Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hutaki acha🤣🤣
Punguza kidogo mkuu unawatisha wa mikoani,kwa nini haja kubwa na ndogo unavitenganisha kwa uwiano huo? breki kuu zikikata breki ndogo lazima ifeli taili zote zitatembea kwa pamoja ndo mfumo wa breki za chini za binadamu,au wewe ni kiumbe gani?Hiyo ni siki moja tu imekuuma, kuna watu wanafanya kazi kwenye masoko kama mahakama ya ndizi mabibo... Kukojoa 200 *3 kwa siku = 600
Haja K 200 = 200
Kuuoga =300
Jumla 1,100
Kwa mwezi 33,000/= kodi ya chumba kwa kopa mwananyamala,
Sasa siku za baridi unaweza ukaomba kuunga bando la choo kabisa.
Mie Huwa sihangaiki nikiwa mjini nimebanwa kunya natafuta sehemu tulivu napaki gari nafunga vioo nachukua mfuko wa plastic nakunya kwenye mfuko najifuta na toilet paper Kisha nafunga mfuko vizuri natupia mtaroni naendelea na mishe zanguHii kauli nilikuwa naisikia tu mjini hakuna cha bure leo ndio nimeona.kujisaidia 500 kweli kweli.mavyoo yenyewe machafu hii hela inapelekwa wapi
Halafu mtoto wa mwenzio kama mnavyopenda kumuita chokalaa anaokota hilo fungashio akidhani bakio la ubwabwa tajiri kalitupa kumbe ni wewe "kalagabao" umetupa jivi lako,assume unakufa leo kesho mwanao anaokota hilo fungashio utajisikieje huko kaburini?Mie Huwa sihangaiki nikiwa mjini nimebanwa kunya natafuta sehemu tulivu napaki gari nafunga vioo nachukua mfuko wa plastic nakunya kwenye mfuko najifuta na toilet paper Kisha nafunga mfuko vizuri natupia mtaroni naendelea na mishe zangu
Kukojoa huwa Natumia chupa za maji natupa dirishani
Mjini ishi Kwa akili
Aache ateseke....?🤣🤣🤣Na akiacha nampa buku 10.
Hivi ni kweli una miliki gari au ndo ushujaa nyuma ya keyboardMie Huwa sihangaiki nikiwa mjini nimebanwa kunya natafuta sehemu tulivu napaki gari nafunga vioo nachukua mfuko wa plastic nakunya kwenye mfuko najifuta na toilet paper Kisha nafunga mfuko vizuri natupia mtaroni naendelea na mishe zangu
Kukojoa huwa Natumia chupa za maji natupa dirishani
Mjini ishi Kwa akili
Sasa unafkiri kazi unayowaachia ya kuhifadhi ilo rundo la mavi ni kazi nyepesiHii kauli nilikuwa naisikia tu mjini hakuna cha bure leo ndio nimeona.kujisaidia 500 kweli kweli.mavyoo yenyewe machafu hii hela inapelekwa wapi
Nyie ndio hamtoagi lifti kumbe mnakunya humohumoMie Huwa sihangaiki nikiwa mjini nimebanwa kunya natafuta sehemu tulivu napaki gari nafunga vioo nachukua mfuko wa plastic nakunya kwenye mfuko najifuta na toilet paper Kisha nafunga mfuko vizuri natupia mtaroni naendelea na mishe zangu
Kukojoa huwa Natumia chupa za maji natupa dirishani
Mjini ishi Kwa akili
Kajisaidie vichakaniHii kauli nilikuwa naisikia tu mjini hakuna cha bure leo ndio nimeona.kujisaidia 500 kweli kweli.mavyoo yenyewe machafu hii hela inapelekwa wapi