Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Waalimu kinawauma nini mtoto mwenye mimba akirudi shule? Kuna sehemu inawawasha? Piganieni maslahi yenu, acheni akili za kikoloni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitaje tu. Mimi sizijui. Usisahau kutaja na za ulaya. Usisahau na zinazofukuza shule wanafunzi wanaopata uja uzito. Muongo njia yake fupi.Usipende kutajiwa ulie zoea school feeding.
kaangalie states za Marekani ngapi zinaruhusu fimbo.
Nadhani HURUMA si kwa walimu pekee, ila kwa familia na jamii yote ya watanzania!Nyie wanasiasa waoneeni huruma hao walimu mnao wakabidhi watoto wa aina hiyo
Mama samia unanasa kwenye mitego inayo haribu taifa kimaadili na kwa vile umenasa kwenye hayo basi la ushoga lipo njiani
Wazo la kwanza kuwawekea mfumo wao lilikuwa zuri sana lakini hili la kuwachanganya na wanafunzi wengine katika mfumo rasmi hapana
Nitajieni ni nchi gani ulaya na Amerika ambayo inatumia mfumo huu unao letwa tanzania.
Nadhani sasa tume halalisha mapenzi shuleni nadhani sheria za shule zirekebishwe swala la mapenzi na mimba lisiwe kosa tena si kwa mabint si kwa vijana.
Marekani wana pregnat test kwa wanafunzi na canada pia sina hakika Australia huko sijuiNitajie nchi moja Ulaya au Marekani au Australia au Canada ambako mwanafunzi anachapwa, anapimwa mimba na akipata mimba anafukuzwa shule. Nitajie hata nusu nchi. Hata robo nchi.
Amandla....
InawezekanaTuwaonee huruma walimu????? Watoto wengi hupewa mimba na walimu
NgawethuNitajie nchi moja Ulaya au Marekani au Australia au Canada ambako mwanafunzi anachapwa, anapimwa mimba na akipata mimba anafukuzwa shule. Nitajie hata nusu nchi. Hata robo nchi.
Amandla....
Unapo onesha ujinga zaid ni pale unapo fananisha mwanafunzi wa nchi za dunia ya kwanza na mwanafunzi wa dunia tatu huko anaye enda shule na kidumu cha maji na ufagio hana hata viatuJiulize ni nchi yako tu yenye walimu?!
Walimu wa nchi zingine wanafanyaje?! Au watoto wa huko kote hawana nidhamu ila wetu tu?!
Mfano: Japan labda…
Nadhani nidhamu kwa hapa Tanzania ina maana tofauti na ile iliyozoeleka. Unahisi tumewazidi nidhani mataifa ya Ulaya?! Ufisadi, Rushwa, Wizi, Mauaji, Matusi, Ukosefu Wa Heshima nk.
Yote hayo yanafanywa na nani kama sio hao tuliowachapa mashuleni?! Viboko sio solution la kurekebisha nidhani wala maadili vinaleta usugu yu kwa muadhibiwa.
Kama wewe ni mkristo na unaamini biblia kama kitabu kitakatifu toka kwa mungu basi rejea tena maandiko.Kuchapa viboko sio njia sahihi ya kumjenga mtoto, mtoto ajengwi kwa adhabu hata kidogo.. Wale walio kulia kwenye misingi hiyo ndio hao mnawaona madarakani
Wanawafukuza watoto wakigundulika na mimba? Na ni States zipi zina compulsory pregnancy tests katika public schools?Marekani wana pregnat test kwa wanafunzi na canada pia sina hakika Australia huko sijui
Inawezekana
Biblia imeongea kwa picha nyingi sana, na sio kila andiko ni lako na si kila andiko lipo kwa ajiri ya sehemu flani. Neno linabaki kuwa haiKama wewe ni mkristo na unaamini biblia kama kitabu kitakatifu toka kwa mungu basi rejea tena maandiko.
Kuna wakati kiboko lazima kitumike na hiyo ipo kote dumiani nimeishi na wajeruman wanawachapa watoto fimbo pia , hata japani wanaachapa watoto pia wanapo kosea sasa we mwenzangu nakushangaa unapo sema fimbo sio njia ya kumfundisha mtoto
Elewa yapo mzingira yatakulazimu utumie fimbo labda kama mwenzangu hujawahi kuwa na watoto.
Nyie wanasiasa waoneeni huruma hao walimu mnao wakabidhi watoto wa aina hiyo.
Wazo la kwanza kuwawekea mfumo wao lilikuwa zuri sana lakini hili la kuwachanganya na wanafunzi wengine katika mfumo rasmi hapana.
Nitajieni ni nchi gani Ulaya na Amerika ambayo inatumia mfumo huu unao letwa Tanzania.
Nadhani sasa tume halalisha mapenzi shuleni nadhani sheria za shule zirekebishwe swala la mapenzi na mimba lisiwe kosa tena si kwa mabint si kwa vijana.
Huyo mwache hao ndo wanajidai wazungu lakini usishangae kuna uwezekano ni mgogo wa mpwapwa! Hajui kuwa sio kila anachofanya mzungu ni kitu bora mengine ni matango pori tu! Yaani biblia itaje na wewe uje na digrii yako ya kibongo hapa ujidai umeelimika kuliko Biblia neno la Mungu! Mungu atusamehe sana ndo maana Biblia inasema Hekima ya mwanadamu machoni pa Mungu ni Upumbavu!Kama wewe ni mkristo na unaamini biblia kama kitabu kitakatifu toka kwa mungu basi rejea tena maandiko.
Kuna wakati kiboko lazima kitumike na hiyo ipo kote dumiani nimeishi na wajeruman wanawachapa watoto fimbo pia , hata japani wanaachapa watoto pia wanapo kosea sasa we mwenzangu nakushangaa unapo sema fimbo sio njia ya kumfundisha mtoto
Elewa yapo mzingira yatakulazimu utumie fimbo labda kama mwenzangu hujawahi kuwa na watoto.
Wewe hata Biblia husomagi ni mvywa K vanti tu unatusumbua humu! Hujui lugha ya picha ni kukuonesha uhalisia wa vitu! Ukumbuke pia Biblia haisomwi kama gazeti la Mwananchi! Lazima uombe Mungu akupe macho ya kiroho!Biblia imeongea kwa picha nyingi sana, na sio kila andiko ni lako na si kila andiko lipo kwa ajiri ya sehemu flani. Neno linabaki kuwa hai
Kwa hiyo kisa ni ulaya hata wakifanya ujinga tuwafate? Mbona mnaishi maisha ya kijima sana nyie wabongo!? Kwa hiyo huko wakioana wanaume na sie turuhusu waoane kisa wamefanya ulaya? Best sio kila tajiri anaakili ni Mungu tu aliamua kuwapa mali ndo maana mazezeta kama wewe unaaabudu!Zitaje tu. Mimi sizijui. Usisahau kutaja na za ulaya. Usisahau na zinazofukuza shule wanafunzi wanaopata uja uzito. Muongo njia yake fupi.
Amandla....
Nchi zote mbili ulizozitaja hazina compulsory pregnancy tests kwa sababu itakuwa ni kuingilia faragha ( privacy) ya binti. Kinachofanyika ni kuwa nesi wa shule au mwalimu akihisi kuwa mtoto ni mja mzito na anajua mazingira ya nyumbani kwake ni hatarishi basi nesi anaweza mshauri kupima mimba kama binti atamwambia kuwa amebakwa. Nesi atawajibika kutoa taarifa kwenye mamlaka husika.Marekani wana pregnat test kwa wanafunzi na canada pia sina hakika Australia huko sijui
Inawezekana
Ulie na macho ya rohoni unaona nini ? mfyuuuuu... najua Biblia kuliko wewe mala elfu kama huamini omba ruhusa nikufundishe hapa ndio utajua mie ni mwalimu wako..Wewe hata Biblia husomagi ni mvywa K vanti tu unatusumbua humu! Hujui lugha ya picha ni kukuonesha uhalisia wa vitu! Ukumbuke pia Biblia haisomwi kama gazeti la Mwananchi! Lazima uombe Mungu akupe macho ya kiroho!
Kaaah mkuuu umetia aibu sanaNitajie nchi moja Ulaya au Marekani au Australia au Canada ambako mwanafunzi anachapwa, anapimwa mimba na akipata mimba anafukuzwa shule. Nitajie hata nusu nchi. Hata robo nchi.
Amandla....