Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #61
Sawa mkuuUgua pole mkuu... ukiileta usiache kunitag 😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuUgua pole mkuu... ukiileta usiache kunitag 😆😆
Ki vipi mkuu?Huyo sasa ndio ana mapenz
🤣🤣🤣🤣🙌Kwani Zaigoti mwenyewe anasemaje?
Leta ushauri mkuuKijana mpumbavu.
Angekuwa hakupend asngefanya hvo hpo hata roho inamuuma sema nd hvoKi vipi mkuu?
Well said mkuu!Hamuwezi kuwa walevi mkabaki salama, hii dunia ina miiko yake lazima muifuate, mkiendelea kuikiuka wote mtaendelea kuwa kichekesho mbele za watu siku zote.
Nimefikiria sana, lengo lake kuu lilikuwa nini; ila kutokana na mazingira ya unywaji nikasamehe tu, kwa kuwa ni magonjwa ya akili yasababishwao na pombe.Kwamba wewe umemfinya mkononi,yeye kakutwanga kichwani na kiatu.
Huyo sio mke ni malaya kama malaya wa buguruni.
ha ha ha haWakiwa Safi na mavazi meupe,vidonda vitachafua sandaðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Anajua nina michepuko mingi niliozaa naoKwanza unaanzaje kuishi na Mwanamke anayekutamkia kuwa hata mkiachana yeye yupo tayari.
Kwa ile chura hapana, ngoja nivumilie tu na hivi vichapoMpige chini mkuu nikupokee matatizo
Tatizo aliko yeye ndio nimejiwekeza kibiasharaHama mji!Na badilisha line
Mlevi yeyote akilewa anakuwa kichaaHii nchi imejaaliwa Kuwa na Vichaa wengi sana!
Ki vipi mkuu?, kosa lingine anasema nilikuwa namuonyeshea dharau kwa kuongea na wanawake wengineUsirudie tena sasa,. Ila huyo anakufaa sana
Usirudie tena kumrekebisha mbele za watuKi vipi mkuu?, kosa lingine anasema nilikuwa namuonyeshea dharau kwa kuongea na wanawake wengine
Ni kweli kwa sababu analalamika kwa nini nilikuwa naongea na wanawake wengine, kwa hiyo akataka anipe ulemavu ili wote wakoseAngekuwa hakupend asngefanya hvo hpo hata roho inamuuma sema nd hvo
Wanasema juisi haina 'vibe'Yaani mwanamke Yuko mimba halafu anakunywa pombe? Wewe na mkeo wajinga sana mkuu!
Hili likipita, hakuna kutoka 'out' tenaUsirudie tena kumrekebisha mbele za watu