Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni

Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni

Najua wako wengi,,,sina Napo kwama,,,wewe Nenda Kwa hao wengine wengi,, Mimi nitulie na huyo unayefikiria kumpiga chini,,,Mimi ni mfariji wa wenye huzuni sihitaji huyo kiumbe abaki upweke,huzuni na simanzi pia
Wanasema usikae karibu na nyati aliyejeruhiwa
 
We acha tu, ila kwenye shoo anajituma sana
Hicho ndiyo wanaume kinatuchanganyaga mazee!

Mimi wa hivyo huwa simuachi, ila huuficha upendo wangu wa dhahiri kwake, kuogopa kugeuzwa ndondocha!

Sasa fanya hivii, mbembeleze mrudiane yaishe, ila sasa usije kurudia kumtoa kwenda naye kulewa.

Halafu nyie vipi ugomvi kidogo tu basi kila mtu anawaza kuachana!
Emb rudisha kifaa chako hiko cha maana ndani.

Na hakikisha akijifungua, usimpumzishe kuzaa, mfanye kiwanda cha watoto akili zake zikae sawa ili asiwaze waze kusepa.

Yeye si amegundua unamzimikia, saazingine kwa kukiri nwenyewe huku ukilia ili kupata afueni ya kuufikia mlima K'njaro, hapo ndiyo huwaga tunadhalilika sana mabro.

Atakusumbua huyo usipokaza msuli wa kitandani😄😄😜.
 
Nilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie.

Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi nimuwezeshe ili tu tutoke wote.

Siku ya tukio, tukawa tunakula pamoja na kupiga maji, tulipiga sana na kulewa sana; katika mazungumzo tukajikuta tumekwazana, nikajikuta nimemfinya mkononi.

Bibie akaamua kutoka nje kwa hasira, akakaa huko zaidi ya lisaa; baada ya muda namuona amerudi na mimi niko chakari kweli, baada ya kunifikia, akavua kiatu chake cha mchuchumio na kunianza kunipiga kichwani, damu ilitoka nyingi sana, ilibidi tuamuliwe na kuwahishwa kituo kidogo cha afya.

Bahati nzuri kwa sasa naendelea vizuri ingawa kuna dawa natumia; sasa najiuliza nimpige chini mazima au niendelee naye kiaina, ingawa katika mawasiliano naye anasema yuko tayari tuachane ila akihitaji matumizi na malezi ya zaigoti niwe tayari kugharamia.

Na sababu ya yeye kunifanyia hizo fujo, anasema nilimuabisha mbele za watu, akaamua na yeye asiwe mnyonge.

Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni.​
Tulikubaliana kabla ya kuoa uwe unamzidi mwanamke kila kitu why akupige nawewe unapigika??


Any way umepoteza sifa ya kua mwanaume mpaka mkeo kakupendekezea maamuzi ya kufanya nawewe bado unakuja jf kuomba ushauri?
 
Nilipata mwaliko wa kwenda huko mkoani kwenye tukio la rafiki yangu mmoja, nikaona si vibaya nikaongozana na bibie.

Bibie akanipa bajeti yake kuanzia mavazi pamoja na vitu vidogo vidogo, ikabidi nimuwezeshe ili tu tutoke wote.

Siku ya tukio, tukawa tunakula pamoja na kupiga maji, tulipiga sana na kulewa sana; katika mazungumzo tukajikuta tumekwazana, nikajikuta nimemfinya mkononi.

Bibie akaamua kutoka nje kwa hasira, akakaa huko zaidi ya lisaa; baada ya muda namuona amerudi na mimi niko chakari kweli, baada ya kunifikia, akavua kiatu chake cha mchuchumio na kunianza kunipiga kichwani, damu ilitoka nyingi sana, ilibidi tuamuliwe na kuwahishwa kituo kidogo cha afya.

Bahati nzuri kwa sasa naendelea vizuri ingawa kuna dawa natumia; sasa najiuliza nimpige chini mazima au niendelee naye kiaina, ingawa katika mawasiliano naye anasema yuko tayari tuachane ila akihitaji matumizi na malezi ya zaigoti niwe tayari kugharamia.

Na sababu ya yeye kunifanyia hizo fujo, anasema nilimuabisha mbele za watu, akaamua na yeye asiwe mnyonge.

Kweli huyu dada alitaka kunitanguliza mbinguni.​
Daaa 😅😅pole sana
 
Hicho ndiyo wanaume kinatuchanganyaga mazee!

Mimi wa hivyo huwa simuachi, ila huuficha upendo wangu wa dhahiri kwake, kuogopa kugeuzwa ndondocha!

Sasa fanya hivii, mbembeleze mrudiane yaishe, ila sasa usije kurudia kumtoa kwenda naye kulewa.

Halafu nyie vipi ugomvi kidogo tu basi kila mtu anawaza kuachana!
Emb rudisha kifaa chako hiko cha maana ndani.

Na hakikisha akijifungua, usimpumzishe kuzaa, mfanye kiwanda cha watoto akili zake zikae sawa ili asiwaze waze kusepa.

Yeye si amegundua unamzimikia, saazingine kwa kukiri nwenyewe huku ukilia ili kupata afueni ya kuufikia mlima K'njaro, hapo ndiyo huwaga tunadhalilika sana mabro.

Atakusumbua huyo usipokaza msuli wa kitandani😄😄😜.
Kweli mkuu, nikimuacha nitaumia sana, natafuta nguvu hapa niurudishe uhusiano kwa spidi kubwa
 
Back
Top Bottom