Kwanini zama hizi wanawake wengi hawapendi uke wenza?

You must be a carrier, it's not a joke
 
Haa haa aiseee uliwah kuuzaga nn mkuu[emoji1] [emoji1]
 
Skuhiz wovu umewazd hawawez kuvumilia
 
But wako Radhi kuwa mume wa mtu au mchepuko hata wakiwa 3 mradi maisha yaende aisee na anajua kuwa anawapanga wanaume wa 3 acha tuwa gegede Tu mana kila mtu mchepuko Bae[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
.
 
Hata hao wa zamani sio kwamba walipenda ni mfumo wa maisha ulikua unawafanya wakubali tu....
Mi natamani pia polyandry ikubalike kisheria
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Wivu
 
Wabinafsi wachoyo kwa wenzao, wakati wanaume wenyewe wako wachache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…