Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naona nimepiga kwenye mshonoJamii gani tanzania ila hali nafuu? Umejaa ujinga tu ukimiliki IST unajiona umefika kumbe bado ni masikini tu huna lolote.
Una MAANA hawa JAMAA?Hakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko watu wote duniani astaghafilulaaah.
Bashiru kwa majigambo anampigia simu waziri Fulani anamwambia ilifanya hivi na vile kazi huuuna khaaa.
Kuna la kujifunza.
Maisha haya tunapita tu jameni.
Magufuli leo kalala peke yake ule msururu wa makomando umemuacha daaah.
duh kama Polepole mtoto basi wengine hatujazaliwa bado. Jamaa keshazeeka mpaka sura inatoka magamba bado mnasema mtotoUbabe wa Bashiru na Makonda ulitegemea sana uwepo wa mwendazake.
Walimtegemea kiumbe mwenzao.
Polepole tumsamehe bure utoto ndio ulimsumbua.
Hakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko watu wote duniani astaghafilulaaah.
Bashiru kwa majigambo anampigia simu waziri Fulani anamwambia ilifanya hivi na vile kazi huuuna khaaa.
Kuna la kujifunza.
Maisha haya tunapita tu jameni.
Magufuli leo kalala peke yake ule msururu wa makomando umemuacha daaah.
Naona imekuuma sana. Kama huna cha kujifunza hapo we endelea kushupaza shingo!Mleta uzi huwezi kukataa dhana ya kwamba unajadiri watu. Kama ni hivyo jaribu kuwa fair kidogo kwa kujaribu kujilinganisha wewe na hao unao wajadiri ktk vipengere vichache tu kama kiuchumi, kijamii na hata kisiasa.
vinginevyo hoja yako ya duniani tunapita haina mashiko kwa mifano uliyoitoa kwa sababu nchi hii uongozi unaukomo wa muda.
Watu wanajibizana kwa hoja wewe unaleta taarabu. Ulitakiwa uwe kwenye jukwaa la jamii na mahusiano.Naona imekuuma sana. Kama huna cha kujifunza hapo we endelea kushupaza shingo!
Ray C Yaani CHALAMILA, you must be genius man...Hujakamilisha kazi, taja & sons Ltd
- Ray C
- 7ya
- Happiness
- Mlishe Gamba - alikimbilia nguzo nyingine lakini malipizi lazima yatakuja
Siti ya daladala haina mwenyewe.Wakati si milele
Huku alipigwa ban kwa hofu ya kwenda kumdhuru mange,wanaothamini haki ya kuishi wakampiga ban ya forever na mkewe.
Ni hadi uwe na exposure au civilized kujua hekima hii.Cheo ni dhamana, cheo ni koti la kuazima. Livae kwa staha, huku ukijizoesha kuliacha kwa muda kidogo
Ume decrypt encryption🤣Ray C Yaani CHALAMILA, you must be genius man...
Ubabe wa Bashiru na Makonda ulitegemea sana uwepo wa mwendazake.
Walimtegemea kiumbe mwenzao.
Polepole tumsamehe bure utoto ndio ulimsumbua.
Kuna la kujifunzaHakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko watu wote duniani astaghafilulaaah.
Bashiru kwa majigambo anampigia simu waziri Fulani anamwambia ilifanya hivi na vile kazi huuuna khaaa.
Kuna la kujifunza.
Maisha haya tunapita tu jameni.
Magufuli leo kalala peke yake ule msururu wa makomando umemuacha daaah.
Hii ilipigwa kiwiziwizi naona msela kama alistukia hivi. Hapo alikuwa anatoka ubalozoni?
😅😅😅Una MAANA hawa JAMAA?View attachment 1845569View attachment 1845570