Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Hahaaa, ila pesa ya kula huwa hawakosi!!
Sure, ila wanaishia kula tu labda na anasa zingine... maisha yao wengi ni choka mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa, ila pesa ya kula huwa hawakosi!!
Inategemeana na matakwa ya jeshi la police mwaka husika na uhitaji wao.Sawa..... umri gani mwisho kujiunga na police?
Basi mimi siweziInategemeana na matakwa ya jeshi la police mwaka husika na uhitaji wao.
Ila mara nyingi miaka 25 ndio limit yao.
Hakuna linaloshindikana bongo, sema tu hutaki.Basi mimi siwezi
Umri....Hakuna linaloshindikana bongo, sema tu hutaki.
Kwani umri bongo wanapima kwa carbon 14?, au kwa makaratasi?Umri....
Hata sura na mwili unakataa...Kwani umri bongo wanapima kwa carbon 14?, au kwa makaratasi?
Unapenda kuongoza kipi sasa, magari au vyombo vya moto? Vyombo vya moto kawaida vinakuwa jiikoni kwenye mafiga, au mimi Kiswahili changu kina shida kidogo?Ile kazi naimiss sana kwasasa.
Ni kazi ambayo nikiambiwa nichague basi itakuwa first choice huku kazi za uhasibu na ugavi nikiziweka pembeni.
Nina hamu sana kuongoza magari barabarani.
Nyie mnaomiliki vyombo vya moto mngenipenda sana.
MagariUnapenda kuongoza kipi sasa, magari au vyombo vya moto? Vyombo vya moto kawaida vinakuwa jiikoni kwenye mafiga, au mimi Kiswahili changu kina shida kidogo?
🤣🤣🤣🤣 fanya jero jero mkuu maana unakuta foleni ya Tazara,Buguruni mpaka External gari zote zile kwa jero utatajirika sana.Elfu mbili za soda ndizo takusanya. Au vipi nitakuwa nawaonea?
Poa tafanya jerojero ila ukitoa buku chenji hairudi.🤣🤣🤣🤣 fanya jero jero mkuu maana unakuta foleni ya Tazara,Buguruni mpaka External gari zote zile kwa jero utatajirika sana.
Hiyo v8 itapewa kesi ya utakatishaji fedha, dhahabu na shabaNa vipi ukimuona mke wako kwenye v8 ya jamaa mwingine?
kwahiyo nikitoa nyau (Buku mbili) inarudi buku sio utakuwa kavu sana traffic. 🤣 🤣 🤣 🤣Poa tafanya jerojero ila ukitoa buku chenji hairudi.
Ukitoa buku mbili unaweza kurudishiwa buku au jero. Inategemeana na jinsi unavyolalamikakwahiyo nikitoa nyau (Buku mbili) inarudi buku sio utakuwa kavu sana traffic. 🤣 🤣 🤣 🤣
Wanatoa lini hizo nafasi zao na mimi nijiunge?Inategemeana na matakwa ya jeshi la police mwaka husika na uhitaji wao.
Ila mara nyingi miaka 25 ndio limit yao.
Next week may be.Wanatoa lini hizo nafasi zao na mimi nijiunge?
Tatizo hata zikitoka sifa yao kubwa nyingine ni uwe umepitia jkt [emoji38][emoji38]Next week may be.
Nisiwe msemaji wao. Mimi sijui