Kama ninavoamini jf kuna ma GT kama GT unatakiwa uwe open minded kuangalia vitu kwa undani zaidi bila uoga ili kuupata ukweli we should first question religion, question existance una like kutrace source ya life/existance kwenye holy books wanasemaje? Na evolution(science) inasemaje? Unapata majibu unaangalia which 1 is relevant even though inaeza raise doubts lisikutatize keep on digging for the facts based on vivid proof ondoa uoga then u might come up with jaw breaking answers na ukaanza kuiona dunia in a very new meaning....
Pokea "like" yangu ya kutoka moyoni. Watu wanajiaminisha kwamba kusema hakuna Mungu na kuondoa habari ya creation ndiko kutamfanya binadam awe na uwezo huru wa kujiuliza maswali na kutafuta majibu kuhusu Asili,maana na madhumuni ya maisha au uhai katika dunia hii na ulimwengu kwa ujumla. Hapo Mimi naona imani isiyo na mashiko (blind faith ya Atheist)
Kosa kubwa la kimantiki linalowakabili Atheist ni kujidanganya na kidanganya kwamba ukiwa Atheist wewe automatically unakuwa na authority kiasi cha kuchanganya kauli zao kuwa kauli za kisayansi.
Atheist wanafikiri Binadam anatakiwa achague Kati ya Sayansi na Mungu, wakijidanganya kuwa haiwezekani ukawa unaamini Mungu na kuwa Mwanasayansi.
Huo ni moja ya mambo ya kilimbukeni mnooo, historia haijapungukiwa na watu ambao walikuwa ni wacha Mungu wazuri na wakati huo huo sayansi ya kisasa imesimama katika misingi ya sayansi na ugunfuzi wa kisayansi. Mfano mzuri wa Great brain ambazo zilikuwa zinajinasibu na Mungu na kutenda makuu ya sayansi ni pamoja na Newton, Galileo na keppler.
Busara ya binadamu wa kawaida akiamua kutafuta ukweli kuhusu chanzo cha uhai kwa sasa hivi Creation / God world view ndiyo yenye mashiko.
Vingine ni viroja tu. Evolution inszungumzia Mechanism na sio chanzo. Big bang nayo inahangaika humo humo. Lakini ukirudi kwenye neno;
In the beginning God created...
Unapata mashiko,
Moja imeanza na kuonyesha kwamba kulikuwa na mwanzo...
Hongera Sana Mkuu. Umeweka hoja itayowasaidia wengi hata wale ambao wamekaririshwa hakuna Mungu kwa imani tu huku wakijifanya hakuna Mungu yao ni sayantific
They believe in the belief that God does not exists, but they hate to be told that they are believers too.