Ford Range
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 344
- 525
Sijui huwa unavuta cha wapi schoolmate, nimecheka sanaa.Tendo la ndoa lifutwe.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui huwa unavuta cha wapi schoolmate, nimecheka sanaa.Tendo la ndoa lifutwe.....
Acheni ujinga kamateni malaya wamekua wengi mtaani mnafanya tunaelemewaCHAPUTA TUNAKETI WAP
Nyie ndo mnatombewaKama hashibi hata ukiwa fundi wa vipi haisaidii,tafuta hela ndio ufundi wenyewe huo...
Ohooooo...... Wameanza kujaTendo la ndoa lifutwe.....
Hicho kikao AGGERY_TZ atakuwa siti ya mbele kabisaKabisa 😹
Dah! Nimecheka mpaka nimepaliwaHaiishii hapo tu unakuta hata akikupa haleti ushirikiano!, kaa ukijua anakuona wewe kama sanamu la matope!.
wewe ndo umekuwa mtumwa wakuiomba!, ndugu haupo kwenye mahusiano ila upo kwenye husiano maana mahusiano ni mashirikiano ila ajabu, unashughulika wewe tu jasho linakumiminika, macho unayatumbua kama kenge aliekunywa safari lager!.
Chakufanya ongeza ufundi, imalisha ujuzi mpk nayeye aanze kuiomba usikae tu kama chatu aliemeza chura!.
pia huzulieni vikao sio mnateswa kidogo tu mnakuja kulialia!.