Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Sabaya amechuchumaa na pingu mikononi mbele ya polisi waliokuwa wakimpigia saluti kali! Tutaelewana taratibu.Hakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko watu wote duniani astaghafilulaaah.
Bashiru kwa majigambo anampigia simu waziri Fulani anamwambia ilifanya hivi na vile kazi huuuna khaaa.
Kuna la kujifunza.
Maisha haya tunapita tu jameni.
Magufuli leo kalala peke yake ule msururu wa makomando umemuacha daaah.
Yani sitaki hata kuzikumbuka hizi mbuzi maana zilijihakikishia kuwepo milele ndiyo maana zikajiandaa kubadili sheria magufuli atawale milele ili nazo zisumbue milele haswa huyu pole pole na bashite pumbavu kabisaaaaaaaa wajaribu kwenda kaburini kuhijiHakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko watu wote duniani astaghafilulaaah.
Bashiru kwa majigambo anampigia simu waziri Fulani anamwambia ilifanya hivi na vile kazi huuuna khaaa.
Kuna la kujifunza.
Maisha haya tunapita tu jameni.
Magufuli leo kalala peke yake ule msururu wa makomando umemuacha daaah.
Kwa mimi ninavoelewa hata hii ni zama ya makonda, yule jamaa niliona picha alikuwa anapiga selfie na Samia kabla ya Samia kuwa makamu.Cheo ni dhamana, cheo ni koti la kuazima. Livae kwa staha, huku ukijizoesha kuliacha kwa muda kidogo
Mzalamo kalonga,, mungu kibidu, yahakubidula mkono wa kumoso koudila... see transl.....Hakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko watu wote duniani astaghafilulaaah.
Bashiru kwa majigambo anampigia simu waziri Fulani anamwambia ilifanya hivi na vile kazi huuuna khaaa.
Kuna la kujifunza.
Maisha haya tunapita tu jameni.
Magufuli leo kalala peke yake ule msururu wa makomando umemuacha daaah.
Daah! Hawa nao walitamba hatari. Huyo namba 4 ameanza kujiondoa taratibu kwa kusema kuna Mambo yalifanyika mkoani kwake kwa maagizo toka juu. Hata yeye hakuyajua.Hujakamilisha kazi, taja & sons Ltd
- Ray C
- 7ya
- Happiness
- Mlishe Gamba - alikimbilia nguzo nyingine lakini malipizi lazima yatakuja
Utoto kwenye akili.duh kama Polepole mtoto basi wengine hatujazaliwa bado. Jamaa keshazeeka mpaka sura inatoka magamba bado mnasema mtoto
Akili. HUONI anashabikia magari Kama dogo wa darasa la sitaPolepole, utoto kwenye nini?
Mbowe katoka jamii yenye uafadhali lkn kakatalia kwenye uenyekiti utajiri au umaskini siyo sababu ya kuwa kiongozi bora maana kiongozi bora lzm awe na vision.Hao wote angali jamii ambazo wametoka zinahali gani mkuu? ogopa kumpa madaraka mtu ambaye ametoka sehemu masikini
🤣😂Daah! Hawa nao walitamba hatari. Huyo namba 4 ameanza kujiondoa taratibu kwa kusema kuna Mambo yalifanyika mkoani kwake kwa maagizo toka juu. Hata yeye hakuyajua.
Hao uliowataja walau walimantain kidogo, hawa wengine wamepotea kama upepo, hali zao za januari na june ni tofauti.Mbona maada hii ishaongelewa sana?
Hata Juma Nature, Lunyamila, Mwinyi Mzee zishapita ndio maisha
TV za kichogo, simu za kizamani, zishapita
Ni maisha
Wewe hapo pia enzi zako kuna vitu uliweza kwa sasa hauwezi tena, ni maisha
Jadili vitu vya maana hapa
Wmerudi waikotoka hawa wote unaoongelea. Wote walionyesha ulimbukeni na kujikomba fulani kiasi cha kupata adhabu ya mwenyewe. Liwe somo kwa wengine.Hakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko watu wote duniani astaghafilulaaah.
Bashiru kwa majigambo anampigia simu waziri Fulani anamwambia ilifanya hivi na vile kazi huuuna khaaa.
Kuna la kujifunza.
Maisha haya tunapita tu jameni.
Magufuli leo kalala peke yake ule msururu wa makomando umemuacha daaah.
Hakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko watu wote duniani astaghafilulaaah.
Bashiru kwa majigambo anampigia simu waziri Fulani anamwambia ilifanya hivi na vile kazi huuuna khaaa.
Kuna la kujifunza.
Maisha haya tunapita tu jameni.
Magufuli leo kalala peke yake ule msururu wa makomando umemuacha daaah.
Ubabe wa Bashiru na Makonda ulitegemea sana uwepo wa mwendazake.
Walimtegemea kiumbe mwenzao.
Polepole tumsamehe bure utoto ndio ulimsumbua.
Aringe ..
Hata akitoka gerezani hiyo tu inatoshaNa Sabaya amechuchumaa na pingu mikononi mbele ya polisi waliokuwa wakimpigia saluti kali! Tutaelewana taratibu.