Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Mngeseer wewe mimi ni mnyakyusa wa Matema Kyela mjukuu wa askofu mkuu wa Moravian taifa.... chooookoooorstyykeer weee...Waache kuwaweka kwenye vichwa kwenye sufuria mkiwa watoto ona mnavyokuwa na akili mbovu na tabia mbovu kama walio walea
Ugaidi huo...Bila kupigana kama Hamas na Israeli msitegemee kupatauhuru
Comment bora kabisa [emoji2956][emoji123][emoji120][emoji7]Mbona hili muheshimiwa Lukuzi aliliongelea.
Kwa sababu za kiusalama sio rahisi kwa Zanzibar kujitenga.
Kuna uwezekano mkubwa siasa kali zikaingia Zanzibar
na kusambaa huku bara kwa
urahisi sababu ya muingiliano wa pande zote 2 border ya bahari ikawa porous.
Vile vile hata wanzibar kama alivyosema Baba wa Taifa dhambi ya kujitenga itawatafuna nao pia na kujitenga Unguja na Pemba.
Usalama wa Tanzania unategemea sana muungano na Zanzibar, kumbuka eneo hili lina utajiri wa strategic na rale
minerals tunaweza kufanywa kama Congo na Mali asili zetu zikachukulia kirahisi huku tunapigana sisi kwa sisi, war of all against all anarchism huku tunaporwa rasili mali zetu.
Nchini unaweza kuiona hiko imara lakini ikavurugika muda mfupi sana Mwanafalsafa Edmund Burke underpinned kuwa society au country inaundwa na fabrics ambalo ni very delicate once likichezewa vibaya kidogo linakatika katika kuliunganisha tena haiwezekani.
Angalia nchi ya Somalia dini moja lakini imesambaratika sana sababu ya hao separatists.
Kwani hao uliowataja sio watu?Uhuru wao walipata 1963....
Visiwani hawaishi watu...walihamia wandengereko ,wamakonde ,wanyamwezi na wengineo....
Zanzibar si ya waarabu... wakadai UHURU wao Oman huko....
#Siempre Karume[emoji120]
[emoji16][emoji16][emoji16] ndio hivyoDah Hapa ndo ulipofikia Mawazo yako So sad sana kwa nchi kupoteza kizazi alichokuwa anafikiria Baa wa taifa kizazi kisichokuwa na ugonjwa ,Ujinga na umaskini...
Kwenye hili huenda umejisahau au hujui kinachoendelea ila unasikia ya vijiweni. Bahati mbaya sana. Iko hivi: Chakula kinacholimwa TANGNYIKA kinauzwa Zanzibar na wala hakitolewi bure wala hakitolewi kama sadaka.Kwanza hata chakula tunawalimia bora huo muungano ufe
Kama ni hivyo kwanini hamunyamazi badala yake mnaisakama Zanzibar? Naelewa kinachosumbua ni udini na ukabila. Waswahili huku kwetu husema "baniani m-baya kitu chake dawa". Sisi wengine tunaubiri kwa hamu huu muungano uvunjike ili hii fitina iondoke.Usalama wa Tanzania unategemea sana muungano na Zanzibar, kumbuka eneo hili lina utajiri wa strategic na rale
minerals tunaweza kufanywa kama Congo na Mali asili zetu zikachukulia kirahisi huku tunapigana sisi kwa sisi, war of all against all anarchism huku tunaporwa rasili mali zetu.
Haya sasa nenda ukatukane kwenye kanisa la baba yakoMngeseer wewe mimi ni mnyakyusa wa Matema Kyela mjukuu wa askofu mkuu wa Moravian taifa.... chooookoooorstyykeer weee...
Chuki ni ushetaaanii
#Karibu Komoni ya mwanaume hapa ubanda wa Mama Lily Sondombwa Majohe[emoji120]
Shida wanategemea budget 90% kutoka barawajitetee kama hamas, waarabu wenzao wa iran na dubai watawaunga mkono
Awasaidie kuvunja muunganomwulize sa100. yeye ni mzanzibar pia.
Raisi pande zote ni wazenj na si tunasema rais akisema basi ni sheria. Muda wao huu wa kuchomoka. Sema hawezi sema maana akiuvunja naye amapoteza urais maaan atakuwa si.mtanganyika hawezi kutawala...
So, hawez risk
Binafsi siwachukii wazanzibari wanaoupenda huu Muungano...
Nawachukia wanaotaka ufe...
Nawachukia hawa wabara wenzangu wanaoitaka TANGANYIKA mfu.....
Umenena vyema! Chujki niKuna Watanganyika kama wamepagawa na chuki Kwa wazanzibar...Hadi wanasahau kuchelewa kuuvunja huu muungano faida watapata wazenji.
Uraia Pacha na kuruhusu wageni kumiliki ardhi in the end zitawapa wazanzibar haki ya kumiliki ardhi bila ulazima wa muungano
Kaka umenena vyema, chuki ni kitu kibaya sana! Kuna watu humu hata hawajui kuwa takriban 50% ya wazanzibari ni Watanganyika sio tu kwa asili bali wana uhusiano wa moja kwa moja na ndugu zao huku, hususan maeneo ya pwani kama vile Bagamoyo, Mafya, Dsm Tanga,Lindi, Mtwara Kilwa pamoja na usukumani. Wanasiasa maarufu kama vile Edighnton kisasi (mwanamapinduzi) ni mchagga, Brigedia Adam Mwakanyuki(myakyusa)Mhe. Hassan Nassor Moyo(mwanamapinduzi) ni Myao. Balozi, Abraham Issac Sepetu baba yake na wema mnyamwezi, Mh. Mudric Soraga waziri wa uchumi wa Bluu (msukuma), mzee A.A Mwinyi (Mndengereko) Rashid Msaraka mkuu wa mkoa mjini maghrib (msukuma) Jaji Othman makungu (msukuma) Jaji Agostino Ramadhani, Omar Ramadhani Mapuri( msukuma) n.kKuna Watanganyika kama wamepagawa na chuki Kwa wazanzibar...Hadi wanasahau kuchelewa kuuvunja huu muungano faida watapata wazenji.
Uraia Pacha na kuruhusu wageni kumiliki ardhi in the end zitawapa wazanzibar haki ya kumiliki ardhi bila ulazima wa muungano