Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Tafuta wako mkuu au nina namba ya mnyaturu mmoja apa niajeMatokeo tuu ya Maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta wako mkuu au nina namba ya mnyaturu mmoja apa niajeMatokeo tuu ya Maisha
Si anataka mpaka auliwe ndio aachane na huyo demuWe jamaa mbn unakomenti kali sana duuh
Wanasema usikae karibu na nyati aliyejeruhiwaNajua wako wengi,,,sina Napo kwama,,,wewe Nenda Kwa hao wengine wengi,, Mimi nitulie na huyo unayefikiria kumpiga chini,,,Mimi ni mfariji wa wenye huzuni sihitaji huyo kiumbe abaki upweke,huzuni na simanzi pia
Hicho ndiyo wanaume kinatuchanganyaga mazee!We acha tu, ila kwenye shoo anajituma sana
Anaogopa kisa ana D shape kwa stomach 😂😂😂😂😂Si anataka mpaka auliwe ndio aachane na huyo demu
Tulikubaliana kabla ya kuoa uwe unamzidi mwanamke kila kitu why akupige nawewe unapigika??Nilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie.
Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi nimuwezeshe ili tu tutoke wote.
Siku ya tukio, tukawa tunakula pamoja na kupiga maji, tulipiga sana na kulewa sana; katika mazungumzo tukajikuta tumekwazana, nikajikuta nimemfinya mkononi.
Bibie akaamua kutoka nje kwa hasira, akakaa huko zaidi ya lisaa; baada ya muda namuona amerudi na mimi niko chakari kweli, baada ya kunifikia, akavua kiatu chake cha mchuchumio na kunianza kunipiga kichwani, damu ilitoka nyingi sana, ilibidi tuamuliwe na kuwahishwa kituo kidogo cha afya.
Bahati nzuri kwa sasa naendelea vizuri ingawa kuna dawa natumia; sasa najiuliza nimpige chini mazima au niendelee naye kiaina, ingawa katika mawasiliano naye anasema yuko tayari tuachane ila akihitaji matumizi na malezi ya zaigoti niwe tayari kugharamia.
Na sababu ya yeye kunifanyia hizo fujo, anasema nilimuabisha mbele za watu, akaamua na yeye asiwe mnyonge.
Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni.
Daaa 😅😅pole sanaNilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie.
Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi nimuwezeshe ili tu tutoke wote.
Siku ya tukio, tukawa tunakula pamoja na kupiga maji, tulipiga sana na kulewa sana; katika mazungumzo tukajikuta tumekwazana, nikajikuta nimemfinya mkononi.
Bibie akaamua kutoka nje kwa hasira, akakaa huko zaidi ya lisaa; baada ya muda namuona amerudi na mimi niko chakari kweli, baada ya kunifikia, akavua kiatu chake cha mchuchumio na kunianza kunipiga kichwani, damu ilitoka nyingi sana, ilibidi tuamuliwe na kuwahishwa kituo kidogo cha afya.
Bahati nzuri kwa sasa naendelea vizuri ingawa kuna dawa natumia; sasa najiuliza nimpige chini mazima au niendelee naye kiaina, ingawa katika mawasiliano naye anasema yuko tayari tuachane ila akihitaji matumizi na malezi ya zaigoti niwe tayari kugharamia.
Na sababu ya yeye kunifanyia hizo fujo, anasema nilimuabisha mbele za watu, akaamua na yeye asiwe mnyonge.
Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni.
Mpe ushaurDaaa 😅😅pole sana
Kweli mkuu, nikimuacha nitaumia sana, natafuta nguvu hapa niurudishe uhusiano kwa spidi kubwaHicho ndiyo wanaume kinatuchanganyaga mazee!
Mimi wa hivyo huwa simuachi, ila huuficha upendo wangu wa dhahiri kwake, kuogopa kugeuzwa ndondocha!
Sasa fanya hivii, mbembeleze mrudiane yaishe, ila sasa usije kurudia kumtoa kwenda naye kulewa.
Halafu nyie vipi ugomvi kidogo tu basi kila mtu anawaza kuachana!
Emb rudisha kifaa chako hiko cha maana ndani.
Na hakikisha akijifungua, usimpumzishe kuzaa, mfanye kiwanda cha watoto akili zake zikae sawa ili asiwaze waze kusepa.
Yeye si amegundua unamzimikia, saazingine kwa kukiri nwenyewe huku ukilia ili kupata afueni ya kuufikia mlima K'njaro, hapo ndiyo huwaga tunadhalilika sana mabro.
Atakusumbua huyo usipokaza msuli wa kitandani😄😄😜.
Aendelee naeMpe ushaur
Ili afeeee!! 😬😬Aendelee nae
Asante ndio utu uzimaDaaa 😅😅pole sana
Ila kwa sasa inabidi kupunguza unywaji
Kuacha kabisa ni mtihaniPunguza usiwe unapoteza network mkuu.
Ila kuacha ndo siwezi kukushauri.
Yaani uache pombe halafu unywe nin? mirinda nyeusi (lipsi stiki)?
Vibe lipi Sasa kwa mjamzito? Kumbe aliyepo tumboni analewa na kuteseka mara dufu ya Mzazi. Waache ujinga.Wanasema juisi haina 'vibe'
AliniviziaKwaiyo ulipigwa mkiwa ukumbini na demu hadi Damu ikamwagika.