Kwanza tuache kusema "Wamasai wa Ngorongoro"

Kwanza tuache kusema "Wamasai wa Ngorongoro"

Kama wewe ni mwanamazingira kweli ungeanza na hao wanyama. Kwamba ikiwa nafasi haitoshi ku-coexist wao na binadamu nani ahame?

Kwamfano vyura wa project ya hydropower Kihansi (kama rare and endegered species) si baadhi yao walihamishiwa USA ili wasitoweke?

Kwahiyo punguzeni wanyama Ngorongoro (kama nao ni rare and endegered species) kutokana na idadi ya binadamu (Wamaasai) kuongezeka; basi hao wanyama waende Mikumi Ruaha au Chato nk.

Vinginevyo kuna jamii ya Watanzania ambayo hawaongezeki? Wanyakyusa Wandamba, Waluguru, nk wakiongezeka mtawahamishia wapi?

"Overriding interest" ya Serikali katika suala la ecosystem ya Ngorongoro lazima iwe uhai na ustawi wa binadamu! Sio wanyama au watalii au mapato ya nchi kama kodi, tozo, nk.
Kati ya Wanyama na Binaadamu nani kamkuta Mwenzake?.

Na je unajua kuwa sababu ya kuwahamisha Vyura ni kwa sababu ya kuharibu Mazingira hivyo yale Mazingira asili ya kuwafanya Vyura waishi yalianza kutoweka?...na nani alisababisha kama sio Binaadamu sisi tusio na vision?.
 
Kila mtu na asili yake, wale ni wamasai wa NCAA, kwanza hiyo mamlaka ilianzishwa ikiwa na mfumo wa kuishi na binadamu ndo maana iko tofauti na national park
Wale ni Binaadamu sio Wanyama, na wanaendelea kuzaana.

Watahitaji Huduma za Kibinaadamu na kadri wanavyoongezeka na huduma zitaongezeka, yaweza kuwa labda hawatohitaji huduma zote maana waweza kusema hawana shida ya umeme n.k lakini huduma nyingi za Kibinaadamu haziingiliani na Wanyama pori.

Najua mpo wengi mnaoshabikia wenzenu wabaki na maisha ya kiporini milele...hamtamani walau nao wapate kile nyie mnakipata huko kwenu...umeme, maji safi, matibabu, matumizi ya computer n.k...mnataka wabaki tu porini, mnanufaika?.

Watoke huko waje washiriki maisha ya kisasa na wengine, hatuwezi kuweka umeme, maji, barabara, Hospitali n.k huko porini.
 
nadhani hujui mila za wamasai wewe umeandikia kishabiki tu.Moja ya nuksi kwa wamasai ni kula nyama ya porini huwa wana imani wakifanya hivyo mifugo yao itatoweka
Kasema wao wanaenda kuuza.

Alafu ni Wamasai gani unazungumzia Mkuu, hawa waliojaa hapo Dar na wanakwenda hadi Zanzibar? ambao wameshajua biashara?...kwani akirudi NgoroNgoro atarudishwa kwamba wewe umeshashika dollars ondoka?.
 
Nimekuwa napata ukakasi kuhusu matumizi ya haya maneno kwani ni dhahiri kuwa Matatizo pia yaweza kuanzia hapa.

Kwanza sitaki kuamini ya kwamba hilo eneo ni la/au ni kwa ajili ya Jamii yoyote na si ya Kimasai pekee, na pia siamini kama waishio huko ni Wamasai pekee.

Pia kwa kutumia na kusisitiza kunasibisha eneo hili na Wamasai pekee ni kama ndio kunawapa kiburi cha kuamini hayo ni maeneo yao, kana kwamba Mungu aliwakabidhi wao tu...tofauti na ninavyofahamu mimi kwamba ardhi hii ni mali ya kila Mtanzania, na Raisi ndio Msimamizi kwa niaba ya Watanzania wote.

Ndio maana hata Viwanja tukimilikishwa tunapewa muda maalumu wa kumiliki, kwamba mkataba ukiisha Mamlaka kwa niaba ya Wananchi wote wanaweza kukwambia hatukuongezei tena muda wa kukaa eneo hili hivyo tafuta sehemu nyingine.

Hali inapaswa kuwa hivyo hivyo kwa kila Mwananchi bila upendeleo wala umaalumu wa Jamii moja kutoka nyingine.

Kama Mndengereko wa Mtwara atatakiwa ahame Kijiji tupitishe bomba la Gesi kwa manufaa ya Wananchi wote wakiwepo wale waishio Kigoma, basi hili laweza kumkuta pia Muha wa Kigoma, Mhehe wa Iringa, Mmasai wa Oldonyosambu n.k.

Na mbona Wamasai hao hao kama tu Jamii nyingine wamekuwa wakihama kutoka eneo moja hadi lingine tangu kale?.. Wangoni walitokea Kusini mwa Afrika, Wa iraq wametokea Kaskazini wa Africa...vipi leo waone ugumu wakiambiwa tunataka muhamie kati kati ya Nchi?.

Sitounga mkono iwapo hili litafanywa kwa manufaa ya Wachache lakini nitaunga mkono kama litafanywa kwa manufaa ya wengi, na kwa bahati mbaya au nzuri mpaka sasa sijaona sababu za kuniridhisha kuwa kinachofanywa ni uonevu na si kwa manufaa ya Uma wote wa Tanzania.

Mimi ni muumini wa mazingira na huwa natamani kuona lililo na nia njema linafanikiwa haswa kama ni kwa manufaa ya mazingira.

Kwa ujinga ambao Binaadamu tumekwishaufanya kwa Mazingira mpaka sasa naamini hata Mungu angetamani sisi Binaadamu wote tuangamie Wabaki Wanyama, Wadudu, Miti ,Milima, Mabonde n.k. isiyolipiza ubaya na ukatili wa sisi Viumbe Mwenzao Binaadamu.

Wewe nimmakunduchi wa wapi?
 
INASEMWA WAMASAI WA NGORONGORO KWA SABABU WAMASAI WANAPATIKANA SEHEMU NYINGINE PIA.

1. SIHA KILIMANJARO wapo wamasai
2. MOROGORO wamejaa wamasai
3. LOLIONDO
4. LONGIDO
5. Manyara wapo na jirani hapo Kenya pia.
Utajuaje wamasai wanaozungumziwa bila kutaka utambulisho wa eneo lao? Kwamba kuna makabila mengine ndio sawa lakini sio wengi kama wamasai.

Hajui kuna wasukuma wa bariadi, mwanza, shinyanga na tabora ukiacha wale wa katavi na lindi na manyiri na morogoro
 
Wale ni Binaadamu sio Wanyama, na wanaendelea kuzaana.

Watahitaji Huduma za Kibinaadamu na kadri wanavyoongezeka na huduma zitaongezeka, yaweza kuwa labda hawatohitaji huduma zote maana waweza kusema hawana shida ya umeme n.k lakini huduma nyingi za Kibinaadamu haziingiliani na Wanyama pori.

Najua mpo wengi mnaoshabikia wenzenu wabaki na maisha ya kiporini milele...hamtamani walau nao wapate kile nyie mnakipata huko kwenu...umeme, maji safi, matibabu, matumizi ya computer n.k...mnataka wabaki tu porini, mnanufaika?.

Watoke huko waje washiriki maisha ya kisasa na wengine, hatuwezi kuweka umeme, maji, barabara, Hospitali n.k huko porini.
Mkuu unampigia mbuzi gitaa. Watatoka wapishe uwekezaji vijana waajiriwe na maisha mengine yaendele. Wasituletee watAnzania ukaidi wa kijinga Kwa hoja za kijinga. Hapa kama Yale ya ustaarab yameshindikana waache waburuzwe (kama ni kweli). Nasema haya nkiwa na jazba nilizozipata humu japo taaluma yangu ingeweza kutoa njia nzuri ya wale KUHAMA wenyewe kistaarabu. ILA WANGEHAMA TU

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kama wewe ni mwanamazingira kweli ungeanza na hao wanyama. Kwamba ikiwa nafasi haitoshi ku-coexist wao na binadamu nani ahame?

Kwamfano vyura wa project ya hydropower Kihansi (kama rare and endegered species) si baadhi yao walihamishiwa USA ili wasitoweke?

Kwahiyo punguzeni wanyama Ngorongoro (kama nao ni rare and endegered species) kutokana na idadi ya binadamu (Wamaasai) kuongezeka; basi hao wanyama waende Mikumi Ruaha au Chato nk.

Vinginevyo kuna jamii ya Watanzania ambayo hawaongezeki? Wanyakyusa Wandamba, Waluguru, nk wakiongezeka mtawahamishia wapi?

"Overriding interest" ya Serikali katika suala la ecosystem ya Ngorongoro lazima iwe uhai na ustawi wa binadamu! Sio wanyama au watalii au mapato ya nchi kama kodi, tozo, nk.
Wewe ni mjinga,
 
Kwahiyo tuanze kuita waarabu wa ngorongoro!
Hapana Anza kuita Loliondo ya Kenya,yaani hata hamuelewi?Ukiona unampiga mkeo halafu mwanaume jirani yako anaumia sana ujue huyo ndo anayekungongea mkeo,fumbuka kijana acha ujinga,leo hii Wakenya wako kwenye vyombo vya kimataifa km Aljazeera n.k wakiichafua Tanzania kwa kigezo cha wamasai wa Ngorongoro wao inawauma nini?Kuna nini na kwa faida ya nani?
Washenzi sana ngoja tuwasubiri wachinjane baada ya uchanguzi ujao na sisi tukae pemben tule mvinyo hamna namna
 
Kama wewe ni mwanamazingira kweli ungeanza na hao wanyama. Kwamba ikiwa nafasi haitoshi ku-coexist wao na binadamu nani ahame?

Kwamfano vyura wa project ya hydropower Kihansi (kama rare and endegered species) si baadhi yao walihamishiwa USA ili wasitoweke?

Kwahiyo punguzeni wanyama Ngorongoro (kama nao ni rare and endegered species) kutokana na idadi ya binadamu (Wamaasai) kuongezeka; basi hao wanyama waende Mikumi Ruaha au Chato nk.

Vinginevyo kuna jamii ya Watanzania ambayo hawaongezeki? Wanyakyusa Wandamba, Waluguru, nk wakiongezeka mtawahamishia wapi?

"Overriding interest" ya Serikali katika suala la ecosystem ya Ngorongoro lazima iwe uhai na ustawi wa binadamu! Sio wanyama au watalii au mapato ya nchi kama kodi, tozo, nk.
Your ze edi iz totally empty empty
 
Hapana Anza kuita Loliondo ya Kenya,yaani hata hamuelewi?Ukiona unampiga mkeo halafu mwanaume jirani yako anaumia sana ujue huyo ndo anayekungongea mkeo,fumbuka kijana acha ujinga,leo hii Wakenya wako kwenye vyombo vya kimataifa km Aljazeera n.k wakiichafua Tanzania kwa kigezo cha wamasai wa Ngorongoro wao inawauma nini?Kuna nini na kwa faida ya nani?
Washenzi sana ngoja tuwasubiri wachinjane baada ya uchanguzi ujao na sisi tukae pemben tule mvinyo hamna namna
Sijaelewa sababu ya kuniquote kisha uniropokee huo uharo wako, kuhusu mkeo nitamgonga tu usijali.

Wanaopinga move ya loliondo sio wakenya tu, ni yeyote mwenye akili timamu…. wewe jifunze kuandika kwanza.
 
Wale ni Binaadamu sio Wanyama, na wanaendelea kuzaana.

Watahitaji Huduma za Kibinaadamu na kadri wanavyoongezeka na huduma zitaongezeka, yaweza kuwa labda hawatohitaji huduma zote maana waweza kusema hawana shida ya umeme n.k lakini huduma nyingi za Kibinaadamu haziingiliani na Wanyama pori.

Najua mpo wengi mnaoshabikia wenzenu wabaki na maisha ya kiporini milele...hamtamani walau nao wapate kile nyie mnakipata huko kwenu...umeme, maji safi, matibabu, matumizi ya computer n.k...mnataka wabaki tu porini, mnanufaika?.

Watoke huko waje washiriki maisha ya kisasa na wengine, hatuwezi kuweka umeme, maji, barabara, Hospitali n.k huko porini.
Hiyo nadharia yako isiyo na uhakika, ni ya kubuni-buni tu imesha umbuliwa, haipambiki.

....sasa tuje kuona hizo barabara, huo umeme na mengine huko baada ya Masai kuondolewa. Kitaeleweka.

Ahsante kwa porojo lakini.
 
Back
Top Bottom