Kweli kua uyaone! Natamani nirudishe siku nyuma nirekebishe nilipokosea ila siwezi

Kweli kua uyaone! Natamani nirudishe siku nyuma nirekebishe nilipokosea ila siwezi

Nilipo angalia majibu yangu ya kidato cha nne nililia sana nilipoona nimepata 4 kumbe kilio kile niliona mbali sana wakuu.

Maisha yananichapa vibaya sana kulala njaa kwangu imekuwa jambo la kawaida. Inafika hatua naeanda kwenye mihangaiko wiki nzima siambulii chochote daah 😠.

Natamani nirudishe siku nyuma nirekebishe nilipo kosea ila siwezi. Inafika hatua natamani nisingezaliwa sio kwa msoto huu. Usingizi hata hauji mawazo masaa 24 kichwa kinawaza tuu.
Pole Sana ndugu yangu, hayo yote ni kwa sababu Tunaamini kwa ubongo wako unaweza kutakua matatizo. Nakushauri acha kutegemea akili zako. Mwambie Mungu shida zako, pasipo shaka uone maajabu.
 
Hiyo 4 unayo idharau mkuu tupo tunaoitamani amini nakwambia
Hata kama una d mbili Kuna watu unawatamani lakini ukweli ni kwamba wametumia hiyo hiyo DIV 4

Sema ngoja nikae tu kimya m mwenzio hata mtihani sijafanya Ila nimefunga unga mpaka sahiv nakula na kuishi kwa cheti Cha la saba

Usilalamike huna viatu wengine hawana hata miguu mkuu
 
Unashinda njaa ila una smartphone na bando la kuingia jf, tatizo lako sio kukosa pesa ,tatzo langu ni maamuzi yako na vipaumbele vyako mkuu.
 
Nilipo angalia majibu yangu ya kidato cha nne nililia sana nilipoona nimepata 4 kumbe kilio kile niliona mbali sana wakuu.

Maisha yananichapa vibaya sana kulala njaa kwangu imekuwa jambo la kawaida. Inafika hatua naeanda kwenye mihangaiko wiki nzima siambulii chochote daah 😠.

Natamani nirudishe siku nyuma nirekebishe nilipo kosea ila siwezi. Inafika hatua natamani nisingezaliwa sio kwa msoto huu. Usingizi hata hauji mawazo masaa 24 kichwa kinawaza tuu.
Majuto ni mjukuu...

Nenda karudie tena mtihani kama 'private candidate'.
 
Kama ni shida usione yako ni kubwa , wengine tungeadisia yanyuma utagundua yako sio shida.
Kama una afya,miguu miwili na mzima ushatusua, chakata akili toka nje ,Mungu mbele mbona utapata tu .
Hyo shida usilie lie ndo uanaume huo , Kesho sio kama leo , jitume tu.
 
Nilipo angalia majibu yangu ya kidato cha nne nililia sana nilipoona nimepata 4 kumbe kilio kile niliona mbali sana wakuu.

Maisha yananichapa vibaya sana kulala njaa kwangu imekuwa jambo la kawaida. Inafika hatua naeanda kwenye mihangaiko wiki nzima siambulii chochote daah 😠.

Natamani nirudishe siku nyuma nirekebishe nilipo kosea ila siwezi. Inafika hatua natamani nisingezaliwa sio kwa msoto huu. Usingizi hata hauji mawazo masaa 24 kichwa kinawaza tuu.
Usije unkaingiza ROHO ya kujiuwa mkuu.

Taifa bado linakutegemea.
 
Back
Top Bottom