Acha ndoto za alinacha Mkuu sio rahisi watu kutengeneza ajira wenyewe kama unavyofikiria,ajira either ni katika Private,public au kwa MTU mmoja mmoja zinaanza kutengenezwa na Serikali.wewe unafhani nani hataki kumiliki kiwanda? Obviously kila mmoja anataka unadhani ni kwa nini haiwezekani??Tatizo ni mfumo wa elimu yetu una anda minds za wanafunzi kua ajiliwa tu, sio kutegeneza ajira " our education system produce job seekers not job creaters"
Hawa watu wameshadharau watanzania kwa sababu ni wapole mno. Hii ni kejeli na dharau kubwa. Kwa nini wasifanye mchujo na kuita wachache. Opsss! Nimeshaelewa: Hapa wanatengeza mazingira ya kuweka watu wao yawe rahisi na bila kuhisiwa. Watakuja kujitetea ''ona tulifanya kazi kubwa ya kuchuja na tuliwapa fursa watu wengi kadiri ilivyowezekana. Ushindani ulikuwa mkubwa sanana hawa waliochaguliwa walishinda kihalali kabisa''. Kumbe wenzako pengine walishapewa mtihani kitambo.Kweli kuna tatizo la AJIRA, NAFASI 2 zagombaniwa na watu 890+
Kuna nafasi zilitangazwa kwenye magazeti ya Serikali TSN , aisee...
Ktk nafasi ya accountant II ,wameomba watu 7600, interview wameitwa 900+.
Nafasi zipo mbili ,wazazi tunajambo la kufanya kwa Watoto wetu.
Watoto wapo vile unavyoawaandaa. Watoto ni matokeo ya wazazi walivyoJambo la kwanza ni mfumo wa elimu ufumuliwe wote mtoto asome mpk la saba baada ya hapo 4m 1 mpk 4 iwe ni vyou vya fani tu alafu wale wataka faulu vizuri wakasome 5&6 hapa ndo tunatakiwa kupika cream.
Ila hao wazazi wa kurithisha watt mali ndo waha wanauza mashamba mpk na makaburi ya babu zetu au?!
Na hao watt unaotaka wsrithishwe mali Ni hawa wanawaza ngono( kucha wanaomba connection) au kuna wengine tutegemee?
Ukipata chance ya kukutana na mmiliki wa bus za machame inv muulize haso alizopitia mpk kufika hapo
Mjinga Swala la kazi ni tete na linaendelea kuwa tete, sababu ziko nyingi sana zikiwemo za mabadiliko ya Sayansi, Chukulia mfano walio kuwa wanasoma Mita za Tanesco kabla ya LUKU wako wapi wale?Duh Motivational speakers mmeshaanza Mambo yenu tena.
Uko sawa kabisa binti mwasiti.Mjinga Swala la kazi ni tete na linaendelea kuwa tete, sababu ziko nyingi sana zikiwemo za mabadiliko ya Sayansi, Chukulia mfano walio kuwa wanasoma Mita za Tanesco kabla ya LUKU wako wapi wale?
Tutabishana sana ila bila kuana teknolojia yetu, tutateseka Sana. Tunahitaji sana teknolojia ya chuma.Ni muhimu kuangalia fani ambazo popote mtu unafit, iwe ajira rasmi au zisizo rasmi. Sio sawa kumpeleka mtoto chuo just kwa vile tu ni chuo cha elimu ya juu.
Vocational training institutes ziwe nyingi zaidi na wawepo qualified trainers, mtu anakuwa na uwezo wa kuajirika na kujiajiri.
Banks ziboreshe namna bora za kutoa mikopo kwa graduates wa vyuo vya kati waliosomea Vocational training ili vijana waweze kujiajiri kwa kufungua makampuni na engineering firms.
Serikali itoe tenda kwa vijana wa kitanzania ili kuwapa uwezo wa kusimamia na kutengeneza miundombinu ya nchi, kuna zile mega projects kama JNHPP ambazo kiukweli zinahitaji technology ya nje, lakini kuna uwezekano wa kutoa tenda za miradi ya kati na midogo kwa wazawa ili kuwapa uwezo.
Swala la ajira kwa sasa linasikitisha sana, na ukweli ni kuwa Serikali haiwezi kuajiri, ni kazi ya private sector, ambayo kwa sasa naamini kabisa inapumulia mirija.
Kwa mtu anaetafuta pesa ya ziada ili kuboresha biashara yake ya kutengeneza keki hiyo ni a very green pastureGreen pasture ya ajira ya contract ya mwaka mmoja mmoja?toka hapo nje angalia juu na useme hakika mimi nilipewa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele tu.
Mind set overhaul , a complete change of the way we think. Watoto wetu hawana budi kufunzwa jiajiri mapema sana !Nafasi zipo mbili ,wazazi tunajambo la kufanya kwa Watoto wetu.
Lilipuke mara ngapi mkuu!?? Hao panya road huwaoni!!??Hili bomu Kuna siku litalipuka
Acha kabisa wazazi wa kibongo sio kabisa unaweza uka na ndugu wanapesa na wazaz wanazo ila ukimaliza chuo hawana mpango na wwMababu wa zamani wana akili kuliko wazazi wa kisasa.
Elimu sio urithi. Ndio maana haitambuliki kwenye sheria za mirathi kama mtoto amerithi elimu.
Mtoto mpe mali ama mtaji na biashara mapema afanye maisha yake. Kupunguza usumbufu kwa mtoto kama huuu wa kugombea kazi za watu
Icho kitu kuna mtu nilikuwa namwambia kitu icho zamani wazazi walikuwa wanawapenda sana watoto zao tofauti na sasa hivi mtoto usitegemee mali za mzee kila mtu anajitafutia mali zake, wakati zamani au kijijini mzee anakupa mashamba na mifugo, wazee wa mjini wanastaafu na wanapata mafao na utoambulia ata mtaji wa business ya maandazi😀😀Mababu wa zamani wana akili kuliko wazazi wa kisasa.
Elimu sio urithi. Ndio maana haitambuliki kwenye sheria za mirathi kama mtoto amerithi elimu.
Mtoto mpe mali ama mtaji na biashara mapema afanye maisha yake. Kupunguza usumbufu kwa mtoto kama huuu wa kugombea kazi za watu
Wazazi wa sa hivi wala bata aache kula bata akupe wewe pesa😀😀kila mtu atafute mali zakeAcha kabisa wazazi wa kibongo sio kabisa unaweza uka na ndugu wanapesa na wazaz wanazo ila ukimaliza chuo hawana mpango na ww
Uwa natafakari izi bank bongo zilizokaribu na majengo mengine au makazi ya kuishi iko siku wahuni watachimba chini kwa chini nakutokea ndani ya bankImenikumbusha Brazil(forteleza)bank robbery.
Nipale vijana wasomi walipo iba fedha nyingi kutoka bank,walitumia elimu walio ipata hawakusubiri ajira.
Kuna Dada yangu alikuwa ana msomesha mdogo wetu wa mwisho yule dogo alipoaza kusikia Dada anatoa kauli zisizoleta matokeo mazuri akaamua kuzidisha ada kakalibia kumaliza Dada kamwambia ukimaliza chuo tusijuane sitak kuona simu yako Aya assume ndio we af auna muelelekeo na Dada ana kazi mzuri now anakazi ya kununua vipodozi vya bei kubwa tu inaniuma Sana na siwez msaidia kwa halii kijana wa leo atategemea Nini Zaid ya ajiraWazazi wa sa hivi wala bata aache kula bata akupe wewe pesa[emoji3][emoji3]kila mtu atafute mali zake