Deo Benjamin
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 308
- 92
- Thread starter
- #21
Kwani soko lake lipoje! Mi ntajaribu tuu ata kware 250. Niishafanyaga biashara ya asali ilikuwa nguumu hv hv ila nlitoboa sema majukumu yaiingiliana nkakosa muda wa kusafiri. Hvyo mi naamin nkiwa na mzigo stashindwa kuuza
Hii ndiyo spirit inyotakiwa kwenye biashara, Ubarikiwe sana kaka