Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
God forbid!Hata hao wa zamani sio kwamba walipenda ni mfumo wa maisha ulikua unawafanya wakubali tu....
Mi natamani pia polyandry ikubalike kisheria
Hivi unajua Mungu ni mwanume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
God forbid!Hata hao wa zamani sio kwamba walipenda ni mfumo wa maisha ulikua unawafanya wakubali tu....
Mi natamani pia polyandry ikubalike kisheria
Fresh tu ilmradi tushafaidi viraha raha vya hii Duniamnatafuta ya sodoma na gomora ee?
Anza wewe, mimi namaliza.twende mpenzi ukaoge!
nisipokuchosha ww...
nimchoshe nani sasa?
Hata kama sio kisheria buana tutafanya tu.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haitokaa iwepo hiyoo mpenzi wangu!
Usijali lady's first!!Anza wewe, mimi namaliza.
Nakusalimu Katika jina la bwanaGod forbid!
Hivi unajua Mungu ni mwanume?
ndo kwenye kufanya huko hakutakuwepo...Hata kama sio kisheria buana tutafanya tu.....
Kumyimana raha tu chini ya hili jua
Amina mpendwa. Hebu njoo huku mlimani nikufanyie sala ya toba...Nakusalimu Katika jina la bwana
Utafanyaje?uzao wako je?
Huko watu watasikia nikiwa natubu, njoo nyumbani kwanguAmina mpendwa. Hebu njoo huku mlimani nikufanyie sala ya toba...
Usisahau sadaka
Mie sijali hayo majinando kwenye kufanya huko hakutakuwepo...
tutitwa majina yote mabovuu!
Wa tano UKIMWIMwanaume mmoja hanitoshi aisee...
Nataka mmoja VERY HANDSOME and SEXY, huyu ndo nitatoka naye kwenye functions kuringishia.
Halafu nataka mwingine anayechekesha yani nikiboreka tu namfwata.
Halafu nataka mwingine mwenye dushe iliyoshiba sipendi ujinga kwenye starehe zangu
Halafu nataka mwingine THINK TANK yani very intelligent huyu ndo ntamshirikisha mipango yangu.
Subiri nitafute pesa lazima niweke wote ndani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie sijali hayo majina
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mwanaume mmoja hanitoshi aisee...
Nataka mmoja VERY HANDSOME and SEXY, huyu ndo nitatoka naye kwenye functions kuringishia.
Halafu nataka mwingine anayechekesha yani nikiboreka tu namfwata.
Halafu nataka mwingine mwenye dushe iliyoshiba sipendi ujinga kwenye starehe zangu
Halafu nataka mwingine THINK TANK yani very intelligent huyu ndo ntamshirikisha mipango yangu.
Subiri nitafute pesa lazima niweke wote ndani.
Ushawahi kuona mtu ana nunua jogoo 3 halafu jike mmoja?Hata hao wa zamani sio kwamba walipenda ni mfumo wa maisha ulikua unawafanya wakubali tu....
Mi natamani pia polyandry ikubalike kisheria
Sio lazma kununua jogoo tatu, nitanunua jike mmoja majogoo matatu atayakuta home 😀Ushawahi kuona mtu ana nunua jogoo 3 halafu jike mmoja?
Nature ndio ilivyo jike 3 jogoo 1