa Mwenyekiti namtendaji muhimu katika mkutano huo.

Majadiliano yalikuwa makali sana iliwachukua miezi miwili bila mwafakawowote ndipo Mfalme aliingilia kati na kutoa uamuzi wake na ndiyo ilibidi ufuatwe, yeye aliwaunga mkono wale waliosema Yesu ni Mungu kweli na mtu kweli ni mwana wa Mungu aliye sawa na Baba yake Mungu, pia Mariamu ni mamawa Mungu pia ni Malkia wa Mbinguni. Kwa hiyo Mfalme Mpagani akawa ameshiriki sehemu ya maana sana katika kumpandisha cheo toka kuwa mtume hadi kuwa Mungu kamili na Mariamu akawa mama wa Mungu.

Kama nilivyosema Kostantini alikuwa Mpagani hivyo, hakuwa na ujuzi kamili juu ya maswali yaliyokuwa yakiulizwa katika Thiolojia ya Kigiriki alilojua ni kuleta amani katika utawala wake tu. Soma A. Short. History of Christian Doctrine.

Uamuzi huo ulikuwa ni wa kijeshi siyo hiyari hapo Maaskofu waliomuhofu Mfalme walitia sahihi zao lakini wengine walikataa waliokataa waliteswa sana na kunyanyaswa hadi waliuwawa kikatili sana.

Mkutano huo ulikuwa katika mji wa NICEA na uliitwa Baraza la NICEA mwaka325 AD.

Uamuzi wa NICEA haukuleta utulivu kama walivyotegemea bali vurugu zahali ya juu, mateso na mauaji yalikuwa makubwa sana hasa kwa wale waliokataa fundisho hilo la Yesu kuwa Mungu na Mariamu mama wa Mungu, Malkia na Mbinguni.

Mateso na mabishano yalienea zaidi huko Ufaransa ya Kusini, Hispania na Ujerumani miaka mingi iliyopita hasa baada ya Patano la Milano ambapo Kostantini na Kanisa walishirikiana vizuri Makanisa yakajengwa kwa gharama za serikali hapo mateso yalizidi watu wengi waliuwawa vibaya hovyohovyo tu.

Ilipofika mwaka 381 A.D. mambo yalizidi kuwa mabaya sana hapo Mfalme aliyekuwa anamiliki wakati huo Theodosius aliitisha tena mkutano wa Maaskofu wote katika mkutano huo Mfalme alitangaza rasmi kuunga mkono uamuzi waBaraza la NICEA.

Pia walikubaliana Roho Mtakatifu aunganishwe katika utatu Mtakatifu hapo ndipo imani ya utatu wa Mungu Mmoja ilianza ili kuwathibiti wale waliokuwa wanapinga ilitolewa amri kwamba hakuna ruksa kwa mtu yeyote kupinga au kutafsiri neno linalohusu Biblia au mapokeo soma. Hati ya Funuo ya Vaticani 10:4 imeandikwa:- Lakini haki ya kutoa tafsiri thabiti ya neno la Mungu au mapokeo imekabidhiwa mamlaka ya kifundishi ya Kanisa Katoliki peke yake tu. Mkutano huo unaitwa Baraza la Kostantinopol. Mwaka 381 A.D.

Historia inaendelea kutueleza kwamba Kanisa liliendelea kuwatesa nakuwauwa wote waliojaribu kupinga au kufafanua vingine mamlaka ya Kanisa ikishirikiana na serikali, watu waliteswa kwa njia nyingi, mfano:- wapo waliofungwa na kunyimwa chakula hadi kufa, wengine walitupwa kwenye zizi lililokuwa na wanyama wakali na kuliwa na wengine walilazimishwa kukalia vyuma vyenye moto, wengine walivalishwa shingoni mkufu wenye misumari yenye ncha kali baadaye misumari ilipigiliwa na kuingia shingoni hadi kufa. Wengine walibanwa na Koleo maalum Magotini na kuvunja miguu na kuwalazimisha wakubali mafundisho ya Kanisa la Roma.

Wapo waliochunwa ngozi ya mwili mfano wa mbuzi na walikufa kwa mateso mno. Uamuzi huu wakutisha ulikuwa unatimiza maneno ya Yesu Matayo 12:37-43.

Akasema azipandaye mbegu njema ni mwana wa Adamu lile Konde ni ulimwenguzile mbegu njema ni wana wa Mfalme, yale magugu ni wana wa yule mwovu aliyepandani Ibilisi mavuno ni mwisho wa dunia wavunao ni malaika kama vile maguguyanavyokusanywa na kuchomwa motoni ndivyo itakavyokuwa katika mwisho waDunia… mwenye masikio na asikie.


Uamuzi huo ulitimiza kweli magugu yalikuwa yamepandwa Ulimwenguni imaniya uongo iliingia kwa nguvu kama vile magugu yanavyoingia shambani na kuharibu ngano ndivyo ilivyo hadi leo hii fundisho hilo la uongo limekuwa ndiyo msingi mkubwa wa imani ya Kanisa Duniani pote.

Ipo njia inayoonekana kuwa sawa machoni mwa mtu lakini mwisho wake ni mauti mithali 14:12 Viongozi wa Kanisa waliona kwamba njia nzuri ya kumuheshimu Yesu ni kumpandisha Cheo toka Mtume wa Mungu hadi kuwa Mungu sawa Mungu Muumba vyote kabisa.

Mariamu akapandishwa kutoka mama wa Mtume Mtakatifu. Viongozi wakampandisha cheo cha mama wa Mungu nani Malkia wa Mbinguni!!! Viongozi hao inafaa wafungwe jiwe la kusagia shingoni sababu wamewakosesha watu hadi leo hii wanaendelea kuwakosesha kwa mafundisho ya uongo Marko 9:42. Ninakushauri uende Maktaba utaona vitabu na kurasa maelfu ambavyo wanathiolojia wamejitahidi sana kutoa fafanuzi mbalimbali na mitajo ya kila aina ili kupata ukweli wa mambo kuhusu utatu lakini huishia kuchanganyikiwa, na kuacha bila kuelewana hawapati ushahidi ulio.
 
Yesu anasemaje katika Injili :

Yohana 17:3 imeandikwa hivi – uzima wa milele ndiyo huu wakujue Munguwa pekee na Yesu uliyemtuma. Katika Aya hii Yesu anasema kwamba ili kupatauzima lazima tumjue kwanza Mungu wa pekee na umjue Yesu Kristo aliyetumwana Mungu, hapa Yesu hasemi lolote kuhusu yeye kuwa nafasi ya pili ya Munguila anakiri wazi yeye ametumwa na Mungu mmoja wa pekee.

Luka 2:40 imeandikwa hivi:- Yule mtoto akakua akaongezeka nguvu amejaahekima na neema ya Mungu ilikua juu yake.

Katika Aya hii tunaambiwa kwamba Yesu alijaa hekima na neema ya Mungu.Tahadhari ufikirie vizuri kwa makini sababu hapa inayonyesha kwamba bilaya Mungu kumpa neema Yesu asingelikuwa na hekima hii inaonyesha wazi Yesuni kiumbe aliyeteuliwa na Mungu na hii ni kawaida yake Mwenyezi Mungu kwaMitume na Manabii wake kuwapa neema na hekima.

Yohana 13:13 imeandikwa hivi:- Nanyi mwaniita Mwalimu na Bwana nanyimwasema vema maana ndivyo nilivyo. Maneno hayo yatueleza wazi kwamba alikuwaanajua wazi kwamba yeye ni Mwalimu na Bwana ndiyo maana anawasifu wanafunziwake, NANYI MWASEMA VEMA.

Matayo 23:9 imeandikwa:- Wala msimwite mtu Baba maana Baba yenu ni mmojawa Mbinguni wala msiitwe Kiongozi maana Kiongozi wenu ni mmoja naye ndiye Yesu Kristo, hapa Yesu anaendelea kutuonyesha jinsi alivyo tofauti na Mungu hayuko sawa na Mungu daima Mungu ni Baba lakini Yesu ni Kiongozi tu.

Ufunuo: 1:1-2 imeandikwa hivi:- Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu awaonyeshe watu wake……Naye akatuma Malaika akamuonyeshe Mtumwa wake Yohana……..Wakati ufunuo unatolewa na Mungu na kupewa Yesu wakati huo Yesu ameshatoka Duniani yuko Mbinguni, lakini bado inaonyesha Mungu ndiye mkubwa Yesu bado ni wakutumwa ili awaonyeshe watumwa kuhusu mambo yao yatakayokuja kama tulivyosoma. Zipo Aya nyingi sana zinazoonyesha wazi alikuwa halijui kabisa fundisho la utatu.
Nafsi ndiyo iliyo utuma mwili wa yesu tumia akili kwa sababu nafsi ya yesu ndiyo mungu hivyo ule mwili ulikuwa unafanya shauri la NAFSI YA MUNGU
 
Rudi nyuma neno YESU LIMEBEBA MAMBO MAWILI 1)MWILI 2)NAFSI
hivyo ndiyo ilivyo mungu amemtukuza katika mwili na siku ya tatu akamfufua ...hivyo nafsi ya yesu ndiyo mungu na msalabani kilicho kufa ni mwili siyo nafsi ....

Wanatheolojia wanasemaje?

Kitabu cha A. Short History of Christian Doctrine. Mwanathiolojia Bernhard Lohse anaeleza kwamba ingawa Agano Jipya linahusika sana hata hivyo hatupati fundisho la utatu katika Agano Jipya.

Kitabu cha New International Dictionary of New Testament Theology, kinasema hakuna kabisa ushahidi katika Agano Jipya unaothibitisha utatu.

Profesa wa Chuo Kikuu cha yale E. Washburn Hopkins anasema katika kitabu cha Origin and Evolution of Religion kwamba hata Yesu mwenyewe halijui kabisa fundisho hilo la utatu sababu hakuna mtajo popote unaotuambia kwamba yeye ni Mungu (Yesu).

Mwana Historia Arthur. Wegal anasema katika kitabu cha The Paganismin our Christianity kwamba wazo la utatu liliingizwa na viongozi wa kanisa mnamo karne ya tatu baada ya Yesu kuondoka……Vitabu vyote vya Agano la kale na Injili zote nne hakuna fundisho hilo kabisa kama linavyofundishwa makanisani duniani pote siku hizi.

Kitabu cha New Catholic Encyclopadia tunapata maelezo kwamba mamlaka ya Kanisa husema wazi kwamba utatu siyo fundisho la moja kwa moja……..ila ni fumbo la imani tu.

6. Kitabu cha Kikatoliki Trinitas A. Thiolojicar Encyclopadia of the Holy Trinity. Tertuliano. Baadhi ya mafundisho yake yalitumiwa na watu wengine…….na hutahadharisha kutokua na haraka kuhusu utatu.

Katika vitabu vya New Catholic Encyclopadia na The Encyclopadia of Religionwanathiolojia hukubaliana kwamba katika Biblia hakuna fundisho la utatu…..kabisa.

Mwanathiolojia Myeswiti Edmund Fortiman anatueleza katika kitabu chaThe Triune God kwamba katika Agano la Kale hatuoni ushahidi wa mwandishimtakatifu yeyote anayetuambia lolote kuhusu utatu….. uchunguzi wa maandikoMatakatifu ya kiebrania umeonyesha kwamba hakuna fundisho la ajabu jinsihiyo katika Biblia.

Kitabu cha Encyclopadia Americana kinasema kwamba imani ya utatu lilikuwafundisho la upotevu tangu Karne ya nne.

Baada ya kupitishwa uamuzi huo Historia, inatuonyesha kwamba fundishohilo halikupokelewa kama ilivyotarajiwa watu waliendelea kupinga sana hatahivyo waliopinga waliteswa, kudhalilishwa, mateso haya yaliongozwa na Kanisalenyewe.

Na baada ya karne nyingi utatu ulipangwa imara sana, kitabu cha The Encyclopadia Americana kinatueleza kwamba imani ya utatu ilikuwa magharibi katika mifumo ya kinadharia ya wanachuo katika enzi za katikati ambapo ufafanuzi ulianza kutolewa kwa namna ya Falsafa na Saikolojia.

Historia inaendelea kutudokeza kwamba imani ya utatu haikujulikana katika Kanisa la Mashariki mpaka Karne ya 12 The Encyclopadia Britanica hadi karne ya 17 inaonekana kwamba imani hiyo ilitungwa kusini mwa Ufaransa karne ya 5 sababu inaonyesha kwamba mvutano mkubwa ulikuwa Kusini mwa Ufaransa na Hispania na katika karne 6 – 7 ilitumiwa katika Liturjia ya Kanisa Ujerumani ilianza kutumiwa Luturjia ya utatu karne ya 9 na baadaye kidogo ilianza kutumiwa Roma. Kwa maana hiyo fundisho la utatu lilichukua miaka mingi sana tangu lipitishwe hadi kukubaliwa na watu wengi naye E.W. Hopkins anasema katika kitabu cha Origin and Evolution of Religion. Misimamo yafundisho la utatu ililenga hasa katika Siasa ya Kanisa tu, siyo fundisho la kweli.

Baada ya uamuzi kupitishwa kilichofuata ni utekelezaji jambo ambalo lilikuwa gumu sana.

Ukisoma A. Dictionary of Religions Knowledge inasema kwamba, Wana utatu hawaafikiani wao kwa wao wenyewe kuhusu fundisho hilo la utatu jinsi linavyopaswa kufafanuliwa.

New Catholic. Encyclopadia kinasema ni walimu wachache wa Thiolojia ambao huwa hawasumbuliwi na maswali wanapofundisha katika Seminari za Kiroma.

Lakini mtu anawezaje kuhubiri kuhusu utatu? Na iwapo swali hilo ni dalili za mvurugiko kwa wanafunzi basi ni dadili ya mvurugiko hata kwa Maprofesa wao. Naye Myeswiti Joseph Brackon anatueleza kwamba Mapadri ambao kwa bidii sana miaka mingi wawapo Seminary hujifunza utatu….. husita kuufundisha siku za Jumapili soma Are They Saying About the Trinity kwa ninimtu achoshe watu kwa fundisho ambalo hawawezi kulielewa? …….tofauti zinazofundishwa kuhusu utatu haziwezi kutosheleza kumfanya Muislamu aelewe mitajo ya Kitheolojia iliyotokana na kisiria, Kigiriki na Kilatini humfanya Muislamu, kuuona huo ni upuuzi na mchezo wa maneno…..kwani mtu aongeze kitu katika upweke wa Mwenyezi Mungu Muumba vyote?
 
Nafsi ndiyo iliyo utuma mwili wa yesu tumia akili kwa sababu nafsi ya yesu ndiyo mungu hivyo ule mwili ulikuwa unafanya shauri la NAFSI YA MUNGU
Lete aya please sitaki maneno kutoka domo la mchungaji wako
 
Isaya 45:5
[5]Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine; zaidi yangu mimi hapana Mungu; nitakufunga mshipi ijapokuwa hukunijua.
I am the LORD, and there is none else, there is no God beside me: I girded thee, though thou hast not known me
Yohana 5:19
[19]Mwana hawezi kutenda neno mwenyewe ila lile ambalo amwona Baba analitenda; kwa maana yote ayatendayo yeye, ndiyo ayatendayo Mwana vile vile.
Yohana 14:28
[28]Mlisikia ya kwamba mimi naliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.
Ye have heard how I said unto you, I go away, and come again unto you. If ye loved me, ye would rejoice, because I said, I go unto the Father: for my Father is greater than i am.
 
Rudi nyuma neno YESU LIMEBEBA MAMBO MAWILI 1)MWILI 2)NAFSI
hivyo ndiyo ilivyo mungu amemtukuza katika mwili na siku ya tatu akamfufua ...hivyo nafsi ya yesu ndiyo mungu na msalabani kilicho kufa ni mwili siyo nafsi ....
Hakuna ushahidi Yesu alikufa
 
Hakuna ushahidi Yesu alikufa
Ukitaka kujua kuwa Yesu alikufa katika mwili ni lazima uwe na akili ya kujua kwanini yesu alitakiwa kufa na alikufa kwa sababu gani ukijua hivyo utajua uongo wa muhammad...kuna sababu kubwa sana iliyo sababisha nilazima yesu kuuliwa iliwokovu upatikane
 
Peleka ujinga wako kwa wajinga wenzio unakaririshwa ujinga na kishindwa kujiongeza,haya yesu alikufa je,Mungu anakufa?
 
Mmeandikiwa biblia na wazungu mnapita humohumo kwa mistari na tafasiri zao hata hamstuki na kujiongeza kuwa mmefungwa kamba kama kondoo mnafuata tu.
 
Ukitaka kujua kuwa Yesu alikufa katika mwili ni lazima uwe na akili ya kujua kwanini yesu alitakiwa kufa na alikufa kwa sababu gani ukijua hivyo utajua uongo wa muhammad...kuna sababu kubwa sana iliyo sababisha nilazima yesu kuuliwa iliwokovu upatikane
Mungu anakufa tena?
 
Alikufa akafufuka. Wakati anakufa alikuwa ameuvaa mwili wa kibinadamu ili damu imwagike tupate ondoleo na msamaha wa dhambi.
We nilijinga kweli hata hujui na wala hujisumbui kuwaza kwa undani kuwa yesu alikuwa ni bin-adamu na ndiyo naana ukoo wake upo na alizaliwa duniani,hivi kweli Mungu anazaliwa na anakufa?

Mbona waafrika wengi kama wewe ni wajinga kiasi hiki?yesu aje ktk mwili wa kibinadamu kwaajili ya waafrika na siyo Babu na Bibi zenu wa Kiafrika?
 
1)MUNGU NI NAFSI YA MUNGU MWENYEZI
2)YESU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU USIO NA NAFSI YA BINADAMU.
3)ROHO MTAKATIFU NI NAFSI YA MUNGU NDANI YA MWILI WA MWANADAMU WENYE NAFSI YA MWANADAMU ( yaani nafsi mbili ndani ya mwili mmoja )
HIVYO MUNGU NA YESU NA ROHO MTAKATIFU NI NAFSI MOJA TU.
Mnakaririshwa na kubadirisha maneno ya kitabu chenu kulinda utapeli wenu,siku hazigandi ukweli utajulikana soon!!
 
Back
Top Bottom