Kwasababu CCM wanapenda uongo na magoli ya mikono, COVID-19 haipendi uongo itawaondoa madarakani!

Kwasababu CCM wanapenda uongo na magoli ya mikono, COVID-19 haipendi uongo itawaondoa madarakani!

Fikiri nje ya kisanduku.

Badala ya kuhangaisha kichwa chako nani atatawala, data za uongo, propagabda, nk (rejea bandiko lako) jiridhishe kwanza na usalama wa maisha yako.

JILINDE UMLINDE JIRANI
Do you comprehend, or completely understand the meaning of leadership?
 
Wengine waliombea wenzao wafe wakatangulia wao.
Waliosema kufika June 2017 atakaebakia mjini ni mwanaume wamekimbia wao
Yani rais akimbie wengine abaki?

Porojo hazitakusaidia, mumeozoea kuendesha nchi kwa porojo?
 
Siyo kweli. Mbona Ben Saanane hayakuwa maamuzi yake?
Sawa kabisa maana kwa lugha hiyo unajua alipo na kilichomtokea, au?

Suala linaloongelewa ni kuhusu maambukizi ya korona. Kuzingatia ushauri wa kitaalamu ili usiambukizwe ni uamuzi wako mwenyewe.

JILINDE UMLINDE JIRANI. Kwa pamoja Tanzania bila COVID-19 inawezekana.
 
Sawa kabisa maana kwa lugha hiyo unajua alipo na kilichomtokea, au?

Suala linaloongelewa ni kuhusu maambukizi ya korona. Kuzingatia ushauri wa kitaalamu ili usiambukizwe ni uamuzi wako mwenyewe.

JILINDE UMLINDE JIRANI. Kwa pamoja Tanzania bila COVID-19 inawezekana.
ccm ndivyo mlivyo. Sasa hamtangazi tena visa vya corona, lakini mtaani hayafichiki. Wananchi wanachukuwa hatua wenyewe.

The best plan is no plan at all?
 
ccm ndivyo mlivyo. Sasa hamtangazi tena visa vya corona, lakini mtaani hayafichiki. Wananchi wanachukuwa hatua wenyewe.

The best plan is no plan at all?
The first mistake in life is not to trust your goodself. Hence, the best plan against COVID-19 infection is in your own hands.

Ukihamisha tatizo lako la kupuuza ushauri, kaburi linakusubiri.
 
Tunawatukana mabeberu huku tunataka misaada yao,
Tatizo sisi tunawaita washirika wetu wa maendeleo ni mambuzi dume (Ma beberu), sasa katika hali hiyo, hata kama ni wewe, utatoa msaada kweli?

Naona tupunguze tambo na kutoa kauli zenye ukakasi hadharani. mambo yetu ya chini ya kapeti yaongelewe ndani siyo hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuja na falsafa za kila aina ukweli unabaki maamuzi ya kuishi au la ni yako. PERIOD
Kwahiyo serikali ya ccm haina maamuzi ya kuwalinda wananchi wake siyo? Unaongea kile kinachokufaa wewe kwa muda ule. Hapo umefikiri kwa urefu gani?
 
Yaaani wacha tu

Ila hii covid 19 imenyoosha haswa

Wote level moja

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa. Hii corona itaumbuwa utawala wa ccm toka uhuru. Kwasababu wao walikuwa wakitimkia India huko. Sasa uongo wao lazima uwatokee puani. Nimemsikia Majaliwa leo nimetikisa kichwa kwa masikitiko.
 
Back
Top Bottom