Kwanini Zelensky analaumiwa kwa kuzuia uvamizi wa Putin

Suala la zelensky kuiingiza Ukraine kwnyw machafuko lilikua suala la muda TU tangu zelensky kipind hicho hajawa hata raisi.

Kwa taarifa yako, zelensky alishakua agent wa CIA tangu kipind anasoma mpk Anafanya uchekeshaji Kisha kuingia Kwny siasa.

Zelensky ndo Alikua kiongozi wa mapinduzi ya 2014 kule Ukraine kwa kivuli Cha USA, kuingoa serikali pro Russia ya raisi aliyekua madarakani.

Lengo la zelensky kua raisi, Ni maksudi alisukwa ili aje kutumika kuiangusha russia.

Ndo maana baada ya zelensky kua raisi zikaanza reforms MBALIMBALI pale Ukraine na kulijengea uwezo mkubwa jeshi la Ukraine na kwa Kasi Sana ili lije kupambana na jeshi la Russia endapo wataingia vitani.

Kabla ya uvamizi, ulaya nzima hakuna jeshi lililkua na uwezo mkubwa was kijeshi kuzidi au hata kulingana na Ukraine.


Ujue hata Waukraine wenyewe walishapiga Sana kelele zelensky asiwe raisi wa nchi ila wakapuuzwa, ubabe ubabe wa USA na demokrasia ya mchongo akajikuta keshakua raisi[emoji4]

Soma Hii tweet hapa Chini wizara ya ulinzi inalalamika Miaka hiyo[emoji116]
 
Swali Fikirishi , hivi Trump akishinda uchaguzi ujao , je hii vita itakoma au Itaendelea ?
Vita itaisha,
Trump alishaachana na siasa za Vita maana yeye mwnyw athari za Vita kiuchumi anazijua maana kajiwekeza Sana

Huyu kibabu Biden yeye kakulia jeshini na kwnyw siasa, anaishi kwa Kodi za wamarekani, atajua wapi athari za Vita kiuchumi.

Zaid ya kuchochea TU Moto watu waunguzane yeye anakula TU kwa Kodi[emoji4]
 
Swali Fikirishi , hivi Trump akishinda uchaguzi ujao , je hii vita itakoma au Itaendelea ?
Trump atataka kumaliza vita mapema sana na akishindwa kabisa vita itaendelea kwa nguvu zaidi kuliko sasa. Trump sio mtu wa uvuguguvu, ni ama moto ama baridi.
Kumbuka Marekani haiendeshwi na sera za mtu binafsi bali chama na nchi ila mara nyingi Republicans hawapendi vita na Democrats hawaoni shida kwenda vitani, mara nyingi Rep wakiingia vitani ujue hiyo ni vita ya lazima na itakuwa kubwa
 
Umeniacha mdomo wazi. Nilipoona maelezo mengi nikajua unajibu maswali niliyouliza. Kumbe uliyoandika ni nje ya mada hii (Out of the context for this post). Imebidi nirudi kwenye maswali lakini sikuona swali ulilojibu.

Any way umesema kuwa Putin/Russia hajawahi kulalamika kuwa vita ina refushwa badala yake USA ndo analalamika. Unafuatilia kweli hotuba za Putin, Medvedev, Lavrov na msemaji wa Kremlin?

Juzi tu hapa baada ya Biden kutangaza kuruhusu F-16 kupelekwa Ukraine. Ni kweli hujamsikia Lavrov ña Medvedev. Anyway ngoja tukuache kama ulivyo.
 
Hii tweet pale Twitter ipo mpaka sasa?
 
Duuh ee bwana eeeh.
Mimi naomba ufafanuzi hapo juu.

Kwamba Ukraine alipoanza kufanya reforms za kijeshi nchini kwake ilikuwa na athari gani kwa Russia?

Umesema kabla ya Uvamizi ukraine ilikuwa na jeshi kubwa Ulaya nzima. Jeshi kubwa kwa mantiki ipi? Personel au Vifaa? Na hizo data ni kulingana na source ipi?
 
Mkuu sijui kama kuna mwenye majibu,hata putin mwenyewe majibu hana.
Putin alijidanganya kwa kuzdhani Zele ni muigizaji tuu na hakuna mtu wa kumsaidia.

Alisahau kwamba wapinzani wake wa tangu vita baridi hawawezi kumtazama tuu akiendelea kujitanua wakamchekea.Kitendo cha kumchekea putin ataendelea kuvivamia vinchi vyote vidogo karibu yake na kuunda upya urusi iliyosambaratika,na akifanikiwa marekani na washirika wake watakuwa hatarini.
 
Subiri majihadinisti waje utaoga matusi
 
Zelensky analaumiwa kwa kukubali kufanywa mjinga/mpumbavu na USA
 
Iyo Vita nimatokeo ya siasa baina ya mataifa mawili yenye nguvu za kivita duniani Kati ya urusi na USA. Tukumbuke tokea anguko la umoja wa kisovienti sisa za dunia zilikua na mlengo mmoja . Yaani USA na washirika wake EU kwa kimvuli Cha Uhuru na haki yaki demokrasia ili kulinda maslai yao hasa hasa ya kiuchumi na kisiasa duniani Kama ilivyo kua enzi za Vita baridi( ubepari na ukomonisti) tulishuudia dola nyingi kuangushwa na Vita vingi kupiganwa dunia nzima ( Cuba conflict, Korean war, Vietnam war... etc) ambapo ubepali ulishinda nakua kitovu Cha dunia kupitia USA.
Mashirika Kama UN , word bank , IMF ambao Yana makao yake makuu ni USA na yanatumia USA dollar kufanya malipo na mikopa yameendelea kumiliki siasa na uchumi wa dunia, hivyo mataifa yalio jaribu hivi kalibuni kukiuka mlengo huo wa siasa za dunia Kama libia , Iraq yalipata kichapo kwa kisingizio Cha ukiukaji wa haki za binadamu na demokrasia.
Urusi, china , Cuba , north Korea na baadhi ya inchi nyingi zilitumia diplomasia ya juu kuishi siasa za kikomonist na ubepali ama siasa zisizo fungamana na upande wowote kukwepa mkono wa chuma wa malekani ata sisi Tanzania ambao tuna siasa za ujamaa.
Itoshe kusema urusi kupitia Putin amekwepa mkono wa chuma wa USA ( maraisi wa tano) kujijenga kiuchumi na kujidhatiti kijeshi uku akijua wazi kabisa itafika mahala wata mshitukia na hatima yake ingelikua Kama Iraq au kwa gadafi asinge jizatiti hasa katika nguvu za kijeshi.
Maoni yangu. Ningekua zelesky ningeamua kuto ambatana na upande wowote baina ya wahasimu hao wawili wa tokea enzi za Vita baridi . Ili kuepuka kadhia za Vita zisizo isha kwenye aridhi ya wa Ukraine. Matokeo yake kuegemea upande mmoja kwa kimvuli Cha demokrasia aridhi ya waukraine imekua test ground ya fourth generation weapons Mara hypersonic , Mara air defense Mara armored vehicles na takataka nyingi na kuacha inchi magofu
 
Swali Fikirishi , hivi Trump akishinda uchaguzi ujao , je hii vita itakoma au Itaendelea ?
Mi sio mtu ambaye nipo deep kwenye haya maswala ya vita lakini kuamini maneno ya Trump kuwa ataimaliza vita ndani ya masaa 24 ni uongo na siasa tu.

Angalia tu katika ahadi zake.

Trump aliwahi kuahidi kumpa Kim Jong Un CD ya Elton John "Rocket Man" kwa lengo la kumfanya Kim asitishe kurusha makombora yake kwenye bahari ya japani.

Badala yake Kim ndio akatoa onyo kwa Trump akikataza jeshi la Marekani kufanya mazoezi ya pamoja na South Korea. Na Kiduku akaendelea kurusha maroketi yake kama kawaida.

Trump alisema atajenga ukuta kutenganisha na Mexico, na alisema Mexico watalipia. Mwisho wa siku Mexico ilimpuuza Trump na ukuta ulibidi ujengwe kwa kodi za wananchi wa US.

Sasa ndio uweke mategemeo kwa Trump kwenye jambo zito kama hili?
 
Kwa hilo sikubakiani na nyinyi labda kama mnamuongelea the black Trump.

Ila huyu nayemjua mimi, hapana kwakweli sio wa kumuwekea matumaini kwenye ahadi zake, huko nyuma kashindwa kutekeleza ahadi nyingi tena zile ambazo zilionekana ni simple.

Hata we mwenyewe ukianza tu kufikiria kwenye huo mchakato wa kusitisha vita ambao Trump atatumia, kipi ambacho unakiona unahisi ingekuwa first move ya Trump katika kusitisha vita?

1. Atamuita raisi wa Ukraine na kumshauri ajisalimishe na kuruhusu Russia wachukue wanachokitaka?

Zelensky si atampuuza tu kama alivyofanya raisi wa Mexico?

2. Ataongea na Congress kuwa US haitaendelea kuisapoti Ukraine? Ataziambia na nchi za Ulaya kuwa US haitatoa msaasa wowote kwa Ukraine? (Hii itafanya kazi labda kama unafikiri Congress na Europe ni watumishi wa Trump na hivyo wanapaswa kufanya anachokisema)
 
Kwani kipindi Urusi alipoivamia Ukraine na kuichukua Crimea mbona Zelesky hakuwepo madarakani kipindi Urusi anawasaidia waasi wa luhask na Donesk wajitengee Ukraine mbona Zelesky hakuwepo madarakani mimi naona Urusi anatumia propaganda kuhalalisha Uvamizi wake nchini Ukraine aonekane mwema na amechokozwa na nyie wanafiki mnapeleka lawama kwa mwathiriwa na kumtetea mchokozi na mvamizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…