Kwanini zama hizi wanawake wengi hawapendi uke wenza?

Kwanini zama hizi wanawake wengi hawapendi uke wenza?

Mwanaume mmoja hanitoshi aisee...

Nataka mmoja VERY HANDSOME and SEXY, huyu ndo nitatoka naye kwenye functions kuringishia.

Halafu nataka mwingine anayechekesha yani nikiboreka tu namfwata.

Halafu nataka mwingine mwenye dushe iliyoshiba sipendi ujinga kwenye starehe zangu

Halafu nataka mwingine THINK TANK yani very intelligent huyu ndo ntamshirikisha mipango yangu.

Subiri nitafute pesa lazima niweke wote ndani.




SASa tunaposema dushe kubwa ni muhimu huwa mnapinga,,ona sasa mnavyofunguka,,namshukuru mungu kwa kunipa muhogo mkubwa,,nafaidi sana nyuchi za wamama,,,,,unaingiza kabla hata sijaingiza nusu kashatukana mmewe mara sita,,raha sana
 
Me nionavyo niugumu wamaisha naugumu wamaisha unatokana nahali sasahivi kila mtu anapenda vitu vizur kuanzia makaz, usafiri, mavaz, navyote hivyo vinahitaji pesa kwahiyo wanawake hawataki katika ndoa wawe zaidi yammoja ili mumewe asiwe namzigo mkubwa. Inapotokea mume akawa nabi mdogo inabidi kipato chake akigawe mara mbili ila angekuwa mke mmoja yawezekana hicho kipato kingeweza kukidhi haja zafamilia kama vile kusomesha watoto shule nzur. Kwahiyo sisi wanaume tusiwaze kuwa wanawake wanatukatalia kuwa nabimdogo kwasababu yawivu wakimapenzi la hasha wanatuonea huruma kwamizigo tunayojibebesha ndio maana huwa wakali kwa inshu kama hizo.
 
Maadili,huu umagharibi umeleta mengi,mwanake nae leo ni superior,bibi zetu waliaminikuwa mila,desturi hazipingwi so mwanaume ni last say hakuna wa kumpinga,na walikuwa comfortable tuu hawakuona kamakuna kitu wanakosa,hawawa leo wamevamia kichwa kichwa culture za watu,wanaamin kuwa wao na wanaume hawana tofauti,ndio maana kwa kuamin kuwa lolote analoweza kufanya mwanaume hata mwanamke anaweza,ndo maana leo kumkuta fundi ujenzi mdada ni kawaida tuu,matokeo hukohuko anaishia kuzalishwa watoto tu wasio na baba
Mwanamke wa leo ukitaka kumfukuza ndani kwako we oa mke mwingine tuu,atasepa awaachie nyumba
Thats why there is evolution including `-mind` evolution!
 
Uzoefu wangu ni kuwa mwanamke mmoja tu huwa mpaka najihisi nguvu zimepungua, lakini nikienda kwa mwingine najikuta nafanya vema sana NGUVU ZOTE ZINAKUWEPO. Kwa hilo ndio asili ya mwanaume nadhani, yaani kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ni must, haijalishi anaitwa mke, girl friend au hawala, cha msingi ni several papuchiizi. Najua utandawazi nao umewafanya baadhi wanawake kuiga au kufanya kukomoa kwa kuhitaji several dushezi, lakini cha kuiga hakiwezi fikia cha asili. Naamini, na nilisoma gazeti moja hivi karibuni lililotoa utafiti kuwa ni asilimia kubwa sana ya wanaume wana michepuko ukifananisha na wanawake. Hivyo nyie endeleeni kudai haki sawa kwa kutuzuia kuoa wake wengi kisheria lakini hiyo haituzuii kupata several papuchiizi.
Kwahiyo haki sawa wewe unaitafsiri ktk uzinzi, kuna shida Afrika.
 
Mapenzi bwana yana asili ya ubinafsi asikuambie mtu!

hata wale wanaodate na waume za watu sio kama hawaumii wakiona Mr &Mrs wako pamoja..

Wanaumia sana ndo maana saa ingine unakuta mchepuko,unaanza kumfanyia vurugu mke mkubwa au kutaka kujimilikisha yy mume wa mtu!.
Lakn sijajua kuna siri gani kwa mke Wa mtu maana anakuwa mtamu zaidi ya hata uliyenaye ndani au hata kuliko mchepuko ambao sio mke Wa mtu.

Na mazingira ambayo yanakuwa matamu zaidi ni kwenye gari na nyumban kwa Mme Wa mwanamke japo hayo mazingira ni hatar zaidi
 
Mkiwa wengi uaminifu ni mdogo
Lakini pia jaribu kuona mngekuwa wanaume wengi wanawake wachache ungekubali muwe wanaume 2 kwa binti mmoja unayemzimia sanaaaa moyoni
Tatzo wanawake Wa sasa mnadanganywa na hivyo vyama vya haki za wanawake..

Tangu enzi na enzi mpaka kwenye maandiko mwanaume ni halali kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja..

Hata kwako huwezi kufuga kuku matetea 20 na majogoo 20 au majogoo25 hapo utafuga tetea 20 na jogoo2 tu hujiulizi ni kwann?
 
Lakn sijajua kuna siri gani kwa mke Wa mtu maana anakuwa mtamu zaidi ya hata uliyenaye ndani au hata kuliko mchepuko ambao sio mke Wa mtu.

Na mazingira ambayo yanakuwa matamu zaidi ni kwenye gari na nyumban kwa Mme Wa mwanamke japo hayo mazingira ni hatar zaidi
Ni fikra tu, ukiendekexa fikra zako hivyo unavyo amini then itakuwa hivyo japo hakuna proof kwamba this is reality..
 
Tatzo wanawake Wa sasa mnadanganywa na hivyo vyama vya haki za wanawake..

Tangu enzi na enzi mpaka kwenye maandiko mwanaume ni halali kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja..

Hata kwako huwezi kufuga kuku matetea 20 na majogoo 20 au majogoo25 hapo utafuga tetea 20 na jogoo2 tu hujiulizi ni kwann?
Kwahiyo kuku na binadam tuko class moja?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mwanaume mmoja hanitoshi aisee...

Nataka mmoja VERY HANDSOME and SEXY, huyu ndo nitatoka naye kwenye functions kuringishia.

Halafu nataka mwingine anayechekesha yani nikiboreka tu namfwata.

Halafu nataka mwingine mwenye dushe iliyoshiba sipendi ujinga kwenye starehe zangu

Halafu nataka mwingine THINK TANK yani very intelligent huyu ndo ntamshirikisha mipango yangu.

Subiri nitafute pesa lazima niweke wote ndani.
Washukuru sana wazazi wako kwa kukupa elimu kama hyo juu ya ndoa na mahusiano
 
Hata hao wa zamani sio kwamba walipenda ni mfumo wa maisha ulikua unawafanya wakubali tu....
Mi natamani pia polyandry ikubalike kisheria
Unafikir ikiruhusiwa kisheria ndio ndoa zitatulia?

Hapo tegemea majanga zaidi ya haya
 
Hawa wanachekeshaga sana kujifananisha na wanaume wa zamani, wakati hawawafikii hata robo....
Enzi hizo men were men buana siku hizi wengi ni visokolokwinyo tu vinavokojoa vimesimama basi vinajikuta vimwanume (men with no balls)
Mmmh unataka kuharibu hii thread.. Ni nzuri ujue
 
Mwanaume mmoja hanitoshi aisee...

Nataka mmoja VERY HANDSOME and SEXY, huyu ndo nitatoka naye kwenye functions kuringishia.

Halafu nataka mwingine anayechekesha yani nikiboreka tu namfwata.

Halafu nataka mwingine mwenye dushe iliyoshiba sipendi ujinga kwenye starehe zangu

Halafu nataka mwingine THINK TANK yani very intelligent huyu ndo ntamshirikisha mipango yangu.

Subiri nitafute pesa lazima niweke wote ndani.
Yan mm na ww ni mapacha[emoji130]
 
Kwahiyo kuku na binadam tuko class moja?
Nmetolea mfano tu mkuu..
Hata ktk uhalisia Wa binadamu mwanaume anauwezo Wa kufanya mapenzi mfululizo kwa siku 07 na akafurahia na kumridhisha mwanamke lakn je mwanamke anaweza kufuluriza? Na akafurahia ?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Hawa wanachekeshaga sana kujifananisha na wanaume wa zamani, wakati hawawafikii hata robo....
Enzi hizo men were men buana siku hizi wengi ni visokolokwinyo tu vinavokojoa vimesimama basi vinajikuta vimwanume (men with no balls)


Nani alikuambia culture is static?
Basi si muoe hao bibi zenu.

😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom