Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Yaani bora hata saidia fundi ila huko... oooooh linakufa jituKiwanda cha chuma show zao sio za kitoto mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani bora hata saidia fundi ila huko... oooooh linakufa jituKiwanda cha chuma show zao sio za kitoto mkuu
Kabsa.iyo 15-20 lazm uende hospital ukajitibuYaani bora hata saidia fundi ila huko... oooooh linakufa jitu
Kiwanda cha nondo weeeeh so poaKabsa.iyo 15-20 lazm uende hospital ukajitibu
25 mkuuUna umri gani?
Bro sisi wa darasa la saba ambao tunapambana unatushauri niniNilipo angalia majibu yangu ya kidato cha nne nililia sana nilipoona nimepata 4 kumbe kilio kile niliona mbali sana wakuu.
Maisha yananichapa vibaya sana kulala njaa kwangu imekuwa jambo la kawaida. Inafika hatua naeanda kwenye mihangaiko wiki nzima siambulii chochote daah 😠.
Natamani nirudishe siku nyuma nirekebishe nilipo kosea ila siwezi. Inafika hatua natamani nisingezaliwa sio kwa msoto huu. Usingizi hata hauji mawazo masaa 24 kichwa kinawaza tuu.
kazeni washkaji kukosa hela nitatizo kubwasanaBro sisi wa darasa la saba ambao tunapambana unatushauri nini
Wengine pia tumefeli hiyo form 4 ila tuliangalia tumefeli wapi tukapambana,mdogo wangu maisha ni kupambana sana kama unaona pande ulipo pagumu,unatakiwa kwenda pengone kupambana using'ang'anie sehemu moja usiyo na faida nawe.Nilipo angalia majibu yangu ya kidato cha nne nililia sana nilipoona nimepata 4 kumbe kilio kile niliona mbali sana wakuu.
Maisha yananichapa vibaya sana kulala njaa kwangu imekuwa jambo la kawaida. Inafika hatua naeanda kwenye mihangaiko wiki nzima siambulii chochote daah 😠.
Natamani nirudishe siku nyuma nirekebishe nilipo kosea ila siwezi. Inafika hatua natamani nisingezaliwa sio kwa msoto huu. Usingizi hata hauji mawazo masaa 24 kichwa kinawaza tuu.
Endelea kupambana usikate tamaa ipo siku.25 mkuu
Pole bado usikate tamaa, Japo atakuja mtu atakwambia at your age nilikuwa na nyumba mbili na Gari lakutembelea.wakuu nipo dar miaka yangu ni 25
PoleNilipo angalia majibu yangu ya kidato cha nne nililia sana nilipoona nimepata 4 kumbe kilio kile niliona mbali sana wakuu.
Maisha yananichapa vibaya sana kulala njaa kwangu imekuwa jambo la kawaida. Inafika hatua naeanda kwenye mihangaiko wiki nzima siambulii chochote daah 😠.
Natamani nirudishe siku nyuma nirekebishe nilipo kosea ila siwezi. Inafika hatua natamani nisingezaliwa sio kwa msoto huu. Usingizi hata hauji mawazo masaa 24 kichwa kinawaza tuu.
Suicide alarm!Nimevumiliaaa naona yatanishinda sasa
Unamaanisha nini huu msemo??KAZI ni kipimo Cha utu
Nilipo angalia majibu yangu ya kidato cha nne nililia sana nilipoona nimepata 4 kumbe kilio kile niliona mbali sana wakuu.