Kwanini Yesu Kristo hakuoa, hakuwa na mwanafunzi wa kike, pia Yesu hakuwa na ukaribu wala urafiki na wanawake? Kuna nini nyuma ya pazia ?

Duh asee ni kwere jomba lazima alikuwa ana hustle sana kumhudumia
John 12:3, Then Mary took about a pint of pure nard, an expensive perfume; she poured it on Jesus' feet and wiped his feet with her hair. And the house was filled with the fragrance of the perfume.
 
Unamfahamu Maria Magdalena? (Mary Magdalene).

Unamfahamu vipi?
 
Kawaida watu wenye akili nyingi hawaoi;
Mfano:
Isaac newton
Nikola Tesla

Kibiblia ishi na mke kwa akili. Kwamba ifike sehemu uwe na mpumbavu flani hivi ndio mtawezana.
 
Soma Mwazo 19 na judge 19 utajuwa kwani yesu hakuwa na mke wala girlfriend.
 
Yesu alikua rafiki mkubwa wa dada yake na Lazaro Martha,pia yesu alikua rafiki na Maria Magdalena..
Yesu Kristo alikuwa anaongea sana na wanawake anza kwa veronica aliekuwa anatokwa damu, yule pale kisimani na alieletwa mzinzi. Alikuwa anaongea nao tenacmpaka wanafunzi wake walikuwa wanastaajabu
 
Ushaambiwa Yesu alikuwa na nafsi ya Mungu, mfano umeona ,hakuweza kula siku arobaini mchana na usiku,kitu ambacho mwanadamu wa kawaida hawezi, wewe na hisia mshindo zako, nyege kama 5g , 24/7/5/12 a year unaanza kuwaza hata Yesu ni kama Mimi, afu unajiuliza Mimi nimeshindwa yeye aliwezaje!!? Unaanza kumtafutia hatia ili tu uhalalishe Tabia zako 🤔🤔




Unachokosea ni kujifananisha na Yesu na Kisha kujipa haki sawa na yeye, ukitaka ujue tofauti fungal siku kumi usiku na mchana bila kula utajua kwa Nini Yesu hapaswi kulinganishwa na wewe au mimi
 
Naomba Kujua kwa Nini Yesu Hakuoa.
Pia Kuna mtu naitwa Nicole Tesla( Genius) Pia nae Hakuoa.
Je kwa Nini Yesu Hakuoa.
 
Chunguza kwa makini kuwa Mary Magdalena alikuwa nani kwa Yesu. Kwa kuwa alikuwa Mungu na binadamu, alitumia ubinadamu katika mahusiano na Magdalena.
 
Ukisema si sahihi yesu kulinganishwa na wanadamu basi yale yote aliyofundisha hayana maana kwa wanadamu
 
Alikuwa anatoa mfano jinsi ya kuishi nao. Kama wewe ni binadam hauwezi cheka na hao viumbe ukabaki salama kwenye huduma. Wananyonya nguvu ya Mungu zaidi ya kupe
 
Hili ndilo fumbo la Imani 🙏
 
Kwa vile, bible haikutaja wanafunzi wa kike,haina maana hawakuwepo, vile vile ukumbuke Yesu alizaliwa katika utamaduni wa wayahudi, ilibidi aziishi Mira za kabila Hilo, kuna Mambo yaliyoandikwa kwenye ambayo sio ya kumara maana ni tamaduni za wayahudi sio maagizo ya kiroho,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…