Mungu ndiye aliyeumba Mbingu na nchi na kila kilichomo
Hakuna edit yoyote inayohitajika zaidi ya ku edit mawazo yako.
Sasa kwa nini kaumba dunia inayoweza kuwa na matetemeko ya ardhi yanayoua watoto wasio na hatia wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna matetemeko hayo?
Wewe huwezi jua mwenye hatia na asiye na hatia Yeye ndo anajua kama wana hatia ama hawana, pia ikumbukwe kuwa dhambi za wanadamu ndo chanzo cha haya yote maana hata maandiko yanasema mshahara wa dhambi ni mauti. Kama wapo wema waliokufa basi Mungu kaona ni wakati muafaka wa kuwachukua maana wakiendelea kukaa duniani wanaweza kuja kughafilika.
Hujaelewa swali.
Dhambi nayo ni kitu kibaya. Mungu alikuwa na uwezo wa muumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani.
Kwa nini hakuumba ulimwengu huo?
Na kwa nini mungu wa haki aachie majambazi mengine yalioua watu na Hitler yaishi mpaka miaka 90 wakati watoto wengine wanakufa bila hata kufikisha miaka mitano? Haki ikonwaoi hapo?
Wewe huwezi jua mwenye hatia na asiye na hatia Yeye ndo anajua kama wana hatia ama hawana, pia ikumbukwe kuwa dhambi za wanadamu ndo chanzo cha haya yote maana hata maandiko yanasema mshahara wa dhambi ni mauti. Kama wapo wema waliokufa basi Mungu kaona ni wakati muafaka wa kuwachukua maana wakiendelea kukaa duniani wanaweza kuja kughafilika.
Uko low sana mkuu!,umeulizwa mtoto mdogo anayekufa ana hatia gani?,we unajibu et huwez jua mwenye hatia!,poor!
Eti mungu kaona ni wakati muafaka kuwchukua!,aisee!,wewe bado kabisa ndugu
Kama ninavoamini jf kuna ma GT kama GT unatakiwa uwe open minded kuangalia vitu kwa undani zaidi bila uoga ili kuupata ukweli we should first question religion, question existance una like kutrace source ya life/existance kwenye holy books wanasemaje? Na evolution(science) inasemaje? Unapata majibu unaangalia which 1 is relevant even though inaeza raise doubts lisikutatize keep on digging for the facts based on vivid proof ondoa uoga then u might come up with jaw breaking answers na ukaanza kuiona dunia in a very new meaning....
Earthquake inayouwa watoto na watu wengine ni jambo ovu. Cancer inayoua watu ni jambo ovu. What have these people done to deserve cancer or earthquake?
Kwa mfano uovu juu ya genocide in Rwanda ambavo watoto wanauliwa, famine Somalia watoto na wanawake wanakufa njaa, watoto kuzaliwa na cancer etc etc
Huo ni uovu in the context that, kama mungu alikua na uwezo wa kuzuia mtoto asizaliwe na cancer, au famine, au genocide, na ana mapenzi tele kwa nini hakuzuia?
Pia, uelewe unapokubaliana na mimi kwamba uovu ni relative basi unaondoa dhana nzima ya uwepo wa uovu na hii inapingana na dini. In other words, tunasema uovu unatokana tu na jamii na si vitabu vya dini.
Hapo ndiyo utagundua vitabu hivi viliandikwa kwa manufaa ya jamii fulani na si ulimwengu wote. Ni masimulizi tu ya jamii fulani. Mfano, mungu huyo anapomsaidia mfalme Daudi katika vita, unabaki kujiuliza kama mungu ni wa wote na kaumba vitu vyote kwa nini achukue upande kwenye vita?
Wewe unayesema mungu yupo ni wapi umethibitisha uwepo wake?
Unaposhindwa kuthibitisha kwamba mungu yupo then kuna chances kwamba huyo mungu hayupo.
Suala la upendo na problem of evil linaonyesha logical contradictions katika sifa za huyo mungu. Logical contradiction inamaanisha hicho kitu ni uwongo.
Either hamtaki kuelewa au mnajifanya hamuelewi. Thibitisheni kwamba huyo mungu yupo. Au mmeshindwa?
Hili swali utaliuiza mara ngapi na unataka nikujibu mara ngapi?
Nataka uniambie namba ya mara unazotaka nilijibu ili nilimalize hapahapa.
Halafu, baada ya kulijibu, nikuulize, linahusika vipi na kithibitisha mungu yupo.
Unachosema ni nini hapo?
Mungu yupo lakini hajaumba ulimwengu?
Umekubali kwamba mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuwa ameumba ulimwengu huu?
Unaondoa argumnt ya order katika ulimwengu kama moja ya ushahidi wa kuwepo mungu?
First thing first get the basics right.
Ushahidi hauthibitishi, ushahidi unatoa ushahidi. Kinachothibitisha ni uthibitisho.
Kama huwezi kujua hilo, kujadili uwepo wa mungu ni kitu kikichokupita kimo.
Pili, kwa sababu suala hili limekupita kimo, hata ukipewa contradiction ambayo inaonyesha mungu hayupo, hutaielewa.
Kukuelewesha wewe hili jambo ni sawa na kumuelewesaha mbwa ku solve quadratic equation kwa general formula.
Sasa kwa nini kaumba dunia inayoweza kuwa na matetemeko ya ardhi yanayoua watoto wasio na hatia wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna matetemeko hayo?
Wanaosema mungu yupo hawajathibitisha kwamba yupo.
Na hawajaondoa contradiction ya "the problem of evil".
Sasa kwa nini kaumba dunia inayoweza kuwa na matetemeko ya ardhi yanayoua watoto wasio na hatia wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna matetemeko hayo?
Uko low sana mkuu!,umeulizwa mtoto mdogo anayekufa ana hatia gani?,we unajibu et huwez jua mwenye hatia!,poor!
Eti mungu kaona ni wakati muafaka kuwchukua!,aisee!,wewe bado kabisa ndugu
Kuna hili swala la kusema Mungu kashatupangia kesho yetu ipoje pia anajua wewe utafanya nini kesho kwa mantiki hiyo, Mungu ni muweza wa yote hata sisi atheist kashapanga tusikubali uwepo wake kama hajapanga na hivi tunafanyavyo tunajiamulia, basi tumtoe katika kundi la mpangaji wa yote. Hii ina maana hajui kesho yangu.
Naeleweka hivi! Hoja ya uwepo wa mungu inatafisiriwa kama moja ya harakati za mwanadamu aliyekataa tamaa ambae anajipa matumaini kwa nadharia hii kuwa itamsaidia...Mungu mwenye upendo iweje aruhusu watu sio na hatia kuuwawa mungu mwenye upendo anawambia viumbe wake wawaue wengine ili waione pepo?? Mapungufu ya science kueleza asili yetu wala hayamuumbi mungu au kumfanya awepo