Kwanini Zanzibar haipewi uhuru wake toka kwa Watanganyika?

Waache kuwaweka kwenye vichwa kwenye sufuria mkiwa watoto ona mnavyokuwa na akili mbovu na tabia mbovu kama walio walea
Mngeseer wewe mimi ni mnyakyusa wa Matema Kyela mjukuu wa askofu mkuu wa Moravian taifa.... chooookoooorstyykeer weee...

Chuki ni ushetaaanii

#Karibu Komoni ya mwanaume hapa ubanda wa Mama Lily Sondombwa Majohe[emoji120]
 
Zenjibar mbona ipo huru sana.

Tanganyika ndio koloni lisilo na mmiliki.
 
Comment bora kabisa [emoji2956][emoji123][emoji120][emoji7]

Mazombie hawatakuelewa mkuu[emoji120]
 
Ni kupoteza muda na kujiumiza Bure kujadili kitu abstract! Muungano huu ni wa Chuma na hauvunjiki for now. Hakuna upenyo hata mmoja! Na nchi inaitwa Tanzania, kuvunja muungano Ina maana kuunda nchi mbili mpya na hiyo ni ndoto! Kwanza jina Tanganyika hatulitaki Lina maana ya kiboya!

Kufa muungano ni natural process na wakati wake ukifika itatokea, probably 100 years to come. Until all factors become constant! Mutual agreement and feelings! Hilo sio Leo!

Kwa Sasa Kila mtu awe bize kulima Cha kwake, zenji kina yakhe walime karafuu sie tulime maparachichi yetu!
 
Uhuru wao walipata 1963....

Visiwani hawaishi watu...walihamia wandengereko ,wamakonde ,wanyamwezi na wengineo....

Zanzibar si ya waarabu... wakadai UHURU wao Oman huko....

#Siempre Karume[emoji120]
Kwani hao uliowataja sio watu?
 
Kwanza hata chakula tunawalimia bora huo muungano ufe
Kwenye hili huenda umejisahau au hujui kinachoendelea ila unasikia ya vijiweni. Bahati mbaya sana. Iko hivi: Chakula kinacholimwa TANGNYIKA kinauzwa Zanzibar na wala hakitolewi bure wala hakitolewi kama sadaka.

Kwa lugha rahisi, Zanzibar ni soko kwa wakulima wa Tanganyika. Siku Wazanzibari wakisema hawnunui chakula cha Tanganyika, na hilo linawezekana, Tanganyika itakuwa imekosa soko muhimu kwa bidhaa zake.

Chukua hiyo itakusaidia.
 
Kama ni hivyo kwanini hamunyamazi badala yake mnaisakama Zanzibar? Naelewa kinachosumbua ni udini na ukabila. Waswahili huku kwetu husema "baniani m-baya kitu chake dawa". Sisi wengine tunaubiri kwa hamu huu muungano uvunjike ili hii fitina iondoke.
 
bora tusipewe tuendelee kujifaidia totoz za kibongo
 
Uhuru upi, wakati Zanzibar ni mkoa wa Tanzania...
 
Mngeseer wewe mimi ni mnyakyusa wa Matema Kyela mjukuu wa askofu mkuu wa Moravian taifa.... chooookoooorstyykeer weee...

Chuki ni ushetaaanii

#Karibu Komoni ya mwanaume hapa ubanda wa Mama Lily Sondombwa Majohe[emoji120]
Haya sasa nenda ukatukane kwenye kanisa la baba yako
 
Raisi pande zote ni wazenj na si tunasema rais akisema basi ni sheria. Muda wao huu wa kuchomoka. Sema hawezi sema maana akiuvunja naye amapoteza urais maaan atakuwa si.mtanganyika hawezi kutawala...
So, hawez risk

[emoji28][emoji28] mtego
 
Binafsi siwachukii wazanzibari wanaoupenda huu Muungano...

Nawachukia wanaotaka ufe...

Nawachukia hawa wabara wenzangu wanaoitaka TANGANYIKA mfu.....

Binafsi sina shida na muungano ila huu upuuzi wa serikali mbili ndio siutaki.
 
Hawahitaji tena uhuru ,njia ni moja tu ,Mtanganyika anautwaa Uraisi wa Tanzania baada ya miaka miwili au mitatu anapigwa kipapai na Wapemba .aafu Uraisi Unarudi kwa wa Zanzibar ,yaani sasa ni mapokezano ya aina yake hayapatikani popote pale duniani isipokuwa Tanzania.
Hakuna haja ya kupinduana ,wapemba hongereni kwa kugundua mgawanyo wa Uraisi wa Tanzania ,yakhe mlikuwa mnapiga makelele mnaonewa ila sasa ,kama kuonewa itakuwa ni wenyewe kwa wenyewe ,tumeona uwanja wa ndege wa Kimataifa unajengwa Pemba,kama Raisi angekuwa m'bongo .ingeuwa ndoto.
 
Umenena vyema! Chujki ni
Kaka umenena vyema, chuki ni kitu kibaya sana! Kuna watu humu hata hawajui kuwa takriban 50% ya wazanzibari ni Watanganyika sio tu kwa asili bali wana uhusiano wa moja kwa moja na ndugu zao huku, hususan maeneo ya pwani kama vile Bagamoyo, Mafya, Dsm Tanga,Lindi, Mtwara Kilwa pamoja na usukumani. Wanasiasa maarufu kama vile Edighnton kisasi (mwanamapinduzi) ni mchagga, Brigedia Adam Mwakanyuki(myakyusa)Mhe. Hassan Nassor Moyo(mwanamapinduzi) ni Myao. Balozi, Abraham Issac Sepetu baba yake na wema mnyamwezi, Mh. Mudric Soraga waziri wa uchumi wa Bluu (msukuma), mzee A.A Mwinyi (Mndengereko) Rashid Msaraka mkuu wa mkoa mjini maghrib (msukuma) Jaji Othman makungu (msukuma) Jaji Agostino Ramadhani, Omar Ramadhani Mapuri( msukuma) n.k

Kuna watu pia wanaamini kuwa Wahindi wote, Waarabu wote, wasomali na waswahili wote wa DSM (wafanyabiashara) wote wa Kariakoo ni wazanzibari, Ndio maana utaskia 'tutawanyang'anya kila kitu'

Wengi wanaofikiria hivi ni wale ambao hawana siku nyingi mjini! au wamekuja kwa mbio za mwenge! ndio wale ambao wakiona nyumba za wahindi zilizotaifihswa 1967 na kuandikwa NHC kwenye miji yetu ya tanzania wanasema 'mwalimu nyerere alipata tabu sana kuzijenga hizi!.... tuwasamehe tu hawajui walitendalo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…