Kwanini zama hizi wanawake wengi hawapendi uke wenza?

Kwanini zama hizi wanawake wengi hawapendi uke wenza?

Mwanaume mmoja hanitoshi aisee...

Nataka mmoja VERY HANDSOME and SEXY, huyu ndo nitatoka naye kwenye functions kuringishia.

Halafu nataka mwingine anayechekesha yani nikiboreka tu namfwata.

Halafu nataka mwingine mwenye dushe iliyoshiba sipendi ujinga kwenye starehe zangu

Halafu nataka mwingine THINK TANK yani very intelligent huyu ndo ntamshirikisha mipango yangu.

Subiri nitafute pesa lazima niweke wote ndani.
We mwanamke komesha[emoji1]
 
Mkiwa wengi uaminifu ni mdogo
Lakini pia jaribu kuona mngekuwa wanaume wengi wanawake wachache ungekubali muwe wanaume 2 kwa binti mmoja unayemzimia sanaaaa moyoni
Ni raha......mbona kuna wanaume wanaishi hivyo.........wanatupia demu m'moja na wala hawamind inshu yeyote......
 
Maadili,huu umagharibi umeleta mengi,mwanake nae leo ni superior,bibi zetu waliaminikuwa mila,desturi hazipingwi so mwanaume ni last say hakuna wa kumpinga,na walikuwa comfortable tuu hawakuona kamakuna kitu wanakosa,hawawa leo wamevamia kichwa kichwa culture za watu,wanaamin kuwa wao na wanaume hawana tofauti,ndio maana kwa kuamin kuwa lolote analoweza kufanya mwanaume hata mwanamke anaweza,ndo maana leo kumkuta fundi ujenzi mdada ni kawaida tuu,matokeo hukohuko anaishia kuzalishwa watoto tu wasio na baba
Mwanamke wa leo ukitaka kumfukuza ndani kwako we oa mke mwingine tuu,atasepa awaachie nyumba
 
Labda kwa sababu ya lile tatizo la "nguvu za naniliu" mwanamke anaona akishea kile kidogo kinachopatikana haridhiki.
 
Bwana eee kwanza wanaume wenyewe wa karne hii... hamjiwezi kwa lolote si kitandani wala kiuchuumi afu bado utake mke zaidi ya mmoja chaaaaa!! Ifike mahala mjionee huruma wenyew
Uzoefu wangu ni kuwa mwanamke mmoja tu huwa mpaka najihisi nguvu zimepungua, lakini nikienda kwa mwingine najikuta nafanya vema sana NGUVU ZOTE ZINAKUWEPO. Kwa hilo ndio asili ya mwanaume nadhani, yaani kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ni must, haijalishi anaitwa mke, girl friend au hawala, cha msingi ni several papuchiizi. Najua utandawazi nao umewafanya baadhi wanawake kuiga au kufanya kukomoa kwa kuhitaji several dushezi, lakini cha kuiga hakiwezi fikia cha asili. Naamini, na nilisoma gazeti moja hivi karibuni lililotoa utafiti kuwa ni asilimia kubwa sana ya wanaume wana michepuko ukifananisha na wanawake. Hivyo nyie endeleeni kudai haki sawa kwa kutuzuia kuoa wake wengi kisheria lakini hiyo haituzuii kupata several papuchiizi.
 
Sidhani kama wanawake wa zamani walikua wanapenda ku share sema tu walikua wanajikaza kisabuni kuliko wa sasa hivi; refer story ya Ibrahimu wa kwenye Biblia na Sarah mkewe, nini kilitokea baada ya Ibrahimu kumpa mimba house girl wao? Tena kwa ruksa ya huyo huyo mkewe, but mama alikua mbogo balaa; waangalie pia wake za Yakobo (tena hawa walikua ndugu wa damu kabisa) Kuna sehemu Leah (mke mkubwa ambaye alikua na uzazi) anamwambia Rachel, "Ulininyang'anya mume wangu" so sio kweli eti wanawake wa zamani walipenda uke wenza, Big NO. Utandawazi umewafanya wanawake wa sasa ku express their feelings tofauti na zamani; mapenzi hayana ku share kaka.
 
Mwanamke anakataa ukewenza halafu anatembea na mume wa mtu..sasa kuna tofauti gani!!
 
zamani gani inayozungumzwa mbona hapa mjini watu tumepangia vidosho vyetu vingi tu?wife huduma anapata na kimchuchu changu cha nje nakipa kitu roho inapenda,na humu najua wengi ni wake wenza tatizo ni kutokua officiall tu.
 
HATA WALE WA KIISLAMU HAWATAKII??
hahaah nilikuwa na mahusiano na mtu wa dini tofauti, akanambia "yeye kubadili haiwezekani mimi ndo nitabadili" nikasema sawa maana huko tunaruhusiwa hadi wa 4 itakuwa vyema. hii kauli ilichochea kuachana nae.
 
Maadili,huu umagharibi umeleta mengi,mwanake nae leo ni superior,bibi zetu waliaminikuwa mila,desturi hazipingwi so mwanaume ni last say hakuna wa kumpinga,na walikuwa comfortable tuu hawakuona kamakuna kitu wanakosa,hawawa leo wamevamia kichwa kichwa culture za watu,wanaamin kuwa wao na wanaume hawana tofauti,ndio maana kwa kuamin kuwa lolote analoweza kufanya mwanaume hata mwanamke anaweza,ndo maana leo kumkuta fundi ujenzi mdada ni kawaida tuu,matokeo hukohuko anaishia kuzalishwa watoto tu wasio na baba
Mwanamke wa leo ukitaka kumfukuza ndani kwako we oa mke mwingine tuu,atasepa awaachie nyumba
Huyo mwanamke ukisha mzalisha watoto 3 ,ongeza mke hatoweza kuondoka kama hataki uke enza atabaki kulalamika tu ila hawezi kusepa ,
 
wameona kibo na mawenz hawafiki. mtu ana mke mmoja tu hamfiksh sembuse wawil
 
Hata hao wa zamani sio kwamba walipenda ni mfumo wa maisha ulikua unawafanya wakubali tu....
Mi natamani pia polyandry ikubalike kisheria
Hehehe polyandry ikikubalika jutakua na ngumi za Mike Tison ndani ya ndoa.
 
Maadili,huu umagharibi umeleta mengi,mwanake nae leo ni superior,bibi zetu waliaminikuwa mila,desturi hazipingwi so mwanaume ni last say hakuna wa kumpinga,na walikuwa comfortable tuu hawakuona kamakuna kitu wanakosa,hawawa leo wamevamia kichwa kichwa culture za watu,wanaamin kuwa wao na wanaume hawana tofauti,ndio maana kwa kuamin kuwa lolote analoweza kufanya mwanaume hata mwanamke anaweza,ndo maana leo kumkuta fundi ujenzi mdada ni kawaida tuu,matokeo hukohuko anaishia kuzalishwa watoto tu wasio na baba
Mwanamke wa leo ukitaka kumfukuza ndani kwako we oa mke mwingine tuu,atasepa awaachie nyumba
Nani alikuambia culture is static?
Basi si muoe hao bibi zenu.
 
Back
Top Bottom